Hivi kuna Mtanzania aliyekula bata kama Jakaya Kikwete?

Sio kweli kuna viongozi walikuwa wanakaza lakin age ilifika had 95 exp Mugabe na Fidel Castro.
 
Na mimi naongeza tena kwa sauti kubwa HAKUNA, kala bata na anakula bata hata kumzidi Mobutu
huyu mwamba alikuwa na kitanda cha umeme unabonyeza remote kinatoka sakafuni huku kinapiga mziki,akimaliza kulala anabonyeza tena kinazama alafu panakuwa dimbwi la maji hapo sakafuni,jk bado sana kwa jamaa aliyekuwa anakodi concorde impeleke ulaya au kuleta cake tu Zaire
mtu alikua ananyea dhahabu,akimaliza ananawa mikono koki za dhahabu
 
Mkwere namkubali sana ,miaka mingi nyuma alikua kipenzi cha mambo yote white house.
Sasa kashika urais,kastaafu yuko kwenye kamati 500 kidogo.
Mke kampeleka Lindi huko mkuu wa mkoa.
Riz1 kachukua wizara gani Sijui.
Nape ,Makamba jr wapo humo ni kupiga tu.
Hivi hakuna wasomi wengine zaidi ya watoto wa staafu.
Mpeni cheo cha usimamizi wa vijana japo Le mutuz awe waziri wetu.
Kikwete pumzika una kila kitu na utaongezewa ukitaka huko mbele utavarkbu sasa.
Sio kila siku agongee chai.
 
HAKUNA ALIYEKULA BATA KAMA NYERERE!
... just imagine kutawala mijinga, almost 100%! πŸ˜…
Amekula Bata sana jamaa na walikuwa wanamuogopa kushinda Magufuli, kalikuwa kadikteta fulani sema kalistukia mapema kakaona heri astaafu kwa staha maana majaribio ya kumpindua yalizidi na wazungu walishamuweka kwenye Kona.

Mtu katawala miaka 24 kudadadeki jamii ya wajinga. Kilichomsaidia hakujilimbikizia mali Ila Bata amekula.
 
... na mali pia kajilimbikizia, unajuaje kuwa hana account za siri uswisi na kwingine huko maulaya? ... au hata hazina ya siri Butiama?
 
Pole Sana Tanzania yangu
 
mtaishi kwa kusifia ndio kazi zenu watanzania hamna lolote hata mkiibiwa mnasifia mkidhulumiwa mnasifia kutawala tanzania mbona rahisi sana mijitu nikusifia kubishana kumbe hata jid benz anaweza kuwa rais
 
Hakuna wakukuua, na kawaida mtu mwenye husda mungu humpa maisha marefu ili azidi kuumia sana dhidi ya anaemhasidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…