Uchaguzi 2020 Hivi kwanini baadhi ya watu wanataka Aidah Khenan wa CHADEMA ajiuzulu Ubunge alioshinda?

Uchaguzi 2020 Hivi kwanini baadhi ya watu wanataka Aidah Khenan wa CHADEMA ajiuzulu Ubunge alioshinda?

Asijihuzulu ahamie tu CCM asipoteze muda wa kuwa pandikizi upinzani hautakiwi sasa atafanyaje kazi na Rais alishasema hawezi kumpa chakula mtoto wa kambo kabla ya watoto wake kwanini yeye achangie kuwacheleweshea maendeleo wana jimbo kama hawezi kujihuzulu ahamie huko CCM si wao huwa hawajali kama walivomtambua silinde akaendelea kuwa mbunge baada ya kuhamia CCM
Kweli mtihani uko hapa. Rais alishasema kuwa wapinzani ni kikwazo kwake. Sioni jinsi gani atapata ushirikiano toka kwa serikali
 
Huu mkosi mkubwa
Wenzio wamepitishwa bila kupingwa..
Wengine polisi wameingiza masanduku mradi wapite...

Sasa inakuaje chama kisimsaidie na yeye??
Nasikia wamemuambia Kessy atulie watampangia kazi nyingine. Nasikia pia kuna Waheshimiwa wengine kitoka kanda ile pendwa walioporwa ushindi wao, Jiwe ktk vile viti vyake atawachomeka japokuwa wanatokea kwa mama wa kambo.
 
Wakuu Salaam:

Nazunguka kila site kufatilia kinachojiri kuhusu matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika juzi.

Mh.Aidah Khenan ameshinda kupitia CHADEMA dhidi ya Kessy kule Nkasi Kaskazini. Sasa kinachoshangaza ni baadhi ya watu ambao pia wana Profile nzuri tuu kwa namna fulani wanapendekeza hata huu Ubunge alioshinda huyu Mh. aupige chini.

Ubunge ni kazi kama kazi zingine na yeye pia anao wanaomwangalia na ndicho alichokua anapigania muda wote wa kampeni.

Ule ulikua ni uchaguzi na yeye ndiyo katangazwa, kwanini watu wanapendekeza na kutoa maoni kabisa asikubali na wala asiende bungeni wakati ndiyo yeye katangazwa?

Kwanini Aidan ajiuzulu ubunge? Yaani kwa sababu Mbowe kakosa na wote wakose? Yaani mnataka ule upumbavu wa Maalim alipokosa Urais akaamuru wawakilishi nao waaachie ngazi as a result wakati wote wa awamu ya pili ya Dr Shein bunge likawa halina mjumbe wa CUF?? Hii ndo tonaita ubinafsi, egoism, wivu, nimekosa kwa hiyo tukose wote!!!! Shame! Aidan endelea na kibarua chako usisikilize mjinga yeyote kutoka CHADEMA au ACT-Wazalendo.
 
Ni mweupee au mweusii ??
IMG_20201030_144921_525.JPG
 
Wakuu Salaam:

Nazunguka kila site kufatilia kinachojiri kuhusu matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika juzi.

Mh.Aidah Khenan ameshinda kupitia CHADEMA dhidi ya Kessy kule Nkasi Kaskazini. Sasa kinachoshangaza ni baadhi ya watu ambao pia wana Profile nzuri tuu kwa namna fulani wanapendekeza hata huu Ubunge alioshinda huyu Mh. aupige chini.

Ubunge ni kazi kama kazi zingine na yeye pia anao wanaomwangalia na ndicho alichokua anapigania muda wote wa kampeni.

Ule ulikua ni uchaguzi na yeye ndiyo katangazwa, kwanini watu wanapendekeza na kutoa maoni kabisa asikubali na wala asiende bungeni wakati ndiyo yeye katangazwa?
Eti ndo wanajiita wanademokrasia! Wamvue uanachama aje ccm tutampitisha agombee tu!
 
Wakuu Salaam:

Nazunguka kila site kufatilia kinachojiri kuhusu matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika juzi.

Mh.Aidah Khenan ameshinda kupitia CHADEMA dhidi ya Kessy kule Nkasi Kaskazini. Sasa kinachoshangaza ni baadhi ya watu ambao pia wana Profile nzuri tuu kwa namna fulani wanapendekeza hata huu Ubunge alioshinda huyu Mh. aupige chini.

Ubunge ni kazi kama kazi zingine na yeye pia anao wanaomwangalia na ndicho alichokua anapigania muda wote wa kampeni.

Ule ulikua ni uchaguzi na yeye ndiyo katangazwa, kwanini watu wanapendekeza na kutoa maoni kabisa asikubali na wala asiende bungeni wakati ndiyo yeye katangazwa?
Ccm watamzonga sana aunge juhudi,hii ni zuga tu ya NECccm.huyo mbunge inawezekekana wamemuchia sababu ni afisa kifichowao.
 
Eti ndo wanajiita wanademokrasia! Wamvue uanachama aje ccm tutampitisha agombee tu!
Kesy ataenda mahakamani kupinga matokeo na atashinda.
Baada ya hapo uchaguzi Mdogo utafanyika na kesi atarudishwa ubunge.
Kesy ana jukumu kubwa sana alilopewa na Ndugai ya kui raise ishu yakumuongezea mkulu muda Wa uongozi,so anahitajika sana bunge lijalo.
 
CHADEMA achane upumbavu na ubinafsi,huyu dada namfahamu tumewahi kuishi mtaa mmoja .
Mwanzoni ilitakiwa agombee sumbawanga mjini ila hakuwa na mahusiano mazur na mwenyekiti wa CHADEMA mkoa.
Kpnd cha kampeni kapambana mwenyewe hakupata support ya chama ngazi ya mkoa .
Huyu dada anaushawishi All kessy wananchi walikuwa wamemchoka kitambo tu,Aida kaungwa mkono hasa ukanda wa mwambao wa ziwa Tanganyika yaani Kirando na Kabwe maana kule CHADEMA ina nguvu huyu kashinda kiuhalali kabisa hajabebwa.
Huu wivu wa kishetani sijui unatoka wapi.
Mkimtimua kwenye chama ili apoteze ubunge next election mtawaambia nn wananchi ili wawaelewe?
 
Kesy ataenda mahakamani kupinga matokeo na atashinda.
Baada ya hapo uchaguzi Mdogo utafanyika na kesi atarudishwa ubunge.
Kesy ana jukumu kubwa sana alilopewa na Ndugai ya kui raise ishu yakumuongezea mkulu muda Wa uongozi,so anahitajika sana bunge lijalo.
Hivi hawezi akampa hiko kijiti mwingine?

Au zile ofa za Jiwe hawezi pewa hapo ili sasa atetee?
 
Namshauri aende bungeni, afanye kazi na wenzake waccm kwa ukaribu kabisa, huku jimboni nako ahakikishe anashirikiana na wale wajumbe wale, ikifika 2025 aunge mkono juhudi, aombe ridha ya kurudi tena kupitia ccm.
 
Back
Top Bottom