Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi kabisa. Baada ya hapo ni nye.ge nyegezi bus stop.
Oooh! Nimechanganya madesa. Najuaga Usagara ni pale kwenye mzani.Hapana pale pana jina lake. Nyegezi stand bado pana jengwa
Oooh! Nimechanganya madesa. Najuaga Usagara ni pale kwenye mzani.
Nanunua sana ubuyu na ukwaju pale.Hapohapo mkuu,unadhani pale wanakaa kabila gani?wasagara hao mkuu
Sasa nimekupata. Sijaenda Mwanza mda, sikujua kama nyegezi hatumiki kwa Sasa. Basi siku unaenda huko nipigie hapa Arusha, nitakusindikiza🤣🤣ee usagara ni pale mzani kisha unaipita nyegezi stand(ipo kwenye ujenzi)kuna stand mpya ndio mabasi mengi yanashushia abiria hapo mbele ya nyegez stand
Sasa nimekupata. Sijaenda Mwanza mda, sikujua kama nyegezi hatumiki kwa Sasa. Basi siku unaenda huko nipigie hapa Arusha, nitakusindikiza🤣🤣
Mangungo aliingizwa cha kike na Carl Peters hakujua kilichoandikwa yeye aliketewa zawadi akaambiwa weka dole gumba hapa,kumbe ndio kawauza wasagara,Hahahahah Hilo kabila ndio umenikumbusha Leo,kumbe Bado lipo?
Chifu Mangungo alikua na roho mbaya Sana aliwauza wananchi wake,endepo Hizo taarifa zitakua za kweli basi utakua ni mwendelezo wa mababu zao!
Sasa nimekupata. Sijaenda Mwanza mda, sikujua kama nyegezi hatumiki kwa Sasa. Basi siku unaenda huko nipitie hapa Arusha, nitakusindikiza🤣🤣ee usagara ni pale mzani kisha unaipita nyegezi stand(ipo kwenye ujenzi)kuna stand mpya ndio mabasi mengi yanashushia abiria hapo mbele ya nyegez stand
Niitage Sasa?! Walau nipande MV Misungwi. Kivuko cha Nyehunge bado ipo?😂😂😂😂😂Tayari Nipo huku busisi kwenye ujenzi daraja
Niitage Sasa?! Walau nipande MV Misungwi. Kivuko cha Nyehunge bado ipo?
Polpole.......nafasi ni mchakato!Nafasi zimejaa
Kipo
Mkalimani wa Carl Peters Bw. Ramzan aliwaweza sana hawa mabwegeHawa ndugu zetu wanaparikana wilaya za kilosa,morogoro na kilolo ,iringa.
Hawa ndio wale Carl Peters aliingia mkataba na chief wao jamaa fulani hivi mjanja ila alikuwa hajui kusoma,Chief Mangungo.
Ukienda mgeni kwenye miji yao unaweza kufukuzia demu mwenye ngoma asitokee mtu wa kukustua hata kama mnakunywa wote bia moaka waakikishe umemgonga.
Ukikodi shamba watakukodisha shamba lisilo na rutuba ili mradi tu usivune.
Ukinunua miche au mbegu kwao watakuuzia ile hafifu ili i usivune.
Kulisha sumu mifugo ya wenzao ni kawaida sana.
Ruaha mbuyuni ni kata ila imekuwa na kituo cha polisi tangu enzi za mkoloni chenye hadhi ya wilaya kutokana na matukio ya wasagara
Kuuna na kutupana vichakani au kurogana ni kawaida sana hawa jamaa.
Kwanza huwezi kujua kama wanaexist kwenye miji mingine
Nilishangaa Mwanza na Tanga kuna sehemu zinaitwa Usagara
Badilikeni washkaji