Hivi kwanini Hayati Magufuli aliamua tu kuwa katili bila sababu zozote?

Kama kudhulumu pesa za watu, kuteka raia, kubambikizia watu kesi za uhujumu uchumi na kufukuza watu kazi kwa visasi ndo mambo makubwa basi Mama Samia hawezi kumzidi Magu.
Kumbe unamlinganisha na Magufuli ndio kipimo cha ubora wake Samia?
 
Rest well mwamba John Pombe Magufuli
HAPA KAZI TUU

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki Rais wetu Samia Suluhu Hasan
KAZI UENDELEE
Vyeti fake vikisikia Mwamba anabagazwa vinatoka nduki kujifariji
 
Nitajie mradi mmoja tu mama yenu alioufanya nazidi ya ile filamu yake isiyokua na muelekeo... Magu ndiye rais Bora so far Hadi Sasa tangu Tanzania ianze
 
Na ndio wengi ambao wanapiga kelele

Mtu ambae ulikuwa unapata hela yako Kwa haki uwez kumchukia magufuli
Hivi kwaakili yako ya kawaida kabisa mke wa Tundu Lissu na watoto wake watampenda magufuli? Achilia mbali binadamu wengine sisi wa kawaida. Sema bila unafiki .
 
Ukila nyama ya mtu huwezi kuacha, kabla hajawa Rais alikuwa ana furaha kubwa sana kubomoa majengo ya watu ili apitishe barabara, akiona watu wanalia machozi na kuzimia, roho yake inasuuzika
Ukisoma majarida au kufuatilia historia za zamani huko Duniani, inasemekena kuna viumbe vilitembelea Dunia toka Sayari nyingine vinaitwa sijui alien, vikatili... hv huyu sio mmoja wao kweli alibakia huku?!!!
 
Tukubali tusikubali Magufuli alikuwa ni mgonjwa wa akili
 
Alikua na tatizo la akili. Baadaye kidogo akatuma msaada wa chakula kwenye maafa ya kimbunga zimbabwe
 
Alikua na tatizo la akili. Baadaye kidogo akatuma msaada wa chakula kwenye maafa ya kimbunga zimbabwe
 
Ukifanya utafiti utagundua kwamba eneo alilotokea ndio linaloongoza kwa ukatili barani Africa , wana asili ya unyama , mauaji ya albino na vikongwe wenye macho mekundu yameasisiwa huko
Kuzidi Alshaab?

Afrikaans?
 
Acha kujitoa ufahamu kitengo Cha maafa kipo miaka mingi sana na kina bajeti watu wanalipwa mishahara huko ndio kilipaswa kitoe msaada kwenye maafa kama Yale.

Kumbuka Ile pesa ni ya walipa Kodi sio yake binafsi so hawezi kutudhihaki ilihali kitengo kipo Bora kivunjwe tujue Moja.

Kingine watu walitoa rambirambi Tena mamilion ila serikali ikaelekeza rambi rambi kwenye kujenga Barabara na madaraja ilihali rambirambi ilitolewa kwa ajili ya wahanga. Yaani aliyekua anapewa pole ni wananchi sio serikali Cha kushangaza wananchi wakanyimwa Hela ila serikali ndio ikahodhi pesa zile.

Utajitahidi kutetea ila waTanzania wote bila kujali vyama walimshangaa sana JPM. Kama haitoshi Bado akasema Wana matatizo maana Mv Bukoba wao, UKIMWI wao, tetemeko wao as if hayo yote waliyapanga wenyewe.

Hakuwa na busara za uongozi kabisa yule Mzee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…