Hivi kuna mtu anaemwelewa Waziri Nape? Ni aibu sana

Hivi kuna mtu anaemwelewa Waziri Nape? Ni aibu sana

JF Member

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
7,914
Reaction score
10,793
Naamini kabisa kwenye Ile orodha ya Mawaziri mizigo ya Kinana na Waziri Nape yumo.

Waziri huyu bwana naona tu ni kama zawadi kapewa, hata yeye nazani anaona kabisa hawezi.

Mambo mawili yanayomshushia heshima na kama hatakuwa makini atatoka kabisa kwenye reli.

1. Vifurushi vya mawasiliano / Bundle
Hakuna kitu huyu waziri anafanya kuhusu ghalama za bundle, zinazidi kuwa kubwa na internet zinaliwa bila mtumiaji kujua. Malalamiko haya yashafikishwa kwake na watu wakaambulia matusi.

2. Anuani za makazi
Kati ya kituko hapa nchini ni hiki cha anuani ya makazi. Hapa waziri naamini hajui hata anachokifanya. Karuka na chopa lakini mwisho wa siku aibu tupu. Sijui kama anawaza haya mambo.

Kuna nguzo huko vijijini ukiona hadi unahisi watanzania tumelaaniwa. Haitakiwi kabisa zile nguzo kusimikwa popote pale dunini.

Ni aibu ya mwaka nguzo ya anuani ya makazi afu ni miti. Na vijijini huko wanaweka hadi kwenye majaruba. Na waziri yupo na analipwa pesa na marupurupu kibao.

Naomba Rais Samia awe serious na maisha ya watanzania. Toa huyu mtu muweke huko kwenye chama. Weka wataalm na wasomi kwenye hizi kazi.
 
Naamini kabisa kwenye Ile orodha ya Mawaziri Mizigo ya Kinana na Waziri NAPE yumo.

Waziri huyu buana naona tu ni kama zawadi kapewa, hata yeye nazani anaona kabisa hawezi.

Mambo mawili yanayomshushia heshima na kama hatakiwa makini atatoka kabisa kwenye reli.

1. Vifurushi vya mawasiliano / Bundle
Hakuna kitu huyu waziri anafanya kuhuyu, ghalama za bundle zinazidi kuwa kubwa na internet zinaliwa bila mtumiaji kujua. Malalamiko haya yashafikishwa kwake na watu wakaambulia matusi.

2. Anuani za makazi
Kati ya kituko hapa nchini Niko Cha anuani ya makazi. Hapa waziri naamini hajui hata nachokofanya. Karuka na Chopa lakini mwisho wa siku aibu tupu. Sijui kama anawaza haya mambo.

Kuna nguzi huko vijijini ukiona hadi uahisi watanzania tumelaaniwa. Haitakiwi kabisa zile nguzo kusimikwa popote pale dunini.

Ni aibu ya Mwaka. Nguzo na anuani ya makazi afu ni miti. Na vijijini huko wanaweka hadi Kwenye majaruba. Na waziri yupo na analipwa pesa na maruourupu kibao.

Naomba Rais Samia awe serious na maisha ya Watanzania. Toa huyu mtu muweke huko kwenye chama. Weka wataalm na wasomi kwenye hizi kazi.
Labda ana percent yake Kwa kila kifurushi kitakachonunuliwa
 
Naamini kabisa kwenye Ile orodha ya Mawaziri Mizigo ya Kinana na Waziri NAPE yumo.

Waziri huyu buana naona tu ni kama zawadi kapewa, hata yeye nazani anaona kabisa hawezi.

Mambo mawili yanayomshushia heshima na kama hatakiwa makini atatoka kabisa kwenye reli.

1. Vifurushi vya mawasiliano / Bundle
Hakuna kitu huyu waziri anafanya kuhuyu, ghalama za bundle zinazidi kuwa kubwa na internet zinaliwa bila mtumiaji kujua. Malalamiko haya yashafikishwa kwake na watu wakaambulia matusi.

2. Anuani za makazi
Kati ya kituko hapa nchini Niko Cha anuani ya makazi. Hapa waziri naamini hajui hata nachokofanya. Karuka na Chopa lakini mwisho wa siku aibu tupu. Sijui kama anawaza haya mambo.

Kuna nguzi huko vijijini ukiona hadi uahisi watanzania tumelaaniwa. Haitakiwi kabisa zile nguzo kusimikwa popote pale dunini.

Ni aibu ya Mwaka. Nguzo na anuani ya makazi afu ni miti. Na vijijini huko wanaweka hadi Kwenye majaruba. Na waziri yupo na analipwa pesa na maruourupu kibao.

Naomba Rais Samia awe serious na maisha ya Watanzania. Toa huyu mtu muweke huko kwenye chama. Weka wataalm na wasomi kwenye hizi kazi.
Hili zoezi nililiona litafail tangia day one...Serikali wanadhani anuani za makazi ni kusimika sign posts tuu... huwezi kuwa na proper addresses kama ASILIMIA kubwa ya nchi haijapimwa na kupanga miji vizuri.

Ushauri wangu ni kwamba nguvu ingeelekezwa katika mipango miji na upimaji na matumizi Bora ya ardhi...bajeti iongezwe wizara ya Ardhi na nchi ikishapangwa vizuri,Serikali za mitaa na vijiji wapewe jukumu la kupatia mitaa yao majina kadri local government watakavyoona inafaa...you don't need a minister to install street names and addresses..hizo ni Kazi za wenyeviti wa mitaa na wajumbe wa nyumba kumi....

Serikali kuu itie mkazo kwenye bigger picture...najua Nape ana mapungufu yake lakini kwenye hili hawezi leta tija yoyote ata kama angekuwa na uwezo unaoridhisha katika utendaji...

Washauri wa RAIS mshaurini abadirishe strategy katka jambo hili...hawezi badirisha slums na unplanned country kwa kupachika mabango tuu...yeye aipange nchi na hizo petty job za mabango awaachie postal service na wenyeviti wa mitaa wajipange
 
Kuna nguzo huko vijijini ukiona hadi unahisi watanzania tumelaaniwa. Haitakiwi kabisa zile nguzo kusimikwa
Nape siyo pepo kwamba yupo mpk kijijini kwako. Kama nguzo ya mtaa wa kijijini kwako ndiyo unamlaumu Nape? Uko serious kweli wewe? Viongozi wa Kijiji, kata, na wilaya yako kwann huwaelezi juu ya tatizo Hilo?
 
Hili zoezi nililiona litafail tangia day one...Serikali wanadhani anuani za makazi ni kusimika sign posts tuu... huwezi kuwa na proper addresses kama ASILIMIA kubwa ya nchi haijapimwa na kupanga miji vizuri.

Ushauri wangu ni kwamba nguvu ingeelekezwa katika mipango miji na upimaji na matumizi Bora ya ardhi...bajeti iongezwe wizara ya Ardhi na nchi ikishapangwa vizuri,Serikali za mitaa na vijiji wapewe jukumu la kupatia mitaa yao majina kadri local government watakavyoona inafaa...you don't need a minister to install street names and addresses..hizo ni Kazi za wenyeviti wa mitaa na wajumbe wa nyumba kumi....

Serikali kuu itie mkazo kwenye bigger picture...najua Nape ana mapungufu yake lakini kwenye hili hawezi leta tija yoyote ata kama angekuwa na uwezo unaoridhisha katika utendaji...

Washauri wa RAIS mshaurini abadirishe strategy katka jambo hili...hawezi badirisha slums na unplanned country kwa kupachika mabango tuu...yeye aipange nchi na hizo petty job za mabango awaachie postal service na wenyeviti wa mitaa wajipange
Wenzao walisema mpango kazi wa miaka mitano ili iendane na mipangi miji, wao wakaja chifu hangaya akatoa miezi mitano.

Nadhani ilikuwa katika kuhalalisha upigaji kama ule wa tanesco kutoa tenda kwa wahindi.

Target kuwarudishia pesa mfukoni watu fulani.
 
Kuna nguzo huko vijijini ukiona hadi unahisi watanzania tumelaaniwa. Haitakiwi kabisa zile nguzo kusimikwa popote pale dunini.

Ni aibu ya Mwaka. Nguzo na anuani ya makazi afu ni miti. Na vijijini huko wanaweka hadi Kwenye majaruba. Na waziri yupo na analipwa pesa na marupurupu kibao.
Hakuna aibu yoyote wala ajabu yoyote anuani ya makazi kubandikwa kwenye nguzo za miti, kwasababu huo ndio uhalisia wetu, vijijini kwetu nguzo ni za miti kuanzia za kujengea hadi za viti, meza na vitanda, sasa ajabu ni nini kwa anuani ya makazi kubandikwa kwenye nguzo ya mti?.
Naomba Rais Samia awe serious na maisha ya Watanzania. Toa huyu mtu muweke huko kwenye chama. Weka wataalm na wasomi kwenye hizi kazi.
Amtoe kwa kosa gani?!
Acheni hizo!, angewasikiliza watu kama nyinyi, by now angeisha watoa wangapi?!.

Mimi ni miongoni mwa ambao tunamwelewa sana Nape.

P
 
Hakuna aibu yoyote wala ajabu yoyote anuani ya makazi kubandikwa kwenye nguzo za miti, kwasababu huo ndio uhalisia wetu, vijijini kwetu nguzo ni za miti kuanzia za kujengea hadi za viti, meza na vitanda, sasa ajabu ni nini kwa anuani ya makazi kubandikwa kwenye nguzo ya mti?.

Amtoe kwa kosa gani?!
Acheni hizo!, angewasikiliza watu kama nyinyi, by now angeisha watoa wangapi?!.

Mimi ni miongoni mwa ambao tunamwelewa sana Nape.

P
Hakuna aibu yoyote wala ajabu yoyote anuani ya makazi kubandikwa kwenye nguzo za miti, kwasababu huo ndio uhalisia wetu, vijijini kwetu nguzo ni za miti kuanzia za kujengea hadi za viti, meza na vitanda, sasa ajabu ni nini kwa anuani ya makazi kubandikwa kwenye nguzo ya mti?.
Pascal, mbunge wa EAC aibu ipo sababu zoezi la anuani za makazi halikuwa la kukurupuka, lilipangwa na likatengewa na bajeti kabisa, ushahidi wa uwepo wa bajeti ni gharama za usafiri wa chopa alioutumia Waziri NAPE kuzunguka nchi kuhamasisha zoezi na kupiga picha za vibao vya majina ya barabara.

Sasa ina maana bunge liliweka bajeti ya Nape kuzunguka kwa chopa na kujilipa per diem halafu wakakosa fungu la kununua nguzo za kubebea vibao vya majina ya mitaa?? Kama jibu ni NDIYO basi ukiupata ubunge wa EALA ukienda bungeni shauri nchi zetu ziwe serious na ziache ujinga.

Kama jibu ni HAPANA, hawakusahau kuweka bajeti, waliweka - sasa inakuaje wananchi waambiwe walipie vibao vya kuweka majumbani mwao pamoja na hizo chuma za kuweka barabarani ambazo umesema ni zinaendana na mazingira ya vijijini?

Kama hakukuwa na fedha, wangechukua basi hata milioni 800 aliyonunulia LC 300 series Bwana Mwigulu, ingetosha kununua vibao vya nchi nzima.

Bwana Pascal kama unapenda na kukoshwa na utendaji wa Bwana Nape pamoja na majibu yake mitandaoni, basi kazi iendelee
 
Naamini kabisa kwenye Ile orodha ya Mawaziri Mizigo ya Kinana na Waziri NAPE yumo.

Waziri huyu buana naona tu ni kama zawadi kapewa, hata yeye nazani anaona kabisa hawezi.

Mambo mawili yanayomshushia heshima na kama hatakiwa makini atatoka kabisa kwenye reli.

1. Vifurushi vya mawasiliano / Bundle
Hakuna kitu huyu waziri anafanya kuhuyu, ghalama za bundle zinazidi kuwa kubwa na internet zinaliwa bila mtumiaji kujua. Malalamiko haya yashafikishwa kwake na watu wakaambulia matusi.

2. Anuani za makazi
Kati ya kituko hapa nchini ni hiki cha anuani ya makazi. Hapa waziri naamini hajui hata nachokofanya. Karuka na Chopa lakini mwisho wa siku aibu tupu. Sijui kama anawaza haya mambo.

Kuna nguzo huko vijijini ukiona hadi unahisi watanzania tumelaaniwa. Haitakiwi kabisa zile nguzo kusimikwa popote pale dunini.

Ni aibu ya Mwaka. Nguzo na anuani ya makazi afu ni miti. Na vijijini huko wanaweka hadi Kwenye majaruba. Na waziri yupo na analipwa pesa na marupurupu kibao.

Naomba Rais Samia awe serious na maisha ya Watanzania. Toa huyu mtu muweke huko kwenye chama. Weka wataalm na wasomi kwenye hizi kazi.
He is hopeless and fruitless hata angewekewa samadi vipi, "...ukiuliza kwanini yupo utaambiwa ni kwasababu ya baba yake" Makongoro Nyerere
 
Wenzao walisema mpango kazi wa miaka mitano ili iendane na mipangi miji, wao wakaja chifu hangaya akatoa miezi mitano.

Nadhani ilikuwa katika kuhalalisha upigaji kama ule wa tanesco kutoa tenda kwa wahindi.

Target kuwarudishia pesa mfukoni watu fulani.
Hahaha..matokeo yake ndio haya...una bango mwanzo wa uchochoro lakini ata pikipiki ya DHL haiwezi kuingia kwenye huo uchochoro kudeliver bahasha.
Kuna mitaa hapa Tanzania ukitaka furniture inabidi fundi aje kutengenezea nyumbani kwako, maana haiwezi kupita kwenye hizo tight streets...na serikali eti imesimika signpost kutambulisha hiyo mitaa...aibu Sana.
 
Hili zoezi nililiona litafail tangia day one...Serikali wanadhani anuani za makazi ni kusimika sign posts tuu... huwezi kuwa na proper addresses kama ASILIMIA kubwa ya nchi haijapimwa na kupanga miji vizuri.

Ushauri wangu ni kwamba nguvu ingeelekezwa katika mipango miji na upimaji na matumizi Bora ya ardhi...bajeti iongezwe wizara ya Ardhi na nchi ikishapangwa vizuri,Serikali za mitaa na vijiji wapewe jukumu la kupatia mitaa yao majina kadri local government watakavyoona inafaa...you don't need a minister to install street names and addresses..hizo ni Kazi za wenyeviti wa mitaa na wajumbe wa nyumba kumi....

Serikali kuu itie mkazo kwenye bigger picture...najua Nape ana mapungufu yake lakini kwenye hili hawezi leta tija yoyote ata kama angekuwa na uwezo unaoridhisha katika utendaji...

Washauri wa RAIS mshaurini abadirishe strategy katka jambo hili...hawezi badirisha slums na unplanned country kwa kupachika mabango tuu...yeye aipange nchi na hizo petty job za mabango awaachie postal service na wenyeviti wa mitaa wajipange
"Hili nalo muende mkalitizame"
 
Huyo na mwezi wa kwanza ni dugu moja.

Hakuna wanalofanya ila ni mambo ya kambi tu yamewapa hizo nafasi.

Kama tungekua tunatafuta viongozi on merit sura kama hizo tusingewahi ziona kwenye siasa zetu.
 
Hakuna aibu yoyote wala ajabu yoyote anuani ya makazi kubandikwa kwenye nguzo za miti, kwasababu huo ndio uhalisia wetu, vijijini kwetu nguzo ni za miti kuanzia za kujengea hadi za viti, meza na vitanda, sasa ajabu ni nini kwa anuani ya makazi kubandikwa kwenye nguzo ya mti?.

Amtoe kwa kosa gani?!
Acheni hizo!, angewasikiliza watu kama nyinyi, by now angeisha watoa wangapi?!.

Mimi ni miongoni mwa ambao tunamwelewa sana Nape.

P
Duh kweli kila nafsi lazima ijipiganie yenyewe.

Uko sawa kaka pascal. Ila unaposema ni sawa anuani kubandikwa kwa nguzo kwa kigezo cha hali ya vijijini, kumbuka huo ni mradi wa serikali na umewekewa fungu. Jiulize mbona ofisi za serikali zikiwemo ofisi za wilaya sio za miti au nyasi kama unavyosema.?

Hata shule ambazo serikali inajenga vijijini na zahanati sio za nyasi au miti japo unakuta kijiji kizima nyumba ni nyasi.

Kwa nini iwe sawa kwa zoezi hilo ambalo linasimamiwa kimasomaso na waziri mwenyewe?
 
Naamini kabisa kwenye Ile orodha ya Mawaziri Mizigo ya Kinana na Waziri NAPE yumo.

Waziri huyu buana naona tu ni kama zawadi kapewa, hata yeye nazani anaona kabisa hawezi.

Mambo mawili yanayomshushia heshima na kama hatakiwa makini atatoka kabisa kwenye reli.

1. Vifurushi vya mawasiliano / Bundle
Hakuna kitu huyu waziri anafanya kuhuyu, ghalama za bundle zinazidi kuwa kubwa na internet zinaliwa bila mtumiaji kujua. Malalamiko haya yashafikishwa kwake na watu wakaambulia matusi.

2. Anuani za makazi
Kati ya kituko hapa nchini ni hiki cha anuani ya makazi. Hapa waziri naamini hajui hata nachokofanya. Karuka na Chopa lakini mwisho wa siku aibu tupu. Sijui kama anawaza haya mambo.

Kuna nguzo huko vijijini ukiona hadi unahisi watanzania tumelaaniwa. Haitakiwi kabisa zile nguzo kusimikwa popote pale dunini.

Ni aibu ya Mwaka. Nguzo na anuani ya makazi afu ni miti. Na vijijini huko wanaweka hadi Kwenye majaruba. Na waziri yupo na analipwa pesa na marupurupu kibao.

Naomba Rais Samia awe serious na maisha ya Watanzania. Toa huyu mtu muweke huko kwenye chama. Weka wataalm na wasomi kwenye hizi kazi.
Nape ni mzigo,nape ni kituko.
 
Naamini kabisa kwenye Ile orodha ya Mawaziri Mizigo ya Kinana na Waziri NAPE yumo.

Waziri huyu buana naona tu ni kama zawadi kapewa, hata yeye nazani anaona kabisa hawezi.

Mambo mawili yanayomshushia heshima na kama hatakiwa makini atatoka kabisa kwenye reli.

1. Vifurushi vya mawasiliano / Bundle
Hakuna kitu huyu waziri anafanya kuhuyu, ghalama za bundle zinazidi kuwa kubwa na internet zinaliwa bila mtumiaji kujua. Malalamiko haya yashafikishwa kwake na watu wakaambulia matusi.

2. Anuani za makazi
Kati ya kituko hapa nchini ni hiki cha anuani ya makazi. Hapa waziri naamini hajui hata nachokofanya. Karuka na Chopa lakini mwisho wa siku aibu tupu. Sijui kama anawaza haya mambo.

Kuna nguzo huko vijijini ukiona hadi unahisi watanzania tumelaaniwa. Haitakiwi kabisa zile nguzo kusimikwa popote pale dunini.

Ni aibu ya Mwaka. Nguzo na anuani ya makazi afu ni miti. Na vijijini huko wanaweka hadi Kwenye majaruba. Na waziri yupo na analipwa pesa na marupurupu kibao.

Naomba Rais Samia awe serious na maisha ya Watanzania. Toa huyu mtu muweke huko kwenye chama. Weka wataalm na wasomi kwenye hizi kazi.
Hivi kwa akili yako unaweza kutegemea lolote la maana kutoka kwa Nape! Labda uwe huna akili! Jitu mbabaishaji lisilo na record yeyote ya utendaji!
 
Back
Top Bottom