Hivi kuna kabila lenye watu wenye roho mbaya kama Wasagara?

Hivi kuna kabila lenye watu wenye roho mbaya kama Wasagara?

Status
Not open for further replies.
Ruaha Mbuyuni si ndo pale penye mpaka wa Morogoro na Iringa? Ila leo ndo nimelisikia kabila hilo la wasagara
Hapohapo mkuu,unadhani pale wanakaa kabila gani?wasagara hao mkuu
 
ee usagara ni pale mzani kisha unaipita nyegezi stand(ipo kwenye ujenzi)kuna stand mpya ndio mabasi mengi yanashushia abiria hapo mbele ya nyegez stand
Sasa nimekupata. Sijaenda Mwanza mda, sikujua kama nyegezi hatumiki kwa Sasa. Basi siku unaenda huko nipigie hapa Arusha, nitakusindikiza🤣🤣
 
😂😂😂😂😂Tayari Nipo huku busisi kwenye ujenzi daraja
Sasa nimekupata. Sijaenda Mwanza mda, sikujua kama nyegezi hatumiki kwa Sasa. Basi siku unaenda huko nipigie hapa Arusha, nitakusindikiza🤣🤣
 
Hahahahah Hilo kabila ndio umenikumbusha Leo,kumbe Bado lipo?
Chifu Mangungo alikua na roho mbaya Sana aliwauza wananchi wake,endepo Hizo taarifa zitakua za kweli basi utakua ni mwendelezo wa mababu zao!
Mangungo aliingizwa cha kike na Carl Peters hakujua kilichoandikwa yeye aliketewa zawadi akaambiwa weka dole gumba hapa,kumbe ndio kawauza wasagara,
 
ee usagara ni pale mzani kisha unaipita nyegezi stand(ipo kwenye ujenzi)kuna stand mpya ndio mabasi mengi yanashushia abiria hapo mbele ya nyegez stand
Sasa nimekupata. Sijaenda Mwanza mda, sikujua kama nyegezi hatumiki kwa Sasa. Basi siku unaenda huko nipitie hapa Arusha, nitakusindikiza🤣🤣
 
Hawa ndugu zetu wanaparikana wilaya za kilosa,morogoro na kilolo ,iringa.
Hawa ndio wale Carl Peters aliingia mkataba na chief wao jamaa fulani hivi mjanja ila alikuwa hajui kusoma,Chief Mangungo.
Ukienda mgeni kwenye miji yao unaweza kufukuzia demu mwenye ngoma asitokee mtu wa kukustua hata kama mnakunywa wote bia moaka waakikishe umemgonga.
Ukikodi shamba watakukodisha shamba lisilo na rutuba ili mradi tu usivune.
Ukinunua miche au mbegu kwao watakuuzia ile hafifu ili i usivune.
Kulisha sumu mifugo ya wenzao ni kawaida sana.
Ruaha mbuyuni ni kata ila imekuwa na kituo cha polisi tangu enzi za mkoloni chenye hadhi ya wilaya kutokana na matukio ya wasagara
Kuuna na kutupana vichakani au kurogana ni kawaida sana hawa jamaa.
Kwanza huwezi kujua kama wanaexist kwenye miji mingine
Nilishangaa Mwanza na Tanga kuna sehemu zinaitwa Usagara
Badilikeni washkaji
Mkalimani wa Carl Peters Bw. Ramzan aliwaweza sana hawa mabwege
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom