Hivi kuna kabila lenye watu wenye roho mbaya kama Wasagara?

Hivi kuna kabila lenye watu wenye roho mbaya kama Wasagara?

Status
Not open for further replies.
Dah pale panataka ukauzu kweli pale nikipita kwenye gari nikiwa safarini sitaki hata kufumbua macho.ekari nzima ya vitunguu kuambulia gunia mbili ahaaaa
Anhaaa mbona wenyeji wanapata ? Tena nawavuna vizuri tu wakati wao mara nyingi wanalima kienyeji sababu hawana mitaji.
 
hiyo ya demu sio wasagara tu iko Tanzania nzima, demu ukigonga baadae ndio utasikia skendo zake. Ukishapiga tu kesho utaskia mtaani yule demu aliwahi kubakwa na darasa zima
Kweli kabisa ilinikuta yani nilikuwa mdogo kama Pilton
 
Ni wabinafsi, wao wenyewe hawapendani.

Wanaamini ushirikina, wanalima lakini hawana maendeleo.
Watoto wao shule wengi huishia la saba. Wakitoka hapo wanapewa mashamba wanalima.
Kilimo chao ni cha jembe la mkono...
Ukijenga nyumba ya bati huko kijiji kizima kitakusengenya kuwa unaua ndugu zako upate hela.
Kilombero wamejaa sana.
 
Wapare nao kupenda kesi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]anauza ng'ombe apate hela kuendesha kesi ya kudhulumiwa mbuzi

Wasagara walikuwepo handeni mashambani kila siku kesi na wazigua ila wazigua ni wachaw kinoma kushinda hao wasagara

Huu uzi utaniua [emoji23][emoji23]
 
hiyo ya demu sio wasagara tu iko Tanzania nzima, demu ukigonga baadae ndio utasikia skendo zake. Ukishapiga tu kesho utaskia mtaani yule demu aliwahi kubakwa na darasa zima

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom