Hivi kuna uhusiano gani kati ya Usukuma na ushamba?

Hivi kuna uhusiano gani kati ya Usukuma na ushamba?

Inawezekana Kila mtu ni mshamba lakini ushamba tunakuwa nao kwa muda, ila kwa upande wa wasukuma ushamba ni kitu hakiwatoki nimekuja kubali msukuma hata angezaliwa New York city still angebaki na viashiria fulani kuonyesha kuwa ni mshamba.

Nimejifunza haya baada ya interaction na wasukuma yaani wao ushamba hauwatoki.

Angalia wakikosea namba ya simu utakapokereka nao halafu wagumu sana kukubali kuwa amekosea
Ni kama kuuliza uhusiano kati ya Kitunguu na Nyanya
 
😹😹😹 Shimba yeye mwenyewe anataka kujiweka kwako, na kasema akinywa maji anakuona kwenye glass, hawezi kuishi bila wewe..!!!

Jimbo lenye upinzani ndo zuri, hatutaki kupita bila kupingwa twende nalo mji uchangamke 🤣🤣
Utaniponza ujue🤣🤣we mi niache niendelee na ngarangara langu mzabzab kila mtu humu anajifanya hamtaki eti ana tabia mbaya mi ndio namtaka hivyohivyo
 
Utaniponza ujue🤣🤣we mi niache niendelee na ngarangara langu mzabzab kila mtu humu anajifanya hamtaki eti ana tabia mbaya mi ndio namtaka hivyohivyo
Safi shangazi wee na mie mpaka kufa nankuzikana lazina wana jf waje kwenye harusi yetu....pale nesho. Pilau chini sie tupo juu ya helikopter
 
Kuna mmoja alikuja kwangu binti wa miaka kama 22 wife kampa material ikiwemo nazi aunge kande la nazi.nazi alikua kashakwangua tiari wife.ni kitendo cha kukamua tu.basi binti kjipinda jikoni nkawa nasikia chwaaa chwaaa anakalangiza nkajua wasukuma na makande ni kama punda na mzigo.ikafika muda wa kutia nazi wacha amimine machicha kama yalivyo kisha akakoroga.aiseee msosi umetengwa kila mtu akitafuna kande anakutana na chicha kumhoji ndo akasema alimimina kama lilivo hakujua kama linatiwa maji na kuchujwa.
Hii baghosha amasukuma manywana na matumbafu sana halafu masoso giti ma jangu
 
Kuna mmoja alikuja kwangu binti wa miaka kama 22 wife kampa material ikiwemo nazi aunge kande la nazi.nazi alikua kashakwangua tiari wife.ni kitendo cha kukamua tu.basi binti kjipinda jikoni nkawa nasikia chwaaa chwaaa anakalangiza nkajua wasukuma na makande ni kama punda na mzigo.ikafika muda wa kutia nazi wacha amimine machicha kama yalivyo kisha akakoroga.aiseee msosi umetengwa kila mtu akitafuna kande anakutana na chicha kumhoji ndo akasema alimimina kama lilivo hakujua kama linatiwa maji na kuchujwa.
Hii baghosha amasukuma manywana na matumbafu sana halafu masoso giti ma jangu
Nyanoko utulagwa bhugosha na nva.
 
Ngoja niteme nyongo kidogo
I declare interest

Huu ushamba umetusaidia tumenunua ardhi yenu morogoro, Iringa, Mbeya Tanga ,Dodoma, lindi, mtwara, mpanda Kigoma, achana na mikoa yetu, Huko kwenu ndo tunachungia na kuzalisha vingi.
Na dada zenu huwambii kitu Kuhusu sisi.
Huu ushamba bana tunamiliki population ya 20+ million na theluthi ya wanafunzi wa elimu ya juu nao ni wetu.
kwa kufupisha story
ushamba wetu ndo akili zetu we ukisema tena kesho nanunua ekari mia songea.
Safi sana Mwamba. Kuna kitu nimewaambia huko juu ila hawajanielewa. Baada ya miaka mochache Wasukuma watakuwa wanamiliki ardhi karibu yote ya Tanzania. Na ndo watakuwa Madon. Si ardhi inapanda thamani kila siku? Safi sana Sukumas.
 
Inawezekana Kila mtu ni mshamba lakini ushamba tunakuwa nao kwa muda, ila kwa upande wa wasukuma ushamba ni kitu hakiwatoki nimekuja kubali msukuma hata angezaliwa New York city still angebaki na viashiria fulani kuonyesha kuwa ni mshamba.

Nimejifunza haya baada ya interaction na wasukuma yaani wao ushamba hauwatoki.

Angalia wakikosea namba ya simu utakapokereka nao halafu wagumu sana kukubali kuwa amekosea
Kwahiyo unataka sema Nyani Ngabu Yuko hivyo pia
 
Back
Top Bottom