ramadhani kanwata
Member
- Mar 24, 2018
- 41
- 53
Tanga ndo walikotoka sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anhaaa mbona wenyeji wanapata ? Tena nawavuna vizuri tu wakati wao mara nyingi wanalima kienyeji sababu hawana mitaji.Dah pale panataka ukauzu kweli pale nikipita kwenye gari nikiwa safarini sitaki hata kufumbua macho.ekari nzima ya vitunguu kuambulia gunia mbili ahaaaa
Mimi eksipiriensi yangu si mbaya sana..Sijui aisee
Hahahaha hahahaha eti darasa zimahiyo ya demu sio wasagara tu iko Tanzania nzima, demu ukigonga baadae ndio utasikia skendo zake. Ukishapiga tu kesho utaskia mtaani yule demu aliwahi kubakwa na darasa zima
Kweli kabisa ilinikuta yani nilikuwa mdogo kama Piltonhiyo ya demu sio wasagara tu iko Tanzania nzima, demu ukigonga baadae ndio utasikia skendo zake. Ukishapiga tu kesho utaskia mtaani yule demu aliwahi kubakwa na darasa zima
Mwapotea mwapotea kwa maana hamjui maandiko wala uweza wa MunguHii ya wake wa4 mmeitoa wapi au ni tamaa zenu za uzinzi tu.
#MaendeleoHayanaChama
😂😂😂
Ndio jibu..hopeless kabisa.Mwapotea mwapotea kwa maana hamjui maandiko wala uweza wa Mungu
Hivi wewe ndugu mtoa mada, ilishawahi kufika SAME?
Same iko Kilimanjaro ni wilaya ya kwanza ukitokea Tanga.
Yahaya Msigwa rais wa shirikisho la wafanyakazi aliyepita,mikumi yote,kilosa .hawawezi kuwa maarufu sababu ya kurogana
Wapare nao kupenda kesi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]anauza ng'ombe apate hela kuendesha kesi ya kudhulumiwa mbuzi
Wasagara walikuwepo handeni mashambani kila siku kesi na wazigua ila wazigua ni wachaw kinoma kushinda hao wasagara
hiyo ya demu sio wasagara tu iko Tanzania nzima, demu ukigonga baadae ndio utasikia skendo zake. Ukishapiga tu kesho utaskia mtaani yule demu aliwahi kubakwa na darasa zima