Hivi kuna uwezekano kati ya mwanamke na mwanaume kupanga nyumba moja bila kuwa na mahusiano?

Hivi kuna uwezekano kati ya mwanamke na mwanaume kupanga nyumba moja bila kuwa na mahusiano?

😍😍😍Hahahah hapo swadaktaaah, wacha nitafute nyumba soon 😝😝😝 nije kuinjoy madiko diko mie...mwanamke kupika bana!
Wacha weee🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️
 
Wazungu wanaweza,ila ngoz nyeus n ngumu,wazungu huweza Kuja kutalii huku marafik ambao n jinsia tofaut na wakarud bila kulana........Kuna kaka angu alimla demu kutokana na vyumba vyao kuwa Karbu na vilkuwa havjakazwa huu,walkuwa wanapga story mpaka usku na wakienda kulala bado wanaendelea kupga story kila mtu akiwa ktandan kwake,sku moja huyo madam uzalendo ulimshnda alichofanya nkumuulza jamaa kama anazo kondom ,Bahat nzur jamaa alkuwa nazo,kilchofata n kula tunda kmamasihara
Game la kibabe sana lilikuwa
 
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai😀😀...Mi nina sista yangu walianza hivyo hivyo na rafiki yake waliotoka chuo kimoja, vyumba tofauti, wakaanza ooh mara leo pika ww, oh mara naomba nisaidie kupasi, mwisho wa siku wakarudisha
Chumba kimoja wakabaki na kimoja 😜... sahivi wameshajenga tunachosubiri ni ndoa
Hizi ndizo shuhuda sasa tunazotaka kuzisikia 🥰🥰waambie waje wachukue mchango wangu wa harusi
 
Bibie naona hii kitu imekufurahisha, kama ulikuwa unameota mwota huyo mheshimiwa ndoto zitatimia sasa[emoji28][emoji28]
Mwisho wa comments nitakuja kusema kitu..jitahidi unikumbushe
 
Back
Top Bottom