Hivi kuna uwezekano kati ya mwanamke na mwanaume kupanga nyumba moja bila kuwa na mahusiano?

Run! Run! Run! Its a trap, utanishukuru baadaye!
πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈAsante
 
Hii ni sawa sawa na kwenye uchaguzi wa mwaka huu CHADEMA wawaombe Mawakala wa CCM wawasaidie kulinda kura zao sehemu watakazoshindwa kuweka mawakala
Aise 🀣
 
Pita tu baba..
Nashukuru ...nitakuwa nimepatiaa sana make wachache wamepewa ofa hii

But kiukweli inawezekana make muhim muamue kuishi kwenye huo msingi wa urafik na maisha yake naamini ni mazuri balahaaa ...uchanganyee urafiki na ushikajiiii raha sana nahisi

Sema kwa wenye mentality ya ukmtumia text nne binti na akajibu ukawaza wa ya tano umuingizee kingi kimtongozo hawawez kukubaliana na mawazo yangu japo sjapata lunch yawezekana mawazo ya njaa njaaa
 
πŸ™ŒπŸ˜‹πŸ˜‹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…