Hivi kwanini CCM huwa wanapendwa sehemu zisizokuwa na maendeleo?

Hivi kwanini CCM huwa wanapendwa sehemu zisizokuwa na maendeleo?

niambie ni sehemu gani ya Tanzania ambayo haina dhiki chadema imeshinda? kwa taarifa yako nyinyi mtaendelea kuipa ushindi chadema hapa hapa JF, sisi kule field tonafanya kweli. hata hiyo 20% mliyopata kalenga mshukuruni huyo mungu wenu wa kuzimu. subirini chalinze muone tutakachowafanya. hamuwezi kuwadanganya waTZ kwe muda wote kuwa hiyo saccos yenu ni chama cha siasa. nyie endeleeni kuipromote cdm yenu humu humu ndani, nje ya hapa ni kibano tu. mkitaka wekeni hata zile kura zenu za maoni humu ili muendelee kushinda na wale waandishi wenu vibaraka wataendelea kuyaripoti kwenye magazeti yao kuwa chadema yashinda uchaguzi kwenye mtandao wa JF kama kawaida yao

Kamwe sitakubali kuhongwa UBWABWA na maharage
 
Ndugu zangu naomba kuuliza ni kwanini maeneo mengi hasa vijijini wanaipenda sana ccm ilhali maeneo yanayowazunguka ni maskini wa kutupwa mliotembea mikoani nadhani hali halisi mnaijua yaani kuna maeneo kuanzia tuapate uhuru maji ya bomba hawajawahi kuyaona wala kuyanywa umeme ndio kabisaaa mbingu na ardhi ukienda kwenye huduma za afya ndio usiongee tukija kwenye elimu watu wanasomea chini ya mbuyu au kwa kifupi elimu sio lazima lakini hawa watu wanaipenda ccm balaa ni nini kinachowasukuma kuwa wakereketwa namna hii au ndio kutojitambua?

kwanini chadema inapendwa na wakristu na kaskazini sana...?

kwanini majority pro chadema ni anti muslims..?


 
Kamwe sitakubali kuhongwa UBWABWA na maharage
wapinzani tunatakiwa tuwe kitu kimoja na sio kubaguana. ndo maana leo naichukia chadema ya wahafidhina real kutoka moyoni kwa dhambi hii waliyoifanya. popote pale duniani ubaguzi haujawahi leta tija zaidi ya mifarakano.
na tatizo lenu kubwa mnajiona sana kuwa nyie ndo kila kitu, sasa ni nani huyo mjinga/-------- anayeweza kuwaamini. hebu jiulize, kusafirisha watu wakulinda kura kutoka arusha mpaka iringa. hivi wanairinga wanajisikiaje? kama hata hamuwaamini wao wenyewe kulinda kura walizopiga wao watawaamini vipi nyie msiowaamini? fikiria na kwa pamoja tukatae ubaguzi.
 


kwanini chadema inapendwa na wakristu na kaskazini sana...?

kwanini majority pro chadema ni anti muslims..?



Kwa propaganda hizi utavuna kura za waislam, mmezoea kuwatumia waislam kwa staili hizi, mnawaona kama toilet paper
 
wali.jpg
Wakola waitu ! Hapa in fact tunadhihirishia dunia kuwa sisi inshomile! Big up Prof.ANNA TIBAIJUKA!
 
Hata sehemu.zenye maendeleo yameletwa na ccm kwa hiyo ukitaka kuendelea chagua ccm.
 
wapinzani tunatakiwa tuwe kitu kimoja na sio kubaguana. Ndo maana leo naichukia chadema ya wahafidhina real kutoka moyoni kwa dhambi hii waliyoifanya. Popote pale duniani ubaguzi haujawahi leta tija zaidi ya mifarakano.
Na tatizo lenu kubwa mnajiona sana kuwa nyie ndo kila kitu, sasa ni nani huyo mjinga/-------- anayeweza kuwaamini. Hebu jiulize, kusafirisha watu wakulinda kura kutoka arusha mpaka iringa. Hivi wanairinga wanajisikiaje? Kama hata hamuwaamini wao wenyewe kulinda kura walizopiga wao watawaamini vipi nyie msiowaamini? Fikiria na kwa pamoja tukatae ubaguzi.

tangu lini uliwahi kuwa mpinzani wewe ?
 
Umasikini wa wananchi , elimu duni , ujinga, uoga , unyonge ,pamoja na njaa ya kufa mtu ndiyo mtaji mkuu wa ccm kuendelea kubaki madarakani , kuna tetesi kwamba ccm itaendelea kuhakikisha wananchi wanaendelea kuwa masikini zaidi ili waendelee kuwanunua kwa wali kitumbo na maharage ya mbeya ! Poor ccm ! Tutahakikisha wananchi wanafungua vichwa vyao na wanawakataa vibaya sana , MTASHANGAA !
 
Vyama Vya Upinzani Havijulikani Kwenye Maeneo Ya Vijijini,wamejikita sana mjini tena kwenye baadhi ya mikoa,upinzani unatakiwa kujenga vyama vyao vijijini badala ya kuonekana nyakati za uchaguzi tuu
 
tangu lini uliwahi kuwa mpinzani wewe ?
sijawahi kuwa ccm ila sijafikiria kabisa kuwa chadema wahafidhina. kwa sababu nina akili na siwezi kuburuzwa kama nyie misukule ya kibavicha. nadhani umenisoma.
 
Back
Top Bottom