Uongo .Mchungaji hanunui kiwanja,hachori ramani ya jengo ,hatafuti contractor wa kujenga ,hatafuti Hela za ujenzi Wala kuusimamia sababu sio eneo lake la utaalamu Hilo ni uongoNADHANI hujui power ya mchungaji.. au ume jitoa ufahamu .
hiyo kamati, na viongozi daima ni wafuasi watiifu wa Baba Mchungaji aliye ajiriwa katika usharika huo..