Hivi kuna uhusiano gani kati ya 'gari' na 'mtoto wa kike?'

Personally, I love dating a man who own a car because it's more comfortable being with him. Imagine we are out at a late night then mnaka mnawaza jinsi mtakanyorudi home( its either mchukue bajaj or a taxi) but if a man has a car its free to move around especially kama hapa dar kwenye usumbufu wa magari.So, my views are: men with cars have a graet potential
 
My goodness! Kwanini usitafute lako mwenyewe? Badala ya kumaliza nguv kutafuta mwanaume mwenye gari, tafuta lako! Heee jamani haya makubwa!
 
Ugonjwa wa gari naona mimi ndiyo umeniathiri zaidi, hata nikimuona mtu anaendesha trekta, bajaji au tipper la mchanga tayari najisikia kufa kwake kabisaaa.

Haa haaa umenichekeshaaje..............na anaeendesha yale ya maji taka je?
 
Nini STK kuna jamaa dreva wa ki ICE pale Tandika anamega wake za watu mpaka wazee wakaamua kufunga icho kituo ambacho walikuwa wakikitumia kupaki magari yao
 

Kati ya gari na nyumba kipi kinafanya ndoa kuwa imara zaidi?
 
My goodness! Kwanini usitafute lako mwenyewe? Badala ya kumaliza nguv kutafuta mwanaume mwenye gari, tafuta lako! Heee jamani haya makubwa!

hapo umenena Paloma, kuliko kuvizia wanaume wenye magari si bora utafute lako tena ndio unaenjoy zaidi ukiwa na lako ukisubiria la kudandia ukimuudhi kidogo tu anaweza akakushusha njiani. Kitu chako bwana chamwenzio wakitolea macho ina huuuuuu!!?
 

Mtazamo wangu uko tofauti katika hili.
For me mwanaume hata akiwa na gari la milioni 200 km hajajenga kwa kweli nakuwa simuelewi.
Ninakuwa najiuliza gari....sawa...but maisha yanaishia kwenye gari tuu?

Hata nikisikiaga watu wakimsifia mwanaume sijui kanunua gari la maana, ooh mbona wasichana watamkoma mjini....huwa nakuja na swali AMEJENGA?

Namuheshumu sana mwanaume aliyejenga kuliko aliye na gari hana nyimba.
 
Usicheze na kitu kinaitwa engine..ama uchawi wa mzungu..kina help

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Afu usikute ni vitz ama corolla ndo unaita gari. Hizo ni motokaa ujue. Utakuja kutukanwa ohooo.

Haha haaa King'asti umenichekesha....ni sawa na mtu mwenye NOKIA ya tochi akasema ana simu.....kanaitwa mawasiliano na si simu
 
Last edited by a moderator:
Mim nafikiri itategemea yuko kwny stage gan ya maisha ikiwa ndo kagraduate tu chuo n kapata kazi obviously n lazma avute mkoko hizo idea zako za kujenga nyumba ni za kuanzia 30 yrs na kuendeleaa huwez kua 23 eti uhangaikie mjengo, nkt ndinga n 10m or wht evr vuta ndinga nyumba baadae..bhana..plus nyumba huwezi temebea nayo mgongoni..!!
 

That is why nilisema nina mtazamo tofauti, na huu ndo mtazamo wangu.
What u said ni mtazamo wako.
As for me hata km ndo first appointment ukanunua gari na mwingine wa same status akanunua kiwanja, still kwangu aliyenunua kiwanja ndiye nitakayempa BIG up, narudia ni mtazamo wangu.
 
My goodness! Kwanini usitafute lako mwenyewe? Badala ya kumaliza nguv kutafuta mwanaume mwenye gari, tafuta lako! Heee jamani haya makubwa!

Umeona eeh Paloma.....kujitafutia balaa tuu,maana anataka mwenye gari, anajua kalipataje.......
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…