Eddy da Rose Jr
JF-Expert Member
- Jun 1, 2023
- 244
- 248
Halafu RC ikiwapiga gepu, mnaanza kujitetea eti eh??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi hawa watu nani alianza kumfundisha mwenzake ujanja wa kukamua maziwaUnataka ujenzi uishe halafu bahasha za ujenzi zigawanywe kwa waumini kwa sababu ipi. Ujenzi ni strategic plan mojawapo ya makanisa kuingiza mapato
Viongozi wapigaji n walewale anatoka anardii tena unahisi nnTangu nakua kule Keko Magulumbasi, kunapokuwa na ujenzi wa Kanisa la KKKT huwa miaka na miaka ujenzi haukamiliki.
Mifano ipo Mingi tu. Tangu mwaka 1998 Kanisa la pale Korogwe Kimara KKKT ujenzi haujaisha.
Segerea mwisho hadi kesho bado ujenzi haujaisha.
Kibamba shule njia ya Kibwegere ujenzi haujaisha.
Kumara Suka karibu na Temboni ujenzi haujaisha.
Hii ni baadhi ya mifano michache tu, hivi shida nini?
YTangu nakua kule Keko Magulumbasi, kunapokuwa na ujenzi wa Kanisa la KKKT huwa miaka na miaka ujenzi haukamiliki.
Mifano ipo Mingi tu. Tangu mwaka 1998 Kanisa la pale Korogwe Kimara KKKT ujenzi haujaisha.
Segerea mwisho hadi kesho bado ujenzi haujaisha.
Kibamba shule njia ya Kibwegere ujenzi haujaisha.
Kumara Suka karibu na Temboni ujenzi haujaisha.
Hii ni baadhi ya mifano michache tu, hivi shida nini?
Wacha mapadre wa pale KKKT waje kukujibuTangu nakua kule Keko Magulumbasi, kunapokuwa na ujenzi wa Kanisa la KKKT huwa miaka na miaka ujenzi haukamiliki.
Mifano ipo Mingi tu. Tangu mwaka 1998 Kanisa la pale Korogwe Kimara KKKT ujenzi haujaisha.
Segerea mwisho hadi kesho bado ujenzi haujaisha.
Kibamba shule njia ya Kibwegere ujenzi haujaisha.
Kumara Suka karibu na Temboni ujenzi haujaisha.
Hii ni baadhi ya mifano michache tu, hivi shida nini?
Chief uko na wito hakikaNshazoea napewa bahasha naweka sadaka ya ujenzi wa usharika.....over mengn siyo kazi yangu
Hata Mtoni Mtongani kanisa la Lulu bado ni mapagale tu na watu wanasali hivyo hivyo.Tangu nakua kule Keko Magulumbasi, kunapokuwa na ujenzi wa Kanisa la KKKT huwa miaka na miaka ujenzi haukamiliki.
Mifano ipo Mingi tu. Tangu mwaka 1998 Kanisa la pale Korogwe Kimara KKKT ujenzi haujaisha.
Segerea mwisho hadi kesho bado ujenzi haujaisha.
Kibamba shule njia ya Kibwegere ujenzi haujaisha.
Kumara Suka karibu na Temboni ujenzi haujaisha.
Hii ni baadhi ya mifano michache tu, hivi shida nini?
Hahah mi Toka nipo mdogo hilo kabisa linajengwa tu.Du mkuu salute,mada hii imekata kwenye mfupa,KKKT Kinondoni karibu na mahakama pale,ujenzi ule toka mimi nipo secondary school haujaisha, nakumbuka hata PM Lowassa amewahi kufanya harambee za uchangiaji pale, yaani ni wezi..wezi..wezi
Hiii kitu inakuja kuumiza wanakondoooHata MToni Mtongani kanisa la Lulu bado ni mapagale tu na watu wanasali hivyo hivyo.
Ila sishangani kwa kuwa Wachungaji wa KKKT wamekaa kiulaji na upigaji tu
kuna lile kanisa lao pale magomeni mapipa linalotazamana na msikiti, ktk kumbukumbu zangu za kuishi dar huu unawezakuwa ni mwaka wa 18 au 20 tangu lianze kujengwa, mpaka leo halija kamilika.Tangu nakua kule Keko Magulumbasi, kunapokuwa na ujenzi wa Kanisa la KKKT huwa miaka na miaka ujenzi haukamiliki.
Mifano ipo Mingi tu. Tangu mwaka 1998 Kanisa la pale Korogwe Kimara KKKT ujenzi haujaisha.
Segerea mwisho hadi kesho bado ujenzi haujaisha.
Kibamba shule njia ya Kibwegere ujenzi haujaisha.
Kumara Suka karibu na Temboni ujenzi haujaisha.
Hii ni baadhi ya mifano michache tu, hivi shida nini?
Hakuna Pesa hamtoi sadaka za kutosha ongezeni Sadaka nyinyi majengo yamaliziweTangu nakua kule Keko Magulumbasi, kunapokuwa na ujenzi wa Kanisa la KKKT huwa miaka na miaka ujenzi haukamiliki.
Mifano ipo Mingi tu. Tangu mwaka 1998 Kanisa la pale Korogwe Kimara KKKT ujenzi haujaisha.
Segerea mwisho hadi kesho bado ujenzi haujaisha.
Kibamba shule njia ya Kibwegere ujenzi haujaisha.
Kumara Suka karibu na Temboni ujenzi haujaisha.
Hii ni baadhi ya mifano michache tu, hivi shida nini?
Halafu wewe vikoment👆 vyako mbona vifupi sana siku hizi 😃Inashangaza sana
NKANINI/MKEMKUBWA Uko poa?Du mkuu salute,mada hii imekata kwenye mfupa,KKKT Kinondoni karibu na mahakama pale,ujenzi ule toka mimi nipo secondary school haujaisha, nakumbuka hata PM Lowassa amewahi kufanya harambee za uchangiaji pale, yaani ni wezi..wezi..wezi
Inawezekana kwenye boti yao ya muhogo panya wengi, kila siku boti inatobolewa,hivyo safari ya kina kirefu ni hatari, hofu ya kuzama baharini🤔Tangu nakua kule Keko Magulumbasi, kunapokuwa na ujenzi wa Kanisa la KKKT huwa miaka na miaka ujenzi haukamiliki.
Mifano ipo Mingi tu. Tangu mwaka 1998 Kanisa la pale Korogwe Kimara KKKT ujenzi haujaisha.
Segerea mwisho hadi kesho bado ujenzi haujaisha.
Kibamba shule njia ya Kibwegere ujenzi haujaisha.
Kumara Suka karibu na Temboni ujenzi haujaisha.
Hii ni baadhi ya mifano michache tu, hivi shida nini?
Analea mwache mwenzioHalafu wewe vikoment👆 vyako mbona vifupi sana siku hizi 😃
KKKT hawana Padre wao wana Wachungaji.Wacha mapadre wa pale KKKT waje kukujibu