- Thread starter
- #41
Wanatumia ivo sababu nafsi ni kitu kisicho-exist kwa machoSawa sawa mkuu. Huwa nashangaa mtu anaposema moyo unapenda ety daah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanatumia ivo sababu nafsi ni kitu kisicho-exist kwa machoSawa sawa mkuu. Huwa nashangaa mtu anaposema moyo unapenda ety daah
Nabii nani yule anaeuza mafuta na maji?Vita ipo sehemu yoyote kukiwa na battle kuna vita km isingekuwepo manabii wasingeletwa duniani..
Sayansi inasemaje kuhusu nafsi mkuuWanatumia ivo sababu nafsi ni kitu kisicho-exist kwa macho
Haijawahi pata jibu ni nini icho sababu sayansi inadeal na exiperment na exiperment inahitaji vitu tangibleSayansi inasemaje kuhusu nafsi mkuu
Sasa wewe unamwelezeaje mtu kuhusu nafsi ili aelewe.. kwa uwelewa wakoHaijawahi pata jibu ni nini icho sababu sayansi inadeal na exiperment na exiperment inahitaji vitu tangible
Nafsi ni energy au kwa jina jingine ni roho na hii ndio hutupa consciousnessSasa wewe unamwelezeaje mtu kuhusu nafsi ili aelewe.. kwa uwelewa wako
Unazungumzia MO Energy ndio nafsi au?Nafsi ni energy
Sasa wewe unamwelezeaje mtu kuhusu nafsi ili aelewe.. kwa uwelewa wako
Consciousness no ishu ya ubongo sio.. kwa maana rahisi nafsi/roho ipo kwa ubongo et..?Nafsi ni energy au kwa jina jingine ni roho na hii ndio hutupa consciousness
Ndio maana wametengeneza roboti but haliwezi fanya kazi lenyewe lazima iwepo command
Sayansi haijawahi pata jibu roho ni nn?
Rejea kasome types of energy utagundua hii inadondokea katika type ipi ya energyUnazungumzia MO Energy ndio nafsi au?
Exactly,,, Mwenyezi Mungu ndo final say wa kila jambo.Hakuna Vita Kati ya Mungu na Shetani
Ukisema hivyo INA maana unampa Shetani uwezo au sifa ambazo zinamfanya apambane na Mungu kitu ambacho si kweli.
Jibu ni gumu sababu roho ni mysterious...No one knows where it locatedConsciousness no ishu ya ubongo sio.. kwa maana rahisi nafsi/roho ipo kwa ubongo et..?
Energy drinks I think so,Rejea kasome types of energy utagundua hii inadondokea katika type ipi ya energy
Wakati unaniuliza hili, jiulize kwanini Mungu hakummaliza Adam na hawa baada ya kumuasi Mola wao.Labda nikuulize kwanini mungu hakuweza kufix vitu baada ya shetani kuasi hakummaliza shetani lakini amekuwa akiangamiza vizazi ..source yenyewe ikaachwa ...ndio maana mm nikamaliza kusema mungu ni mkubwa na ukubwa wake siku ya kiama ndio utajulikana but saizi bado kuna battle na huu ndio ukweli kwa duniani shetani amekuwa akifanikiwa mara kwa mara ndio maana SODOMA NA KIZAZI CHA NUHU kiliangamizwa
Duuuh... Haya mambo hayaJibu ni gumu sababu roho ni mysterious...No one knows where it located
Kwani final say wa huu ulimwengu ni nani??na hii vita mshindi ataonekana siku ya kiama
Ongeza hizi:Habarini za mchana wote tunajua hakuna vita dunian kubwa kama vita kati ya hii
Mungu na shetani
kuachana na hii vita hivi kuna vita ngumu nyingine kupigana kama hizi
1) VITA KATI YA MOYO NA AKILI
2)VITA KATI YA UTAFUTAJI WA PESA NA KUMUABUDU MUUMBA
3)VITA KATI YA UAMINIFU NA PESA?
4)VITA KATI YA PESA NA DHAMBI
5)VITA KATI YA MATUMIZI NA UTUNZAJI WA PESA
Kwa aliyewahi kushinda hizi vita atupe ushuhuda aliewezaje kuzishinda na alitumia mbinu gani?
Pia asingekuwepo shetani unafikiri tungeishi kwenye ulimwengu kama huu uliojaa shida, mateso na karaha za kila aina????Unahisi asingekuwapo shetani manabii wangekuja?
Hata angewaangamiza isingesaidia kitu sababu..source of evil bado ingekuwapo ndio maana amekuwa akiangamiza vizazi na vizazi ila dhambi haziishi ...km vitabu vya dini tunavyosoma vya kweli lucifer alitakiwa amalizwe ndio tatizo lingeishaWakati unaniuliza hili, jiulize kwanini Mungu hakummaliza Adam na hawa baada ya kumuasi Mola wao.
Ukipata majibu ya haya nichek tuendelee na mjadala
Asingekuwepo shetani unazani kungekuwepo na kitu kinachoitwa kifo???Unahisi asingekuwapo shetani manabii wangekuja?