Hivi kuwa single kwa muda mrefu kunaweza kusababisha mtu kuogopa kufanya mapenzi

Hivi kuwa single kwa muda mrefu kunaweza kusababisha mtu kuogopa kufanya mapenzi

Pole sana, tatizo lako ni la Kisaikolojia na hatua uliofikia ni ngumu maana ukipata mwanamke yeyote ukienda nae mawazo yako yanakupeleka kwenye kushindwa zaidi kuliko kuweza na matokeo yake kushindwa ku-perform.
Ushauri wangu;
Unapoenda na mwanamke kwa mara ya kwanza tumia Viagra meza saa moja kabla ya tendo(angalizo, tumia siku ya kwanza tu kwa ajili ya kutoa wasiwasi na si vinginevyo na hakikisha presure yako ni 120/80 kabla ya kutumia dawa hii)
 
porn nimeacha ila Puli duuh ... sijaacha bado lakn nimepunguza ratio TU napiga twice per week
Soma hichi kitabu mdogo wangu. Ili ndio tatizo lako kubwa. Tibu hichi kitu kwanza
 

Attachments

Huyo wa saivi punguza papara usianze kwanza kumpeleka geto nenda nae outings mbili tatu mpaka mzoeane kidogo, mpeleke beach mkaogeleee mzoeane & piga hata route mmoja matata ya mbuga za wanyama mkiwa huko ndo umtafune
 
Eh em ngoja nitafute hata dada zetu wale nione kama inafanya kazi vzr 😭

Pole sana, tatizo lako ni la Kisaikolojia na hatua uliofikia ni ngumu maana ukipata mwanamke yeyote ukienda nae mawazo yako yanakupeleka kwenye kushindwa zaidi kuliko kuweza na matokeo yake kushindwa ku-perform.
Ushauri wangu;
Unapoenda na mwanamke kwa mara ya kwanza tumia Viagra meza saa moja kabla ya tendo(angalizo, tumia siku ya kwanza tu kwa ajili ya kutoa wasiwasi na si vinginevyo na hakikisha presure yako ni 120/80 kabla ya kutumia dawa hii)
Si watu wanasemaga izo Viagra zinasababisha unakuwa na uraibu nazo(addicted)
 
Si watu wanasemaga izo Viagra zinasababisha unakuwa na uraibu nazo(addicted)
Ndio maana nimekuambia utumie mara moja tu, inasaidia ku-bust mzunguko wa damu kwenda kwenye uume kwa hiyo hata kama kisaikolojia haupo sawa utagonga tu.
Ikishindika mbinu zote hizo mkuu utalazimika kumfuata dada poa ambae ni very professional na very humble umwambie akufanyie romance sana kabla ya tendo mfano body to body massage na kuliwa koni. Ukishindwa hapo wewe labda utakuwa sio ridhiki.
Ukiwa tayari kwa jambo hilo njoo PM yupo dada yupo vizuri mbobezi nitaakunganisha nae kukusaidia mwanaume mwenzangu.
 
Huyo wa saivi punguza papara usianze kwanza kumpeleka geto nenda nae outings mbili tatu mpaka mzoeane kidogo, mpeleke beach mkaogeleee mzoeane & piga hata route mmoja matata ya mbuga za wanyama mkiwa huko ndo umtafune
Mbuga za wanyama kwa kipi bwana....huyo amvutie Bangi fundo moja tu atapiga show mpaka mashabiki wagome kuludi nyumbani
 
Joh miaka yote hiyo hujawahi kupiga mbunye?? Hujawah kua na genye au niaje??

Mwenzio Poor Brain kashakula mbunye zaidi ya 150, hao ni agemate na waliochini yake, hujahesahia mishangazi isiyo na ifadi kamili (haya ni maelezo yake yeye mwenyewe).
 
Back
Top Bottom