Hivi kuna uwezekano kati ya mwanamke na mwanaume kupanga nyumba moja bila kuwa na mahusiano?

Hivi kwa nini hawa wajumbe huko juu was iwe na mawazo kama yako??
 
Reactions: Lee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nina imani hizi koments zimekunyegesha sana, ntakukumbusha jioni
Ningeuona udu** kwenye comments labda🤣🤣🤣lakini maneno tu🤣🤣hapana aise
 
Ila kwa ninavyowajua wazee wa kazi hakuna kinachoshindikana chini ya jua hata awe na sura mbovu..Ila cha mtema atakiona
 
Kwa asilimia kubwa labda 90% haiwezekani. Mtaishia kuvuana chupi tu kwa wale wanaovaa chupi 😜😜😜

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…