inakuwaga hivyo...Huwezi kuwaza sex ukiwa na njaa hata siku moja.Hapo kwenye 'kushiba na mawazo ya sex yanacome '[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo umeniacha hoi
ndiooo utakiπWeeeeπ€ͺπ€ͺπ€ͺkumbee
Woooooozaaaaaahhhhhπ§ββοΈπ§ββοΈπ§ββοΈπ§ββοΈπ§ββοΈπ§ββοΈπ§ββοΈπ§ββοΈNaendelea kusoma comments zenu wakuu hususani weweNa mimi nacheka chekaa huku nasema "kweli? Sasa hapo nilikuwa na haraka ngoja siku nikae nikupikie vizuri". Jicho nalirembua haswa.ππππ
Unaumwa wewe!!!Kama toothpick unaiheshimu huwezi kuitafuna mkuu
ila wanawake jaman mtatuuwa yan ukiongeza. boy nakazia apo mwnamke jicho bhanaa π π π ivi waona kwel ww!?Na mimi nacheka chekaa huku nasema "kweli? Sasa hapo nilikuwa na haraka ngoja siku nikae nikupikie vizuri". Jicho nalirembua haswa.ππππ
πππHahahah hapo swadaktaaah, wacha nitafute nyumba soon πππ nije kuinjoy madiko diko mie...mwanamke kupika bana!Napika kwa ufundi wote chakula ambacho kitakushawishi baada ya kula utamani kumla na mpishi.
Fanya uje tupange pamoja.πππππ
Tena umepatia kwa kiwango cha juu sana.wewe unafaa sana mkuu.inawezekana ulishawahi kuishi maisha hayo.hebu nipe uzoefu kidogoInawezekana sana kama msingi ni urafiki make ata mwanamke anahitaji marafiki wa kiume
Sijui lakin kama nmepatia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]