Hivi kwanini CCM huwa wanapendwa sehemu zisizokuwa na maendeleo?


ni kweli kabisa wapinzani hawajui kucheza na akili za maskini ambao ndo wananataka watu wa kuwasemea, wanakimbilia wasomi tu ambao pia hawakubaliki mbele za watu wasiosoma kutokana na kauli zao za kejeli
 

mjomBA topic ya uzi huu inauliza hivi NI KWANINI CCM INAPENDWA MAHALI PASIPOKUWA NA MAENDELEO ? sasa badala ya kututoa kwenye MSTARI NI BORA UNGEJIBU HILO SWALI .
 
na mimi nashkuru kwa kudharauliwa na fundi viatu!

fundi viatu ni mtu mwenye ujuzi toka ulaya ,waafrika hatukua na ujuzi wa kushona viatu kabla ya mkoloni kuja. Mbona hatuwazungumzii wachaga malecturer,maengineer,madaktari,wahasibu,wanajeshi ,mafundi gereji, walimu,mapadri,wafanyabiashara wakubwa na wadogo,wakulima n.k,,ninavyojua wachaga wako sekta zote almradi zinawapatia kipato,
 
ni kweli kabisa wapinzani hawajui kucheza na akili za maskini ambao ndo wananataka watu wa kuwasemea, wanakimbilia wasomi tu ambao pia hawakubaliki mbele za watu wasiosoma kutokana na kauli zao za kejeli

kumbuka kwamba lengo la hawa wapinzani ni kuwaokoa hao masikini na UHARAMIA WA SHETANI CCM , SASA UNAPOLETA MADAI YASIYO NA USHAHIDI UNATAKA KUMDANGANYA NANI NA KWA MANUFAA YA NANI ?
 

Umewasahau mafisadi na matapeli wa kichaga pia!
Na wale wapika mbege mijini.
 
Hivi wachaga usipotutaja kwa siku huko nyuma kuna..te.kenya!?

Wacha kukataa kabila yako we mkerewe!
Unanuka vumba la samaki mpaka kwenye chupi yako halafu unajifanya mchanga!
Mtoto nuksi sana wewe.
Mfnsssssssss!
 
Na mimi nashkuru kwa kudharauliwa na fundi viatu!

Hivi wauza viatu wanaweza kuwa sawa na hawa wauza kahawa na kashata? wanaoshinda vibarazani wakipiga umbeya na kushindia mlo mmoja kwa siku? mimi ni msukuma lakini natambua maeneo yenye dhiki ni mikoa ya kanda ya kati,lindi,mtwara na pwani! nadhani huhitaji utafiti kubaini kuwa maeneo hayo yanakaliwa na watu wa aina ipi!!!???
 
Sina haja ya mabishano zaidi, nataka unieleze uliona wapi watu wakinywa kinyesi kilichochanganywa na damu? maana kwa kuishi kwangu uchagani sikuwahi kuona hilo likifanyika. Sasa nashangaa ulivyopigia mstari kiasi hicho. Kinachokusumbua nimeshakifahamu mkuu, si kingine bali ni chuki dhidi ya wachaga. Haipendezi hata kidogo mkuu, mi ningependa tufanye malumbano ya ana kwa ana ili nikuonyeshe jinsi ulivyokua na mawazo mgando.
 
Unapotaka kuiponda biashara ya Nyama, ukiwa mjini inabidi uponde uchafu wa mabucha, poor health and safety issues zinazoonekana mfano nyama inadandiwa na nzi waziwazi, inapigwa na vumbi, muhudumu huna ukakika kama apron lake lililo tapakaa damu analifua on daily bases, nyama unapewa jamaa ajavaa hata glove mkononi ujui mikono imeshika nini tena kabla; yote hayo yanatishia ubora wa bidhaa na afya ya mlaji maana vijidudu nje-nje na kama ni nyama ya ndege salmonella hawakwepeki bila ya kusahau ulanguzi wa wenye mabucha. Tactic hiyo mijini itawafanya walaji wakusikie maana ni vitu ambavyo vipo wazi mbele ya macho yao.

Lakini ukienda kijijini na hadithi hizo hizo wengi watakuona mwehu (sio wote) kwasababu wengi wapo more concerned na kuuza n'gombe mzima kuliko alie buchani, wao wanataka kujua soko liko wapi aijalishi nyama ya mfugo inaenda ishia bucha ipi iwe na vumbi au supermarket ya kisasa cha muhimu mfugo uuzwe. Habari zako za uchafu wa mabucha na ulanguzi wa watu wa mjini zinaweza kuonekana zina mshiko upande wa afya hila mwisho wa siku si kitu ambacho kinamgusa mfugaji ambae anataka kuona mfugo umeuzwa hicho ndio kipato chake.

Ukirudi kwenye point wapinzani hawajui siasa za vijijini zinataka nini na zipo wapi kwa sasa, hivi wewe kila kijiji unachoenda unaongea habari za shule mbovu na wanafunzi kukaa chini, wakati serikari ndio kwanza ina angaika na wanavijiji wote kuwapeleka watoto shule kwa ulazima, kwa sasa wahusika wanasaidiana na taasi mbalimbali kuona watoto wanapelekwa shule na wanachukua nafasi zao za kuchaguliwa shule za sekondari.

Halafu wewe unaenda kuongea habari za shule mbovu ilihali hao wapiga kura (wazazi) wengi wao bado wanafundishwa umuhimu wa elimu na kuacha kuwapeleka watoto mashambani siku na wakati wa masomo, hapo sidhani kama tatizo ni wanakijiji bali wanasiasa ambao hawajaelewa ni nini hasa mwanakijiji kinamshawishi kupiga kura au anataka kusikia largely kwa sasa as an adult, that is to say tatizo sio watu wa vijijini it is the other way round tatizo ni uwezo na ufahamu wa viongozi wa siasa za upinzani na namna wanazotumia kuzungumza na wanakijiji kuna communication barrier regarding changes they are trying to sell.
 
Utafiti ulififanywa na wasomi wa chuo kikuu dar wamegudua chama tawala kinapendwa zaidi sehemu ambazo elimu ni duni na wanafunzi wanafeli mitiani, wakiongea na gazeti hili watafiti wa chuo kiuu dar wamesema hali hiyo inasababishwa na uoga na umasikini uliyokidhiri.vilevile watafiti wanasema kujitokeza kwa hali hiyo wakati mwingine inawafurahisha wana ccm na utawala wake
 
cheki pande za coastal hasa mtwara, lindi, rufiji, mkuranga, morogoro,tunduma, mahenge, chalinze, bagamoyo nk umaskini ni wa kutupwa lakini wao ccm nambari one tu!!!
 
cheki pande za coastal hasa mtwara, lindi, rufiji, mkuranga, morogoro,tunduma, mahenge, chalinze, bagamoyo nk umaskini ni wa kutupwa lakini wao ccm nambari one tu!!!

umasikini na ujinga ndiyo nguzo kuu ya ccm ! Na wanao mkakati wa kichama nchi nzima kuhakikisha wananchi wanakuwa masikini zaidi ILI WATOTO WAO WAENDELEE KUONGOZA MILELE ! WAMEANZIA KALENGA NA SASA CHALINZE .
 
mtaji wa ccm ni wanavijiji walionyimwa elimu yaani mafukara waliokata tamaa na maisha wasio kuwa na uhakika wa male kwa siku yaani wale mandina hao ndio mtaji wa ccm wakiingia na vipesa chai na andazi kwa vijana na chumvi kwa akina mama mbege akina baba lazima tuimbe ccm kwa njaa zote hizo kwa kikwetu tunasema owane nola ang'aye huo ndo mtaji wa ccm kutengeneza watu wawe mafukara wawatawale kama ilivyo chalinze na riz one
 

jaPO UMECHANGANYANA KIKWENU LAKINI TUMEELEWA .
 

mwaka HUU LAZIMA CDM IKUTOE KIBYONGO !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…