Habar za jioni Wana jf nina Imani ni wazima na hata wale mlio na changamoto za kiafya niwatakie kupata nafuu soon. Mimi ni kijana 28 yrs old sasa na Toka nimesoma sekondari kiukwel nilkuwa school boy TU
Sikujihusisha sana na mapenzi, chuo napo niliyapambania sana haya mapenzi lakini ndioivo nilizidiwa kete na walionipita ujanja kwaio napo sikuwahi kuwa na mpenzi Hadi namaliza . na baada ya hapo nikaingia zangu kitaa na kupata kazi ya kusafiri mikoani mara kwa mara hivyo ilikuwa ngumu kwangu ku-settle sehemu Moja na kuyajenga mahusiono vizuri .
Sasa mwaka Jana nilmpata mwanamke aliyenikubalia kunipa tunda ... kwa mara ya kwanza ..mazee sikuamini ilibidi iyo siku nitafute kisingizio nisiende job niwe geto ili nichakate mbususu na kweli yule manzi akaja na nilkuwa nampenda kupita kiasi sasa Cha kushangaza tulipoanza TU mambo hali yangu ilibadilika na kujikuta naogopa sana na moyo kwenda mbio. Nilijaribu kila namna niamshe dushe ila wapi Hadi huyo demu naye akawa anajaribu kuliamsha dushe ili anivishe condom ila wapi ... daah manzi alinidharau sana na alikasirika kwa muda mrefu Hadi tukaachana.
Daah nilibaki na STRESS sana na kujilaumu .. kwa kushindwa kula kitu ambacho sijala lifetime . nikikumbukag huwa Hadi najikuta nawaogopa Hawa wanawake maana sio kwa Ile temper na Hofu iliyonikamata Ile siku
Mwaka huu Tena nimempata manzi mwingine lakini Hali inajirudia vilevile kama mwanzon na mda wowote naye ataniacha.
Sijajua tatizo Nini au labda mwenzenu nimechelewa kuyajua mapenzi Hadi yanitese hivi .
Wadau kwa mwenye ushauri makini utakaonisaidia naomba anishauri niweze kui-master ngono vizuri kwani ninakonda na DEPRESION ..........#@nawasilisha
Sikujihusisha sana na mapenzi, chuo napo niliyapambania sana haya mapenzi lakini ndioivo nilizidiwa kete na walionipita ujanja kwaio napo sikuwahi kuwa na mpenzi Hadi namaliza . na baada ya hapo nikaingia zangu kitaa na kupata kazi ya kusafiri mikoani mara kwa mara hivyo ilikuwa ngumu kwangu ku-settle sehemu Moja na kuyajenga mahusiono vizuri .
Sasa mwaka Jana nilmpata mwanamke aliyenikubalia kunipa tunda ... kwa mara ya kwanza ..mazee sikuamini ilibidi iyo siku nitafute kisingizio nisiende job niwe geto ili nichakate mbususu na kweli yule manzi akaja na nilkuwa nampenda kupita kiasi sasa Cha kushangaza tulipoanza TU mambo hali yangu ilibadilika na kujikuta naogopa sana na moyo kwenda mbio. Nilijaribu kila namna niamshe dushe ila wapi Hadi huyo demu naye akawa anajaribu kuliamsha dushe ili anivishe condom ila wapi ... daah manzi alinidharau sana na alikasirika kwa muda mrefu Hadi tukaachana.
Daah nilibaki na STRESS sana na kujilaumu .. kwa kushindwa kula kitu ambacho sijala lifetime . nikikumbukag huwa Hadi najikuta nawaogopa Hawa wanawake maana sio kwa Ile temper na Hofu iliyonikamata Ile siku
Mwaka huu Tena nimempata manzi mwingine lakini Hali inajirudia vilevile kama mwanzon na mda wowote naye ataniacha.
Sijajua tatizo Nini au labda mwenzenu nimechelewa kuyajua mapenzi Hadi yanitese hivi .
Wadau kwa mwenye ushauri makini utakaonisaidia naomba anishauri niweze kui-master ngono vizuri kwani ninakonda na DEPRESION ..........#@nawasilisha