Hivi kuna kabila lenye watu wenye roho mbaya kama Wasagara?

Hivi kuna kabila lenye watu wenye roho mbaya kama Wasagara?

Status
Not open for further replies.

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Hawa ndugu zetu wanapatikana wilaya za Kilosa, Morogoro na Kilolo, Iringa.

Hawa ndio wale Carl Peters aliingia mkataba na chief wao jamaa fulani hivi mjanja ila alikuwa hajui kusoma, Chief Mangungo.

Ukienda mgeni kwenye miji yao unaweza kufukuzia demu mwenye ngoma asitokee mtu wa kukustua hata kama mnakunywa wote bia moaka waakikishe umemgonga.

Ukikodi shamba watakukodisha shamba lisilo na rutuba ili mradi tu usivune.

Ukinunua miche au mbegu kwao watakuuzia ile hafifu ili usivune.

Kulisha sumu mifugo ya wenzao ni kawaida sana.

Ruaha mbuyuni ni kata ila imekuwa na kituo cha polisi tangu enzi za mkoloni chenye hadhi ya wilaya kutokana na matukio ya wasagara.

Kuuna na kutupana vichakani au kurogana ni kawaida sana hawa jamaa.

Kwanza huwezi kujua kama wanaexist kwenye miji mingine

Nilishangaa Mwanza na Tanga kuna sehemu zinaitwa Usagara

Badilikeni washkaji
 
hiyo ya demu sio wasagara tu iko Tanzania nzima, demu ukigonga baadae ndio utasikia skendo zake. Ukishapiga tu kesho utaskia mtaani yule demu aliwahi kubakwa na darasa zima
Dah kuna jamaa alifukuzia demu kaungua huko usagara jamaa wapo kimya wanakunywa nae pombe,alipoanza kugonga ndio washikaji wanamstua,jamaa alimwa kwa mawazo wiki nzima hatoki,wasagara wamezidi
 
FB_IMG_16451969759017045.jpg
 
Hawa ndugu zetu wanaparikana wilaya za kilosa,morogoro na kilolo ,iringa.
Hawa ndio wale Carl Peters aliingia mkataba na chief wao jamaa fulani hivi mjanja ila alikuwa hajui kusoma,Chief Mangungo.
Ukienda mgeni kwenye miji yao unaweza kufukuzia demu mwenye ngoma asitokee mtu wa kukustua hata kama mnakunywa wote bia moaka waakikishe umemgonga.
Ukikodi shamba watakukodisha shamba lisilo na rutuba ili mradi tu usivune.
Ukinunua miche au mbegu kwao watakuuzia ile hafifu ili i usivune.
Kulisha sumu mifugo ya wenzao ni kawaida sana.
Ruaha mbuyuni ni kata ila imekuwa na kituo cha polisi tangu enzi za mkoloni chenye hadhi ya wilaya kutokana na matukio ya wasagara
Kuuna na kutupana vichakani au kurogana ni kawaida sana hawa jamaa.
Kwanza huwezi kujua kama wanaexist kwenye miji mingine
Nilishangaa Mwanza na Tanga kuna sehemu zinaitwa Usagara
Badilikeni washkaji
Coach Slamah Hamad
 
Dah kuna jamaa alifukuzia demu kaungua huko usagara jamaa wapo kimya wanakunywa nae pombe,alipoanza kugonga ndio washikaji wanamstua,jamaa alimwa kwa mawazo wiki nzima hatoki,wasagara wamezidi
Huyo jamaa ni wewe maana unaongea kwa hisia sana acha ufuska dio kila unakoenda lazima uloweke, halafu ujizoeshe kuvaa ndomu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom