Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Ndiyo maana Watindiga mimi nawakubali sana. Wanakula nyama zao mbichi hawana shida na mtu halafu mtu anatoka huko na ustaarabu wake wa kizungu anaanza kuwaponda. Hovyo kabisa!Waswahili swqhili wengi ni wapumbavu sana ,,yaani jamii flani ikiamua kuishi katika tamaduni yake inaitwa washamba ,,wasukuma siyo washamba ila wameamua kuishi katika uhalisia wao hawataki kue dit maisha asa wee mjinga mjinga ndo unaona huo ndo ushamba,,,okay umeulizwa toa maaana ya ushamba ni nn unarukaruka tu ushuzi.
Joannah unaitwa huku mume kapatikana, nataka nimpigie fundi anitengenezee zizi nichukue ng’ombe zangu 😹😹😹Kama jimbo liko wazi niunganishe naye aje aonje maana ya raha hapa duniani 👇👇👇
View attachment 3209833
Mwanamke au mwanaume?Kuna mmoja alikosea namba mwaka wa 3 huu nablock anachange namba akipiga anasema nilikuwa nakusalimu😂😂😂
My saulimeti hana shida mtu wa watu, na akipatikana msukuma mwingine kama wewe nipasie mapema, uwe shemeji na uwe solimeti pia😀Huyo ni soulimeti wangu muache bana. Halafu mimi mbona nimenyoka kama rula jamani? Hebu mwache Mnyaki wa watu aje ale mema ya nchi bana! 😁😁😁
Kama PM yako iko wazi nakuja kukugombesha!
Labda mimi sio msukumaKatika jamii ya watu wanaojiamini Tanzania wasukuma ni namba moja .
Kwanini mkuu?Labda mimi sio msukuma
Hata Shimba ya Buyenze hana shida huyo, wasukuma wako vizuri😀Ukimpata msukuma kweli kweli. Sio hawa kina Shimba ya Buyenze 🙈🙈
Hawajui kua,hata wao wa mjini,siku wakienda huko vijijini kwa wasukuma,na wao pia wataonekana kua ni washamba.watu wanaoishi vijijini wanakuwa na uelewa mdogo wa mambo ya mjini hivyo huonekana washamba
sasa kwavile wasukuma wengi wanaishi vijijini mmekariri wote ni washamba
halafu mambo mengi mnayowasemea kama kutokujinyima chakula na kupenda kilugha chao si ushamba ni mtindo wa maisha tu
Huwa wakija wanapelea kisenge ety zile nyumba zetu za udongo wanavua viatu ndo wanaingia ndaniHawajui kua,hata wao wa mjini,siku wakienda huko vijijini kwa wasukuma,na wao pia wataonekana kua ni washamba.
MwanaumeMwanamke au mwanaume?
Shimba ya BuyenzeKama jimbo liko wazi niunganishe naye aje aonje maana ya raha hapa duniani 👇👇👇
View attachment 3209833
Ooh!!kumbe mwanaumeMwanaume
Mimi ni mshamba pia so itakua ngoma droo😀😀
Hayana nzunone iyagamba itemi lyamapembe lyang'wa Lūgiko. Nangī hamo tayali onchima?