Hivi kuna uhusiano gani kati ya Usukuma na ushamba?

Ni kama kuuliza uhusiano kati ya Kitunguu na Nyanya
 
😹😹😹 Shimba yeye mwenyewe anataka kujiweka kwako, na kasema akinywa maji anakuona kwenye glass, hawezi kuishi bila wewe..!!!

Jimbo lenye upinzani ndo zuri, hatutaki kupita bila kupingwa twende nalo mji uchangamke 🤣🤣
Utaniponza ujue🤣🤣we mi niache niendelee na ngarangara langu mzabzab kila mtu humu anajifanya hamtaki eti ana tabia mbaya mi ndio namtaka hivyohivyo
 
Utaniponza ujue🤣🤣we mi niache niendelee na ngarangara langu mzabzab kila mtu humu anajifanya hamtaki eti ana tabia mbaya mi ndio namtaka hivyohivyo
Safi shangazi wee na mie mpaka kufa nankuzikana lazina wana jf waje kwenye harusi yetu....pale nesho. Pilau chini sie tupo juu ya helikopter
 
Kuna mmoja alikuja kwangu binti wa miaka kama 22 wife kampa material ikiwemo nazi aunge kande la nazi.nazi alikua kashakwangua tiari wife.ni kitendo cha kukamua tu.basi binti kjipinda jikoni nkawa nasikia chwaaa chwaaa anakalangiza nkajua wasukuma na makande ni kama punda na mzigo.ikafika muda wa kutia nazi wacha amimine machicha kama yalivyo kisha akakoroga.aiseee msosi umetengwa kila mtu akitafuna kande anakutana na chicha kumhoji ndo akasema alimimina kama lilivo hakujua kama linatiwa maji na kuchujwa.
Hii baghosha amasukuma manywana na matumbafu sana halafu masoso giti ma jangu
 
Nyanoko utulagwa bhugosha na nva.
 
Safi sana Mwamba. Kuna kitu nimewaambia huko juu ila hawajanielewa. Baada ya miaka mochache Wasukuma watakuwa wanamiliki ardhi karibu yote ya Tanzania. Na ndo watakuwa Madon. Si ardhi inapanda thamani kila siku? Safi sana Sukumas.
 
Kwahiyo unataka sema Nyani Ngabu Yuko hivyo pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…