Hivi kuna mtu anaemwelewa Waziri Nape? Ni aibu sana

Hivi kuna mtu anaemwelewa Waziri Nape? Ni aibu sana

Sasa mimi wakati wa kutoa namba walikwaruza geti.
Waliporudi kuweka rangi rasmi nahisi hawakuiona hiyo namba hivyo sijawejewa hiyo namba
Number ipo, kuna watu wengi hawajui, vipimo vya anuani za makazi vinatumia GPS, hata kama hawajaandika, nenda Google map utaiona nyumba yako.
P
 
Naamini kabisa kwenye Ile orodha ya Mawaziri mizigo ya Kinana na Waziri Nape yumo.

Waziri huyu bwana naona tu ni kama zawadi kapewa, hata yeye nazani anaona kabisa hawezi.

Mambo mawili yanayomshushia heshima na kama hatakuwa makini atatoka kabisa kwenye reli.

1. Vifurushi vya mawasiliano / Bundle
Hakuna kitu huyu waziri anafanya kuhusu ghalama za bundle, zinazidi kuwa kubwa na internet zinaliwa bila mtumiaji kujua. Malalamiko haya yashafikishwa kwake na watu wakaambulia matusi.

2. Anuani za makazi
Kati ya kituko hapa nchini ni hiki cha anuani ya makazi. Hapa waziri naamini hajui hata anachokifanya. Karuka na chopa lakini mwisho wa siku aibu tupu. Sijui kama anawaza haya mambo.

Kuna nguzo huko vijijini ukiona hadi unahisi watanzania tumelaaniwa. Haitakiwi kabisa zile nguzo kusimikwa popote pale dunini.

Ni aibu ya mwaka nguzo ya anuani ya makazi afu ni miti. Na vijijini huko wanaweka hadi kwenye majaruba. Na waziri yupo na analipwa pesa na marupurupu kibao.

Naomba Rais Samia awe serious na maisha ya watanzania. Toa huyu mtu muweke huko kwenye chama. Weka wataalm na wasomi kwenye hizi kazi.
Picha
Picha
Kapicha baasi
 
Ingekua kipindi cha JPM, mitandao ingekua ishapigwa faini kuzuia huu upuuzi. Yaani wanapiga pesa nyingi sana kupitia huu ujinga wakati wanawalipa Watanzania mishahara midogo sana!
Si mnasema walikua wanaonewa?
 
Kule twitter niliona nimblock tu maana huwa anajibu hoja za maana kipumbavuuu... ni mjingaaa sanaaa
 
Hivi kwa akili yako unaweza kutegemea lolote la maana kutoka kwa Nape! Labda uwe huna akili! Jitu mbabaishaji lisilo na record yeyote ya utendaji!
Mara ya kwanza nilitegemea lakini sasa naanza kushituka nazani nimechelewa sana.
 
He is hopeless and fruitless hata angewekewa samadi vipi, "...ukiuliza kwanini yupo utaambiwa ni kwasababu ya baba yake" Makongoro Nyerere
Kuna watu ni mzigo hatari sana.
 
Hakuna aibu yoyote wala ajabu yoyote anuani ya makazi kubandikwa kwenye nguzo za miti, kwasababu huo ndio uhalisia wetu, vijijini kwetu nguzo ni za miti kuanzia za kujengea hadi za viti, meza na vitanda, sasa ajabu ni nini kwa anuani ya makazi kubandikwa kwenye nguzo ya mti?.

Amtoe kwa kosa gani?!
Acheni hizo!, angewasikiliza watu kama nyinyi, by now angeisha watoa wangapi?!.

Mimi ni miongoni mwa ambao tunamwelewa sana Nape.

P
NI wewe Mayala umetoa hilo jibu?

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna aibu yoyote wala ajabu yoyote anuani ya makazi kubandikwa kwenye nguzo za miti, kwasababu huo ndio uhalisia wetu, vijijini kwetu nguzo ni za miti kuanzia za kujengea hadi za viti, meza na vitanda, sasa ajabu ni nini kwa anuani ya makazi kubandikwa kwenye nguzo ya mti?.

Amtoe kwa kosa gani?!
Acheni hizo!, angewasikiliza watu kama nyinyi, by now angeisha watoa wangapi?!.

Mimi ni miongoni mwa ambao tunamwelewa sana Nape.

P
Umemwelewa kweli wewe?

Nguzo za miti zinaoza baada ya mwaka mmoja tu, tena mingine inaoza baada ya miezi tu.

Hizo anwani ni temporary ama permanent.

Waziri anashindwa viti kutengeneza mwongozo na kama nchi tukawa na standard za namna ileile na za kudmu?
Kwa nini mambo yaende hohehahe?

Pascal Mayalla siku ikiwa haiko sawa uwe unatulia tu.
 
Hakuna aibu yoyote wala ajabu yoyote anuani ya makazi kubandikwa kwenye nguzo za miti, kwasababu huo ndio uhalisia wetu, vijijini kwetu nguzo ni za miti kuanzia za kujengea hadi za viti, meza na vitanda, sasa ajabu ni nini kwa anuani ya makazi kubandikwa kwenye nguzo ya mti?.

Amtoe kwa kosa gani?!
Acheni hizo!, angewasikiliza watu kama nyinyi, by now angeisha watoa wangapi?!.

Mimi ni miongoni mwa ambao tunamwelewa sana Nape.

P
😳😳😳😳😳
 
Naamini kabisa kwenye Ile orodha ya Mawaziri mizigo ya Kinana na Waziri Nape yumo.

Waziri huyu bwana naona tu ni kama zawadi kapewa, hata yeye nazani anaona kabisa hawezi.

Mambo mawili yanayomshushia heshima na kama hatakuwa makini atatoka kabisa kwenye reli.

1. Vifurushi vya mawasiliano / Bundle
Hakuna kitu huyu waziri anafanya kuhusu ghalama za bundle, zinazidi kuwa kubwa na internet zinaliwa bila mtumiaji kujua. Malalamiko haya yashafikishwa kwake na watu wakaambulia matusi.

2. Anuani za makazi
Kati ya kituko hapa nchini ni hiki cha anuani ya makazi. Hapa waziri naamini hajui hata anachokifanya. Karuka na chopa lakini mwisho wa siku aibu tupu. Sijui kama anawaza haya mambo.

Kuna nguzo huko vijijini ukiona hadi unahisi watanzania tumelaaniwa. Haitakiwi kabisa zile nguzo kusimikwa popote pale dunini.

Ni aibu ya mwaka nguzo ya anuani ya makazi afu ni miti. Na vijijini huko wanaweka hadi kwenye majaruba. Na waziri yupo na analipwa pesa na marupurupu kibao.

Naomba Rais Samia awe serious na maisha ya watanzania. Toa huyu mtu muweke huko kwenye chama. Weka wataalm na wasomi kwenye hizi kazi.
Hapo watu wamepiga pesa ndefu na wamekaa pembeni
 
Mzigo mzito hata mnyamwezi umemshinda
Yani hao waliohusika na postikodi hawajaonekana kwa baadhi ya mitaa na hata namba kwenye majengo hamna tena katikati ya jiji.
Nape mtu wa blaa blaa
 
Huyu jamaa huwa anafurahia kuwa sehemu ya serikali tu kwa cheo cha waziri. Ila kimsingi hawezi ku deliver kabisa. 😂😂😂
 
Naamini kabisa kwenye Ile orodha ya Mawaziri mizigo ya Kinana na Waziri Nape yumo.

Waziri huyu bwana naona tu ni kama zawadi kapewa, hata yeye nazani anaona kabisa hawezi.

Mambo mawili yanayomshushia heshima na kama hatakuwa makini atatoka kabisa kwenye reli.

1. Vifurushi vya mawasiliano / Bundle
Hakuna kitu huyu waziri anafanya kuhusu ghalama za bundle, zinazidi kuwa kubwa na internet zinaliwa bila mtumiaji kujua. Malalamiko haya yashafikishwa kwake na watu wakaambulia matusi.

2. Anuani za makazi
Kati ya kituko hapa nchini ni hiki cha anuani ya makazi. Hapa waziri naamini hajui hata anachokifanya. Karuka na chopa lakini mwisho wa siku aibu tupu. Sijui kama anawaza haya mambo.

Kuna nguzo huko vijijini ukiona hadi unahisi watanzania tumelaaniwa. Haitakiwi kabisa zile nguzo kusimikwa popote pale dunini.

Ni aibu ya mwaka nguzo ya anuani ya makazi afu ni miti. Na vijijini huko wanaweka hadi kwenye majaruba. Na waziri yupo na analipwa pesa na marupurupu kibao.

Naomba Rais Samia awe serious na maisha ya watanzania. Toa huyu mtu muweke huko kwenye chama. Weka wataalm na wasomi kwenye hizi kazi.
Hawa ndo wamepata hizo nafasi kupitia majina ya baba zao .Huyo Nape ni bonge wa kilaza kwenye uongozi.
 
Epson L3111 for sale
printing(black and colored)
copying
scanning
price 420k(nagitiable)
0769925004.
 
Bando sawa, Ila ilo la nguzo huko vijijini jepesi Sana.
Je unajua ghrama iliyotumika kwa kila nguzo?
1660557129651.png
 
Epson L3111 for sale
printing(black and colored)
copying
scanning
price 420k(nagitiable)
0769925004.
 
Back
Top Bottom