Duh, nimeipenda hii mkuu
Jamani CCM mtahukumiwa kwa uwanunua wenzenu kwa wali na maharage
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh, nimeipenda hii mkuu
sijawahi kuwa ccm ila sijafikiria kabisa kuwa chadema wahafidhina. kwa sababu nina akili na siwezi kuburuzwa kama nyie misukule ya kibavicha. nadhani umenisoma.
ni vizuri usiisome maana akili za kibavicha siku zote ni za kushikiwa. kwa kifupi wewe ni sawa na taburarasa. chadema ya wahafidhina inahitajika kuzimu, imependwa zaidi huko zaidi ya nyinyi mnavyoipenda. mungu wa kuzimu alitoa na sasa anatwaa. jina la huko kuzimu lihimidiwe. amen!huwa sisomi post za kijinga , wewe ni kama umebahatika tu .
Kwa propaganda hizi utavuna kura za waislam, mmezoea kuwatumia waislam kwa staili hizi, mnawaona kama toilet paper
Ndugu zangu naomba kuuliza ni kwanini maeneo mengi hasa vijijini wanaipenda sana ccm ilhali maeneo yanayowazunguka ni maskini wa kutupwa mliotembea mikoani nadhani hali halisi mnaijua yaani kuna maeneo kuanzia tuapate uhuru maji ya bomba hawajawahi kuyaona wala kuyanywa umeme ndio kabisaaa mbingu na ardhi ukienda kwenye huduma za afya ndio usiongee tukija kwenye elimu watu wanasomea chini ya mbuyu au kwa kifupi elimu sio lazima lakini hawa watu wanaipenda ccm balaa ni nini kinachowasukuma kuwa wakereketwa namna hii au ndio kutojitambua?
Ndugu zangu naomba kuuliza ni kwanini maeneo mengi hasa vijijini wanaipenda sana ccm ilhali maeneo yanayowazunguka ni maskini wa kutupwa mliotembea mikoani nadhani hali halisi mnaijua yaani kuna maeneo kuanzia tuapate uhuru maji ya bomba hawajawahi kuyaona wala kuyanywa umeme ndio kabisaaa mbingu na ardhi ukienda kwenye huduma za afya ndio usiongee tukija kwenye elimu watu wanasomea chini ya mbuyu au kwa kifupi elimu sio lazima lakini hawa watu wanaipenda ccm balaa ni nini kinachowasukuma kuwa wakereketwa namna hii au ndio kutojitambua?
Ndugu zangu naomba kuuliza ni kwanini maeneo mengi hasa vijijini wanaipenda sana ccm ilhali maeneo yanayowazunguka ni maskini wa kutupwa mliotembea mikoani nadhani hali halisi mnaijua yaani kuna maeneo kuanzia tuapate uhuru maji ya bomba hawajawahi kuyaona wala kuyanywa umeme ndio kabisaaa mbingu na ardhi ukienda kwenye huduma za afya ndio usiongee tukija kwenye elimu watu wanasomea chini ya mbuyu au kwa kifupi elimu sio lazima lakini hawa watu wanaipenda ccm balaa ni nini kinachowasukuma kuwa wakereketwa namna hii au ndio kutojitambua?
ni ujinga wa watu wanaletewa mwanga wanakataa, kisa wamezoea giza,ndio kilichotokea kalenga,watu bado hawajitambui,nadhani shule pia ,au wamekunywa maji ya bendera na kujifanya hawanazo kichwani.
ni vizuri usiisome maana akili za kibavicha siku zote ni za kushikiwa. kwa kifupi wewe ni sawa na taburarasa. chadema ya wahafidhina inahitajika kuzimu, imependwa zaidi huko zaidi ya nyinyi mnavyoipenda. mungu wa kuzimu alitoa na sasa anatwaa. jina la huko kuzimu lihimidiwe. amen!
ni vizuri usiisome maana akili za kibavicha siku zote ni za kushikiwa. kwa kifupi wewe ni sawa na taburarasa. chadema ya wahafidhina inahitajika kuzimu, imependwa zaidi huko zaidi ya nyinyi mnavyoipenda. mungu wa kuzimu alitoa na sasa anatwaa. jina la huko kuzimu lihimidiwe. amen!
Njoo kwenye hoja, kwa nini ccm inapendwa sana sehemu zisizoendelea mf kielimu, kiafya, kiuchumi nk?
Wewe huna akili na umelogwa na aliyekuloga aliachiwa laana sasa inakutafuna maana alishakufa. Go to hellni vizuri usiisome maana akili za kibavicha siku zote ni za kushikiwa. kwa kifupi wewe ni sawa na taburarasa. chadema ya wahafidhina inahitajika kuzimu, imependwa zaidi huko zaidi ya nyinyi mnavyoipenda. mungu wa kuzimu alitoa na sasa anatwaa. jina la huko kuzimu lihimidiwe. amen!
Ndugu zangu Waislam ebu wasomeni hawa Chadema matusi yao kwenu halafu wanataka muwapigie kura, watawapata Waislam wasiojitambua kama kina Mohamedi Mtoi unamtakania dini yake lakini anakufa na Mbowe.Kwa propaganda hizi utavuna kura za waislam, mmezoea kuwatumia waislam kwa staili hizi, mnawaona kama toilet paper
Hivi majimbo walioshinda Chadema yana maendeleo gani umeishafika Maswa, Ukerewe, Karatu, Arumeru, Kigoma vijijini, Machame, Ubungo? teh teh teh.Ndugu zangu naomba kuuliza ni kwanini maeneo mengi hasa vijijini wanaipenda sana ccm ilhali maeneo yanayowazunguka ni maskini wa kutupwa mliotembea mikoani nadhani hali halisi mnaijua yaani kuna maeneo kuanzia tuapate uhuru maji ya bomba hawajawahi kuyaona wala kuyanywa umeme ndio kabisaaa mbingu na ardhi ukienda kwenye huduma za afya ndio usiongee tukija kwenye elimu watu wanasomea chini ya mbuyu au kwa kifupi elimu sio lazima lakini hawa watu wanaipenda ccm balaa ni nini kinachowasukuma kuwa wakereketwa namna hii au ndio kutojitambua?