Hivi kuna ulazima wa wakati Rais wa JMT anaapisha wateule wake hafla kuhudhuriwa na viongozi wakuu wote na wale wa vyombo vya dola?

Nimekuelewa bwashee!
 
Yule Mwendazake alikuwa anaogopa kupinduliwa ndiyo maana hata shughuli ndogo lazima CDF, DG TISS, IGP wawepo.

Pili alikuwa anataka kutishia wananchi kuonyesha kuwa hao watu wako chini yake, ukufanya nyodo wanakushughulikia
 
Huu utaratibu uliletwa na yule dhalim
 
Hii staili aliianzisha the late magu,huko nyuma haikuwepo
 

How old are you ?
Jiwe akienda Chato kuzindika au zulula mtaani wote hao walikuwepo...mbona hukuuliza ?
Mama anawatoa nishai kwa kufanya kazi kwa akili, maarifa na kufuata ushauri wa wataalam mnaanza kuuliza maswali ya kitoto...
Mara sijui hana mvuto, hali mahindi barabarani au kujipa zawadi ya jogoo na usanii wa kishamba !!
Tuachieni Mama yetu apige kazi...atawanyoosha tuu
 
Ni kweli mataga wanatapatapa. Naomba ikiwezekana changia la kijasusi japo kidogo kujibu swali la je kuna ULAZIMA??

Lakini pia huu uzi na hii AKILI huyo umwitaye MATAGA kaukopi na kuuiga kwa mtu mmoja aliandika hii thread kule jamii intelligence

Ulikuwa kipofu wakati wa utawala wa Mwendazake? MATAGA mnatapatapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…