Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ndugu zangu naomba kuuliza ni kwanini maeneo mengi hasa vijijini wanaipenda sana ccm ilhali maeneo yanayowazunguka ni maskini wa kutupwa mliotembea mikoani nadhani hali halisi mnaijua yaani kuna maeneo kuanzia tuapate uhuru maji ya bomba hawajawahi kuyaona wala kuyanywa umeme ndio kabisaaa mbingu na ardhi ukienda kwenye huduma za afya ndio usiongee tukija kwenye elimu watu wanasomea chini ya mbuyu au kwa kifupi elimu sio lazima lakini hawa watu wanaipenda ccm balaa ni nini kinachowasukuma kuwa wakereketwa namna hii au ndio kutojitambua?
CCM wanahusika vipi na hii picha?
Rangi za kijani na manjano zimewadhuru "wananchi" wenu big time!
wapinzani tunatakiwa tuwe kitu kimoja na sio kubaguana. Ndo maana leo naichukia chadema ya wahafidhina real kutoka moyoni kwa dhambi hii waliyoifanya. Popote pale duniani ubaguzi haujawahi leta tija zaidi ya mifarakano.
Na tatizo lenu kubwa mnajiona sana kuwa nyie ndo kila kitu, sasa ni nani huyo mjinga/-------- anayeweza kuwaamini. Hebu jiulize, kusafirisha watu wakulinda kura kutoka arusha mpaka iringa. Hivi wanairinga wanajisikiaje? Kama hata hamuwaamini wao wenyewe kulinda kura walizopiga wao watawaamini vipi nyie msiowaamini? Fikiria na kwa pamoja tukatae ubaguzi.
sijawahi kuwa ccm ila sijafikiria kabisa kuwa chadema wahafidhina. kwa sababu nina akili na siwezi kuburuzwa kama nyie misukule ya kibavicha. nadhani umenisoma.
chadema-saccos inanihusu nini mpaka hata initoe hicho kibyongo?mwaka HUU LAZIMA CDM IKUTOE KIBYONGO !
mimi ni mpinzani hata kabla mimba yako haijatungwa tumboni mwa mama yako.mwaka gani wewe uliwahi kuwa mpinzani ?
ni kweli kabisa sina lolote kwenye chadema-saccos. siunajua siku zote saccon ina wenyewe? mimi sio mwanachama.huna lolote !
Ndugu zangu naomba kuuliza ni kwanini maeneo mengi hasa vijijini wanaipenda sana ccm ilhali maeneo yanayowazunguka ni maskini wa kutupwa mliotembea mikoani nadhani hali halisi mnaijua yaani kuna maeneo kuanzia tuapate uhuru maji ya bomba hawajawahi kuyaona wala kuyanywa umeme ndio kabisaaa mbingu na ardhi ukienda kwenye huduma za afya ndio usiongee tukija kwenye elimu watu wanasomea chini ya mbuyu au kwa kifupi elimu sio lazima lakini hawa watu wanaipenda ccm balaa ni nini kinachowasukuma kuwa wakereketwa namna hii au ndio kutojitambua?
mimi ni mpinzani hata kabla mimba yako haijatungwa tumboni mwa mama yako.
ukishaona hivyo ujue, watanzania wanang'amua mambo kwa kuwa tu, Tanzania hakuna chama mbadala chenye sera nzuri, ubunifu wa mipango, uzalendo na utu kama CCM. TUKIBADILISHE CHAMA KWA KUINGIZA YALE MAZURI TUYATAKAYO BADALA YA KUKIKIMBIA NA kuelekea Katika SACOSES kama Chadema.
:flypig:
Nikauli za kijinga unaposema CCM inapendwa sehemu za watu wajinga,hiv kuna kanseli,manispaa na majiji zaidi ya 365 TZ , zinazoongozwa na upinzan azifiki 9.basi hata kwenu huko Mikoa ya KILIMANJARO ,ARUSHA na MANYARA ni wajinga,madiwani na WABUNGE wengi ni CCM,na kura za URAISI aliongoza JK.UBAGUZI na UKANDA noma sana.
mbeya mjini, mwanza mjini, kawe, arusha mjini, moshi mjini, iringa mjini.....aisee ni kweli palipo endelea sana ccm marufuku.