Hivi kuna mtu anaemwelewa Waziri Nape? Ni aibu sana

Hivi kuna mtu anaemwelewa Waziri Nape? Ni aibu sana

Naamini kabisa kwenye Ile orodha ya Mawaziri mizigo ya Kinana na Waziri Nape yumo.

Waziri huyu bwana naona tu ni kama zawadi kapewa, hata yeye nazani anaona kabisa hawezi.

Mambo mawili yanayomshushia heshima na kama hatakuwa makini atatoka kabisa kwenye reli.

1. Vifurushi vya mawasiliano / Bundle
Hakuna kitu huyu waziri anafanya kuhusu ghalama za bundle, zinazidi kuwa kubwa na internet zinaliwa bila mtumiaji kujua. Malalamiko haya yashafikishwa kwake na watu wakaambulia matusi.

2. Anuani za makazi
Kati ya kituko hapa nchini ni hiki cha anuani ya makazi. Hapa waziri naamini hajui hata anachokifanya. Karuka na chopa lakini mwisho wa siku aibu tupu. Sijui kama anawaza haya mambo.

Kuna nguzo huko vijijini ukiona hadi unahisi watanzania tumelaaniwa. Haitakiwi kabisa zile nguzo kusimikwa popote pale dunini.

Ni aibu ya mwaka nguzo ya anuani ya makazi afu ni miti. Na vijijini huko wanaweka hadi kwenye majaruba. Na waziri yupo na analipwa pesa na marupurupu kibao.

Naomba Rais Samia awe serious na maisha ya watanzania. Toa huyu mtu muweke huko kwenye chama. Weka wataalm na wasomi kwenye hizi kazi.
Kuna NAPE , BASHUNGWA na MWIGULU mpaka kesho sijui ilikuaje wakawa mawazili hasa katika wizara waliopo. Au naota??
 
Number ipo, kuna watu wengi hawajui, vipimo vya anuani za makazi vinatumia GPS, hata kama hawajaandika, nenda Google map utaiona nyumba yako.
P
Kumbe ww mzeee huna akili kabisa zero kabisa kwa hyo ulivyojibu ndio umeona umejibu sahihi kabisa? Hyo Google unayoongelea hapa unaijua kweli au? Au umekomaza fuvu lako tu unafikili kila mmoja anajua Huo utumwa wako? Ingekuwa hyo serikar si ingesema Ingia Google upate Anuani ya nyumba yako
 
Wenzao walisema mpango kazi wa miaka mitano ili iendane na mipangi miji, wao wakaja chifu hangaya akatoa miezi mitano.

Nadhani ilikuwa katika kuhalalisha upigaji kama ule wa tanesco kutoa tenda kwa wahindi.

Target kuwarudishia pesa mfukoni watu fulani.
Tulia Kijana.
 
Naamini kabisa kwenye Ile orodha ya Mawaziri mizigo ya Kinana na Waziri Nape yumo.

Waziri huyu bwana naona tu ni kama zawadi kapewa, hata yeye nazani anaona kabisa hawezi.

Mambo mawili yanayomshushia heshima na kama hatakuwa makini atatoka kabisa kwenye reli.

1. Vifurushi vya mawasiliano / Bundle
Hakuna kitu huyu waziri anafanya kuhusu ghalama za bundle, zinazidi kuwa kubwa na internet zinaliwa bila mtumiaji kujua. Malalamiko haya yashafikishwa kwake na watu wakaambulia matusi.

2. Anuani za makazi
Kati ya kituko hapa nchini ni hiki cha anuani ya makazi. Hapa waziri naamini hajui hata anachokifanya. Karuka na chopa lakini mwisho wa siku aibu tupu. Sijui kama anawaza haya mambo.

Kuna nguzo huko vijijini ukiona hadi unahisi watanzania tumelaaniwa. Haitakiwi kabisa zile nguzo kusimikwa popote pale dunini.

Ni aibu ya mwaka nguzo ya anuani ya makazi afu ni miti. Na vijijini huko wanaweka hadi kwenye majaruba. Na waziri yupo na analipwa pesa na marupurupu kibao.

Naomba Rais Samia awe serious na maisha ya watanzania. Toa huyu mtu muweke huko kwenye chama. Weka wataalm na wasomi kwenye hizi kazi.
Kabla ya mwezi wa 3 mwaka 2022, nilikuwa nikinunua 50GB kwa 50,000/= kwa mwezi. Baada ya hapo ikashuka mpaka 32GB kwa bei hiyohiyo. Then mwezi wa saba ikashuka hadi 28GB kwa 50,000/= na niliacha kununua. Lakini Mh Nape hayaoni haya?, akiulizwa anakwepa kuyajibia, anasema bado gharama ziko chini ukilinganisha na mataifa mengine. Hii 28GB ni ya juzi tu kabla ya sekeseke la bei elekezi.
 
Naamini kabisa kwenye Ile orodha ya Mawaziri mizigo ya Kinana na Waziri Nape yumo.

Waziri huyu bwana naona tu ni kama zawadi kapewa, hata yeye nazani anaona kabisa hawezi.

Mambo mawili yanayomshushia heshima na kama hatakuwa makini atatoka kabisa kwenye reli.

1. Vifurushi vya mawasiliano / Bundle
Hakuna kitu huyu waziri anafanya kuhusu ghalama za bundle, zinazidi kuwa kubwa na internet zinaliwa bila mtumiaji kujua. Malalamiko haya yashafikishwa kwake na watu wakaambulia matusi.

2. Anuani za makazi
Kati ya kituko hapa nchini ni hiki cha anuani ya makazi. Hapa waziri naamini hajui hata anachokifanya. Karuka na chopa lakini mwisho wa siku aibu tupu. Sijui kama anawaza haya mambo.

Kuna nguzo huko vijijini ukiona hadi unahisi watanzania tumelaaniwa. Haitakiwi kabisa zile nguzo kusimikwa popote pale dunini.

Ni aibu ya mwaka nguzo ya anuani ya makazi afu ni miti. Na vijijini huko wanaweka hadi kwenye majaruba. Na waziri yupo na analipwa pesa na marupurupu kibao.

Naomba Rais Samia awe serious na maisha ya watanzania. Toa huyu mtu muweke huko kwenye chama. Weka wataalm na wasomi kwenye hizi kazi.
Nimecheka ila ukweli huko singida wameweka mitaa porini kabisa machungani
 
Waziri huyu bwana naona tu ni kama zawadi kapewa, hata yeye nazani anaona kabisa hawezi.
images05.jpg
 
Back
Top Bottom