mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Hawa ndugu zetu wanapatikana wilaya za Kilosa, Morogoro na Kilolo, Iringa.
Hawa ndio wale Carl Peters aliingia mkataba na chief wao jamaa fulani hivi mjanja ila alikuwa hajui kusoma, Chief Mangungo.
Ukienda mgeni kwenye miji yao unaweza kufukuzia demu mwenye ngoma asitokee mtu wa kukustua hata kama mnakunywa wote bia moaka waakikishe umemgonga.
Ukikodi shamba watakukodisha shamba lisilo na rutuba ili mradi tu usivune.
Ukinunua miche au mbegu kwao watakuuzia ile hafifu ili usivune.
Kulisha sumu mifugo ya wenzao ni kawaida sana.
Ruaha mbuyuni ni kata ila imekuwa na kituo cha polisi tangu enzi za mkoloni chenye hadhi ya wilaya kutokana na matukio ya wasagara.
Kuuna na kutupana vichakani au kurogana ni kawaida sana hawa jamaa.
Kwanza huwezi kujua kama wanaexist kwenye miji mingine
Nilishangaa Mwanza na Tanga kuna sehemu zinaitwa Usagara
Badilikeni washkaji
Hawa ndio wale Carl Peters aliingia mkataba na chief wao jamaa fulani hivi mjanja ila alikuwa hajui kusoma, Chief Mangungo.
Ukienda mgeni kwenye miji yao unaweza kufukuzia demu mwenye ngoma asitokee mtu wa kukustua hata kama mnakunywa wote bia moaka waakikishe umemgonga.
Ukikodi shamba watakukodisha shamba lisilo na rutuba ili mradi tu usivune.
Ukinunua miche au mbegu kwao watakuuzia ile hafifu ili usivune.
Kulisha sumu mifugo ya wenzao ni kawaida sana.
Ruaha mbuyuni ni kata ila imekuwa na kituo cha polisi tangu enzi za mkoloni chenye hadhi ya wilaya kutokana na matukio ya wasagara.
Kuuna na kutupana vichakani au kurogana ni kawaida sana hawa jamaa.
Kwanza huwezi kujua kama wanaexist kwenye miji mingine
Nilishangaa Mwanza na Tanga kuna sehemu zinaitwa Usagara
Badilikeni washkaji