Hivi kwanini mnapenda Biriani? Sijawahi kupenda Biriani

Huwa wanakula biriani za vichochoroni hao 😀😀😀
Biriani huwa linapikwa mpaka ile nyama inakuwa laini kushinda mkate wa Super loaf 😀😀😀
🤣🤣🤣Kwa hiyo mi nimekula la vichochoroni?Umeanza lini dharau we mtoto?
 
Kiukweli kabisa mimi pia najiona mshamba,bora nile wali maharage kuliko hiyo biriani.

Pale nyama tu naweza sema napenda.
 
Mie nyumbani ndio mpishi yani mkewangu hapikagi hupika mara mbili tu kwa wiki.
Pishi gani la mchele unataka kulijua!?
-Wali wa dikodiko.
-Biryani.
-Mandhi.
-Bokoboko.
Pilau na wali wa kawaida najua ni jepesi.
Mandhi pleaseeeee....
 
Kweli kabisaa,makange nayo mmmmh yalitutesa kabla hatujayajua😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…