Kwa sababu asije kuandika ukamsababishia ban. Maana, ..........!!!!Kwanini mkuu
Kwa umri huo ndiyo maana unaadika Uzi ambao hata sasa unakusuta mwenyewe kuwa ni dhihaka!!Tatizo mmechange maana ya uzi mkuu sijadhihaki wala kudharau mtu, mimi mwenyewe umri huu sijapanda ndege najishangaa
Unasema hivyo? Mwingine hata lami haijui na ana miaka 70+ .Wakati wewe unaona kufika kwako Dar umemaliza, vile vile kuna mwamba anakushangaa umefikaje miaka 40 hujawahi Fika ama SA ama UK, ama US, china au Dubai. m
Maisha ni fumbo mkuu kirefu kwako ni kifupi kwa mwenzio.
Kuna watu mpaka wanakufa hawajawahi fika Makao makuu ya Mkoa anaoishi. Dunia ndivyo ilivyo.
Labda suku nikiwa nahututi kile cha ambulanceUpo kwenye list ya wale wenye ving'ora hongera😂😂
Kabisa mkuuSio kweli,ukifeli juenjoy maisha Dar ujue hujatumia brain yako vizuri,sina hela nyingi kihivyo ila kwa Tanzania Dar ni the best to live ni peponi kabisa kwangu
Kijiji cha Nyakatuntu mkuuKijiji gani mkuu?
Rudi kwenu njombe mkuuNimekuja Dar juzi kwa mara ya kwanza nimesweat maishani mwangu
Hapo nimekaa sana.Kijiji cha Nyakatuntu mkuu
Waambie weweDah huitaji visa wala passport wala laki tano,kama hujafika Dar wewe ni mtu wa kustaajabisha sana
Acha kabisa yani watu hawapo serious kabisa eti wanasema huko Kuna jipya gani dahDream city achana na hilo jiji limebarikiwa sana
Acha kabisa yani watu hawapo serious kabisa eti wanasema huko Kuna jipya gani dah
Mkuu huna hata ka ist used kutoka japani mkuu🤣Wanaofurahia hilo jiji ni wachache mno tena wale wanaotembeaga na ving'ora, wafanyabiashara wakubwa,, tuliobaki kero zipo palepale,
Foleni, msongamano, harufu, joto, gharama kubwa za maisha ya kila siku, huduma mbovu za kijamii, isipokugusa kero 1 au 2 kati ya hizo basi utaenjoy sasa kuna wale hizo kero zote zinatuhusu na tuko wengi
Nimekoma ndihuya ukaeRudi kwenu njombe mkuu
Hahahaa maeneo gani mkuuHapo nimekaa sana.
Nimesahau pale kwa wenye ving'ora ongeza na wajf hamuhusiki na kero za dar, humu wote ni maisha safi wewe ukiwa kiongozi waoLabda suku nikiwa nahututi kile cha ambulance
AiseeYou will be suprised, kuna wazaliwa wa dodoma hata dodoma mjini hawajawahi kanyaga, ni zile wilaya choka mbaya
Kwamba ukiwa nako unapaa nako ili usikae kwenye foleni eti?? Kwanza mida ya asubuhi na jioni ukiwa na gari unachoka mara mbili ya yule aliye kwenye mwendokasiMkuu huna hata ka ist used kutoka japani mkuu🤣
Mimi naishi one bedroom apartment ila hata unipe ghorofa mkoani siendiNimesahau pale kwa wenye ving'ora ongeza na wajf hamuhusiki na kero za dar, humu wote ni maisha safi wewe ukiwa kiongozi wao