je wewe ni nani kati ya hayo uliyosema. Je kuuliza ni ujinga au kuleta majungu ?Mleta uzi ni mpika majungu au muuza ujugu.Where is fotografia?
Haitakiwi hata wavae saa achilia mbali vimwanandani.Walipaswa washiriki wakiwa uchi kabisa kuepusha ubabaishaji.Kwahiyo chupi tu ndio inafanya wawe wepes
Nilienjoy sana kuliangalia lile shindano...Mungu fundi kwakweliMimi namshukuru Mungu yule kaka mzuri wangu yuko busy haangalii maana kama jana lile shindano la rhythmic gymnastics ilikuwa balaa.
Ungeliangalia swali kwa umakini.Wala usitaharuki.Soma tena.je wewe ni nani kati ya hayo uliyosema................je kuuliza ni ujinga ,,,au kuleta majungu ?
nimeuliza kwa hekima tuuu mantiki ya wadada kuvaa vichupi nusu uchi.........ila sijaleta majungu.....................nadhani hata kwenye kikao cha board ,, sio vibaya kuuliza.........maana nataka jua.....na sio kuleta majungu
mantiki ya wanamichezo kuvaa vichupi...si bora wangevaa vikaptula
Ndo shida ya waafrika.wasting of time and destroy human mental reasoning capacity
Unataka kutuambia yeye si wa kuachiwa mtoto amtawaze?Tutakutana na kesi ya kifungo cha miaka 60 kwake?Ndo shida ya waafrika.
Hampo body positive, mnatumia kichaka cha 'maadili' kujitetea. Yale ni mashindano sio porno, unaogopa maungo ya kawaida ya mwili wa binadamu?
Sasa kama waafrika tuna maadili sana mbona tunaongoza kwa kut***ana. Umeona birth rate zetu?
And,a fool has replied as gently as a skunk!yes you are right
"a formal way to agree with a fool"
kuto......na ni nature usije ukasema mbele za watu huo upumbavu.Ndo shida ya waafrika.
Hampo body positive, mnatumia kichaka cha 'maadili' kujitetea. Yale ni mashindano sio porno, unaogopa maungo ya kawaida ya mwili wa binadamu?
Sasa kama waafrika tuna maadili sana mbona tunaongoza kwa kut***ana. Umeona birth rate zetu?
Iwekee parental guide hiyo channel.Itakupa jakamoyo.Ikemee!kuto......na ni nature usije ukasema mbele za watu huo upumbavu.
michezo sikatai ila kuna kitu kinaitwa ustaarabu na hekima ni jambo muhimu sana kuzingatia.
kwani pia unajua population ya uengereza na tanzania ipo vipi?Ndo shida ya waafrika.
Hampo body positive, mnatumia kichaka cha 'maadili' kujitetea. Yale ni mashindano sio porno, unaogopa maungo ya kawaida ya mwili wa binadamu?
Sasa kama waafrika tuna maadili sana mbona tunaongoza kwa kut***ana. Umeona birth rate zetu?
sifatiliii kabisa huo upumbavuIwekee parental guide hiyo channel.Itakupa jakamoyo.Ikemee!
Unapaswa kuifuatilia ili utoe maoni yasiyotia shaka.sifatiliii kabisa huo upumbavu
sioni umuhimu kwangu kufatilia vichupi na machoko yanarukaruka.Unapaswa kuifuatilia ili utoe maoni yasiyotia shaka.
Wenzio wanapiga mpunga wewe umechukia.Relax maalim!sioni umuhimu kwangu kufatilia vichupi na machoko yanarukaruka.
kwa akili ya binadamu wa kawaiwa huwezi kuvaaa vile mbele za watu.
Usitazame mapaja.Angalia anavyojituma mchezoni.Mapaja utayaona hata ya kuku mkuu.Yale mapaja ya wa dada wa marekani na jamaica yanatamanisha kabisa .Tofauti na Hawa wa tz mapaja Yao yamejivimbia nyama hovyohovyo
Tatizo wakivaa Hijabu watu wa dini furani Wanaonekana kama watumwa na Oppressed.Vina kuhusu nini? Au ulitaka wavae hijabu? Mtu anavaa kile anachokna kinampendeza yeye sio wewe na kitampa uhuru wa kufanya kile anachokifanya
Umekoseaaaaa, sio huyo 😉