ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Miezi mingapi?Jama jamaa jamaa!!! Haya sawa..
"Safar sio kifo japo tulipo sisi ndio hapo kifo kilipo, runaishi nacho, tulale tukeshe macho," - afande sele [nitarudi vipi]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miezi mingapi?Jama jamaa jamaa!!! Haya sawa..
"Safar sio kifo japo tulipo sisi ndio hapo kifo kilipo, runaishi nacho, tulale tukeshe macho," - afande sele [nitarudi vipi]
Sina uhakika inategemeana na mengiMiezi mingapi?
Ban me if you can 😂 I know you can't... Because you're a good person... And you eyes shows up your personalityDon't try me!😂
Hiyo huruma yangu uliiona wapiBan me if you can 😂 I know you can't... Because you're a good person... And you eyes shows up your personality
JokeHiyo huruma yangu uliiona wapi
Macho yangu unayajua wewe
Mimi nafuatilia kwa ukaribu sana.. Rayns We funguka tuHiyo huruma yangu uliiona wapi
Macho yangu unayajua wewe
Hii ni kazi ya 10 minutes tu brotherpamoja na integration zote kwenye mitandao ya simu.
Aaaaaaaah acha bwana, mbona umepiga u turn hivyo mkuu..Joke
Nitajua tuBora useme wewe ndugu yangu😂
Inategemeana unafungua nini lakini🙅♂️Siwezi kufunguka... Nayajua madhara ya kufunguka fungua...
Utajua nini😂Nitajua tu
8 people are in here. We tuliaUtajua nini😂
Sidhani kama inakuwa hivyo, ila pia mazingira yaanchangia. Labda kizazi cha sasa ila kizazi cha hawa wa miaka 35 na kuendelea computer unakutana nayo cafe, au chuo. Mimi kwa mara ya kwanza kutumia computer ilikuwa form 2, nimekuja kumiliki ya kwangu nikiwa chuo.Darasa la kwanza hadi la saba mtoto anabeba madaftari zaidi ya kumi, ataacha kukariri kweli?
Real programmers wana specialize na somo moja toka utotoni hadi level za juu, lazima wawe deep
Mimi kwa mara ya kwanza nimekuja kugusa computer nimemaliza form 6Sidhani kama inakuwa hivyo, ila pia mazingira yaanchangia. Labda kizazi cha sasa ila kizazi cha hawa wa miaka 35 na kuendelea computer unakutana nayo cafe, au chuo. Mimi kwa mara ya kwanza kutumia computer ilikuwa form 2, nimekuja kumiliki ya kwangu nikiwa chuo.
But pia ni passion, kama mtu ana passion basi anaweza kuwa good programmer
Tuache kuingilia watu katika majukumu... Sema sijaendelea ningesema kilichonikuta ila basiStory yako inafundisha nini?