Kweli mtihani uko hapa. Rais alishasema kuwa wapinzani ni kikwazo kwake. Sioni jinsi gani atapata ushirikiano toka kwa serikaliAsijihuzulu ahamie tu CCM asipoteze muda wa kuwa pandikizi upinzani hautakiwi sasa atafanyaje kazi na Rais alishasema hawezi kumpa chakula mtoto wa kambo kabla ya watoto wake kwanini yeye achangie kuwacheleweshea maendeleo wana jimbo kama hawezi kujihuzulu ahamie huko CCM si wao huwa hawajali kama walivomtambua silinde akaendelea kuwa mbunge baada ya kuhamia CCM
Nasikia wamemuambia Kessy atulie watampangia kazi nyingine. Nasikia pia kuna Waheshimiwa wengine kitoka kanda ile pendwa walioporwa ushindi wao, Jiwe ktk vile viti vyake atawachomeka japokuwa wanatokea kwa mama wa kambo.Huu mkosi mkubwa
Wenzio wamepitishwa bila kupingwa..
Wengine polisi wameingiza masanduku mradi wapite...
Sasa inakuaje chama kisimsaidie na yeye??
Ni mweupee au mweusii ??Wamuache dada wa watu achape kazi kweri-kweri.
Wakuu Salaam:
Nazunguka kila site kufatilia kinachojiri kuhusu matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika juzi.
Mh.Aidah Khenan ameshinda kupitia CHADEMA dhidi ya Kessy kule Nkasi Kaskazini. Sasa kinachoshangaza ni baadhi ya watu ambao pia wana Profile nzuri tuu kwa namna fulani wanapendekeza hata huu Ubunge alioshinda huyu Mh. aupige chini.
Ubunge ni kazi kama kazi zingine na yeye pia anao wanaomwangalia na ndicho alichokua anapigania muda wote wa kampeni.
Ule ulikua ni uchaguzi na yeye ndiyo katangazwa, kwanini watu wanapendekeza na kutoa maoni kabisa asikubali na wala asiende bungeni wakati ndiyo yeye katangazwa?
Ni mweupee au mweusii ??
Bonge la pointAwaachie tu CCM maana hata hilo Bunge litakuwa ni kama kikao cha wana-CCM tu.
Eti ndo wanajiita wanademokrasia! Wamvue uanachama aje ccm tutampitisha agombee tu!Wakuu Salaam:
Nazunguka kila site kufatilia kinachojiri kuhusu matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika juzi.
Mh.Aidah Khenan ameshinda kupitia CHADEMA dhidi ya Kessy kule Nkasi Kaskazini. Sasa kinachoshangaza ni baadhi ya watu ambao pia wana Profile nzuri tuu kwa namna fulani wanapendekeza hata huu Ubunge alioshinda huyu Mh. aupige chini.
Ubunge ni kazi kama kazi zingine na yeye pia anao wanaomwangalia na ndicho alichokua anapigania muda wote wa kampeni.
Ule ulikua ni uchaguzi na yeye ndiyo katangazwa, kwanini watu wanapendekeza na kutoa maoni kabisa asikubali na wala asiende bungeni wakati ndiyo yeye katangazwa?
Ccm watamzonga sana aunge juhudi,hii ni zuga tu ya NECccm.huyo mbunge inawezekekana wamemuchia sababu ni afisa kifichowao.Wakuu Salaam:
Nazunguka kila site kufatilia kinachojiri kuhusu matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika juzi.
Mh.Aidah Khenan ameshinda kupitia CHADEMA dhidi ya Kessy kule Nkasi Kaskazini. Sasa kinachoshangaza ni baadhi ya watu ambao pia wana Profile nzuri tuu kwa namna fulani wanapendekeza hata huu Ubunge alioshinda huyu Mh. aupige chini.
Ubunge ni kazi kama kazi zingine na yeye pia anao wanaomwangalia na ndicho alichokua anapigania muda wote wa kampeni.
Ule ulikua ni uchaguzi na yeye ndiyo katangazwa, kwanini watu wanapendekeza na kutoa maoni kabisa asikubali na wala asiende bungeni wakati ndiyo yeye katangazwa?
Kesy ataenda mahakamani kupinga matokeo na atashinda.Eti ndo wanajiita wanademokrasia! Wamvue uanachama aje ccm tutampitisha agombee tu!
Usishangae kuwa Kessy alihusishwa kwanye mchakato mzima na ameahidiwa ukuu wa Wilaya.Kessy ana mkosi gani?
Hatavuliwa uanachama maana itakua kujidhalilishaEti ndo wanajiita wanademokrasia! Wamvue uanachama aje ccm tutampitisha agombee tu!
Wanamuonea wivu! Achana nao!Ule ulikua ni uchaguzi na yeye ndiyo katangazwa, kwanini watu wanapendekeza na kutoa maoni kabisa asikubali na wala asiende bungeni wakati ndiyo yeye katangazwa?
Hivi hawezi akampa hiko kijiti mwingine?Kesy ataenda mahakamani kupinga matokeo na atashinda.
Baada ya hapo uchaguzi Mdogo utafanyika na kesi atarudishwa ubunge.
Kesy ana jukumu kubwa sana alilopewa na Ndugai ya kui raise ishu yakumuongezea mkulu muda Wa uongozi,so anahitajika sana bunge lijalo.
Kutaka muhula ......hahhahahahKessy ana mkosi gani?
Nawe unashauri kususa!!! Mnakiua chama chenu mazima mjue kwa "hasira zenu za mkizi"!?Awaachie tu CCM maana hata hilo Bunge litakuwa ni kama kikao cha wana-CCM tu.
Kwanini awasaliti wapiga kura wake jamani? Kashinda mwacheni atumikie wananchi wake wa nkasiAwaachie tu CCM maana hata hilo Bunge litakuwa ni kama kikao cha wana-CCM tu.