Kuna baadhi ya wanaume tunakutana nao barabarani wananukia njia zima .Unaamini nini mwanaume akiwa ananukia??
Mbwiga ni wewe mkuu uliyekuwa unajipulizia huku unataka kulia badala ya kumwaga tabasabu wakati mwenzio alinunua 800k akiwa anacheka!!Kuna mbwiga mmoja aliwahi kunitumia zawadi ya perfume kumbe inauzwa laki nane dukani,nilikuwa najipulizia huku nataka kulia
Mkuu una miaka mingapi? isijekuwa unasema maisha yako yote kumbe bado kijana mdogo.Maisha yangu yote sijawahi kutumia perfume au hata kuvaa necklace, hayo mavitu huwa mnapata faraja au raha gani kuyatumia.
Sasa mkuu yani unatumia perfume ya 350k halafu unapanda mwendokasi? zile purukushani tu za mule ndani si unatoka jasho limeshakutoka.Baada ya kuangaika kutafuta perfume bora ya kiume kwangu hii ndo bora kuliko mzigo unaitwa SAUVAGE ELIXIR tena upate original huu mzigo ni balaa achana na zile za kkoo huwa nikienda mishemishe nikikutana na watoto wa kishua hawaachi kuniuliza unyunyu unaitwaje
Juzi nimepanda zangu mwendokasi nilikaa na pisi kali full mikausho nashangaa pisi inataka namba yangu nikaikumbuka ile ngoma ya Josline (wanaizimika yangu perfume)
View attachment 3137303
Nimeletewa zawadi boss siwezi toa pesa yote hiyo kununua perfumeSasa mkuu yani unatumia perfume ya 350k halafu unapanda mwendokasi? zile purukushani tu za mule ndani si unatoka jasho limeshakutoka.
Mimi honestly si mpenzi wa perfume na manukato. Nashkuru Mungu kwakua mwil wangu sina jasho la kunuka. Na pia mimi ni mdau wa kuvaa nguo 1 mara moja katika ndani ya week hivyo na pia sipendelei sana kujipuliza marashi kwenye ngoziAah naikubali miaka 100 kitambo sana
Lipia tangazoBaada ya kuangaika kutafuta perfume bora ya kiume kwangu hii ndo bora kuliko mzigo unaitwa SAUVAGE ELIXIR tena upate original huu mzigo ni balaa achana na zile za kkoo huwa nikienda mishemishe nikikutana na watoto wa kishua hawaachi kuniuliza unyunyu unaitwaje
Juzi nimepanda zangu mwendokasi nilikaa na pisi kali full mikausho nashangaa pisi inataka namba yangu nikaikumbuka ile ngoma ya Josline (wanaizimika yangu perfume)
View attachment 3137303
Na ukute wala hajawahi ipaka ...Leo kapita mahali kaipiga picha.HahahahaLengo kuu ilikua ni kuujuza umma kwamba una kipato kizuri.
Nimeona notes zake inaonyesha inanukia vizuriii
ππππSahih....kuna mmoja hapa anatumia hyo perfume.... tokea nimemjua ni zaidi ya miaka 10 hajawahi kuwa mkweli.
ππndo unayotumia nini?Perfume inamfanyaje mtu kuwa muongo? Hizi tuhuma zimezidi sasa
Wacha nisicoment chochoteNa ukute wala hajawahi ipaka ...Leo kapita mahali kaipiga picha.Hahahaha
Kimsingi hakuna faraja yeyote zaidi ya kujiona Tozi Nyangema..Maisha yangu yote sijawahi kutumia perfume au hata kuvaa necklace, hayo mavitu huwa mnapata faraja au raha gani kuyatumia.
Unapatikqna wapi
Levels KakaAiseeee Lugumi anaonyesha Garage yenye CHUMA latest za 2024 huku watu wanaonyesha Pafyumu na Iphone.