Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Number ipo, kuna watu wengi hawajui, vipimo vya anuani za makazi vinatumia GPS, hata kama hawajaandika, nenda Google map utaiona nyumba yako.Sasa mimi wakati wa kutoa namba walikwaruza geti.
Waliporudi kuweka rangi rasmi nahisi hawakuiona hiyo namba hivyo sijawejewa hiyo namba
PichaNaamini kabisa kwenye Ile orodha ya Mawaziri mizigo ya Kinana na Waziri Nape yumo.
Waziri huyu bwana naona tu ni kama zawadi kapewa, hata yeye nazani anaona kabisa hawezi.
Mambo mawili yanayomshushia heshima na kama hatakuwa makini atatoka kabisa kwenye reli.
1. Vifurushi vya mawasiliano / Bundle
Hakuna kitu huyu waziri anafanya kuhusu ghalama za bundle, zinazidi kuwa kubwa na internet zinaliwa bila mtumiaji kujua. Malalamiko haya yashafikishwa kwake na watu wakaambulia matusi.
2. Anuani za makazi
Kati ya kituko hapa nchini ni hiki cha anuani ya makazi. Hapa waziri naamini hajui hata anachokifanya. Karuka na chopa lakini mwisho wa siku aibu tupu. Sijui kama anawaza haya mambo.
Kuna nguzo huko vijijini ukiona hadi unahisi watanzania tumelaaniwa. Haitakiwi kabisa zile nguzo kusimikwa popote pale dunini.
Ni aibu ya mwaka nguzo ya anuani ya makazi afu ni miti. Na vijijini huko wanaweka hadi kwenye majaruba. Na waziri yupo na analipwa pesa na marupurupu kibao.
Naomba Rais Samia awe serious na maisha ya watanzania. Toa huyu mtu muweke huko kwenye chama. Weka wataalm na wasomi kwenye hizi kazi.
Aiseee Mzee Mimi nina pesa nashindwa kabisa kupokea kisa hii PayPal haifanyi KazNAPE VIJANA TUNAOMBA "PayPal" ILI TUJIAJIRI.
HILI NI OMBI MUHIMU SANA.
Asante!
Si mnasema walikua wanaonewa?Ingekua kipindi cha JPM, mitandao ingekua ishapigwa faini kuzuia huu upuuzi. Yaani wanapiga pesa nyingi sana kupitia huu ujinga wakati wanawalipa Watanzania mishahara midogo sana!
Hilo nalo mkaliangalie
NI wewe Mayala umetoa hilo jibu?Hakuna aibu yoyote wala ajabu yoyote anuani ya makazi kubandikwa kwenye nguzo za miti, kwasababu huo ndio uhalisia wetu, vijijini kwetu nguzo ni za miti kuanzia za kujengea hadi za viti, meza na vitanda, sasa ajabu ni nini kwa anuani ya makazi kubandikwa kwenye nguzo ya mti?.
Amtoe kwa kosa gani?!
Acheni hizo!, angewasikiliza watu kama nyinyi, by now angeisha watoa wangapi?!.
Mimi ni miongoni mwa ambao tunamwelewa sana Nape.
P
Umemwelewa kweli wewe?Hakuna aibu yoyote wala ajabu yoyote anuani ya makazi kubandikwa kwenye nguzo za miti, kwasababu huo ndio uhalisia wetu, vijijini kwetu nguzo ni za miti kuanzia za kujengea hadi za viti, meza na vitanda, sasa ajabu ni nini kwa anuani ya makazi kubandikwa kwenye nguzo ya mti?.
Amtoe kwa kosa gani?!
Acheni hizo!, angewasikiliza watu kama nyinyi, by now angeisha watoa wangapi?!.
Mimi ni miongoni mwa ambao tunamwelewa sana Nape.
P
π³π³π³π³π³Hakuna aibu yoyote wala ajabu yoyote anuani ya makazi kubandikwa kwenye nguzo za miti, kwasababu huo ndio uhalisia wetu, vijijini kwetu nguzo ni za miti kuanzia za kujengea hadi za viti, meza na vitanda, sasa ajabu ni nini kwa anuani ya makazi kubandikwa kwenye nguzo ya mti?.
Amtoe kwa kosa gani?!
Acheni hizo!, angewasikiliza watu kama nyinyi, by now angeisha watoa wangapi?!.
Mimi ni miongoni mwa ambao tunamwelewa sana Nape.
P
Hapo watu wamepiga pesa ndefu na wamekaa pembeniNaamini kabisa kwenye Ile orodha ya Mawaziri mizigo ya Kinana na Waziri Nape yumo.
Waziri huyu bwana naona tu ni kama zawadi kapewa, hata yeye nazani anaona kabisa hawezi.
Mambo mawili yanayomshushia heshima na kama hatakuwa makini atatoka kabisa kwenye reli.
1. Vifurushi vya mawasiliano / Bundle
Hakuna kitu huyu waziri anafanya kuhusu ghalama za bundle, zinazidi kuwa kubwa na internet zinaliwa bila mtumiaji kujua. Malalamiko haya yashafikishwa kwake na watu wakaambulia matusi.
2. Anuani za makazi
Kati ya kituko hapa nchini ni hiki cha anuani ya makazi. Hapa waziri naamini hajui hata anachokifanya. Karuka na chopa lakini mwisho wa siku aibu tupu. Sijui kama anawaza haya mambo.
Kuna nguzo huko vijijini ukiona hadi unahisi watanzania tumelaaniwa. Haitakiwi kabisa zile nguzo kusimikwa popote pale dunini.
Ni aibu ya mwaka nguzo ya anuani ya makazi afu ni miti. Na vijijini huko wanaweka hadi kwenye majaruba. Na waziri yupo na analipwa pesa na marupurupu kibao.
Naomba Rais Samia awe serious na maisha ya watanzania. Toa huyu mtu muweke huko kwenye chama. Weka wataalm na wasomi kwenye hizi kazi.
Hawa ndo wamepata hizo nafasi kupitia majina ya baba zao .Huyo Nape ni bonge wa kilaza kwenye uongozi.Naamini kabisa kwenye Ile orodha ya Mawaziri mizigo ya Kinana na Waziri Nape yumo.
Waziri huyu bwana naona tu ni kama zawadi kapewa, hata yeye nazani anaona kabisa hawezi.
Mambo mawili yanayomshushia heshima na kama hatakuwa makini atatoka kabisa kwenye reli.
1. Vifurushi vya mawasiliano / Bundle
Hakuna kitu huyu waziri anafanya kuhusu ghalama za bundle, zinazidi kuwa kubwa na internet zinaliwa bila mtumiaji kujua. Malalamiko haya yashafikishwa kwake na watu wakaambulia matusi.
2. Anuani za makazi
Kati ya kituko hapa nchini ni hiki cha anuani ya makazi. Hapa waziri naamini hajui hata anachokifanya. Karuka na chopa lakini mwisho wa siku aibu tupu. Sijui kama anawaza haya mambo.
Kuna nguzo huko vijijini ukiona hadi unahisi watanzania tumelaaniwa. Haitakiwi kabisa zile nguzo kusimikwa popote pale dunini.
Ni aibu ya mwaka nguzo ya anuani ya makazi afu ni miti. Na vijijini huko wanaweka hadi kwenye majaruba. Na waziri yupo na analipwa pesa na marupurupu kibao.
Naomba Rais Samia awe serious na maisha ya watanzania. Toa huyu mtu muweke huko kwenye chama. Weka wataalm na wasomi kwenye hizi kazi.
Je unajua ghrama iliyotumika kwa kila nguzo?Bando sawa, Ila ilo la nguzo huko vijijini jepesi Sana.
Asante kwa kuweka hii picha.Je unajua ghrama iliyotumika kwa kila nguzo?
View attachment 2324360