dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Sizani Kam wanaibaa bhna unaiba sadaka si unakuwa kichaaa hapan litaishaaa Seema wahumi weni wa pale hawatoaa pesaaaDu mkuu salute,mada hii imekata kwenye mfupa,KKKT Kinondoni karibu na mahakama pale,ujenzi ule toka mimi nipo secondary school haujaisha, nakumbuka hata PM Lowassa amewahi kufanya harambee za uchangiaji pale, yaani ni wezi..wezi..wezi