Joannah nitumie tena namba zako nimepoteza niko bankUkipata wasaa ukala chakula nilichopika,nitadesign namna unakula carrots bila kujua na unaenjoy roast.
Fungua pm dk 1 kisha ufunge tenaUnajua sio vizuri kutia chumvi kwenye kidonda kibichi Cha mwenzio?
Kumpenda tu mtu unakua kijana wa hovyoKijana wa ovyo
ππ fungua pm sasaIla unapenda kunitesa jamaniππLeo ya biriani tu
Anza new convo ile ya mwanzo imefutikaTayari bwana wee weka vituπ
Nakuogopa kwakuwa nakupenda Sana JoannahSerious?unaniogopa?Kwa Niniπ³?
Nawaza nikiongea kitu unaweza usipende alafu ukanichukia nikakosa amaniπ€£π€£π€£π€£Sasa ukimpenda Mtu ndio umuogope?
Hamna,labda unitukanie mzazi ndio Huwa nakasirika,ila maneno hayaniudhi haraka hivyo