Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hadi leo halijaisha,it's crazeHahah mi Toka nipo mdogo hilo kabisa linajengwa tu.
Poa karibu huku lingusenguse babaNKANINI/MKEMKUBWA Uko poa?
Muongo weweTangu nakua kule Keko Magulumbasi, kunapokuwa na ujenzi wa Kanisa la KKKT huwa miaka na miaka ujenzi haukamiliki.
Mifano ipo Mingi tu. Tangu mwaka 1998 Kanisa la pale Korogwe Kimara KKKT ujenzi haujaisha.
Segerea mwisho hadi kesho bado ujenzi haujaisha.
Kibamba shule njia ya Kibwegere ujenzi haujaisha.
Kumara Suka karibu na Temboni ujenzi haujaisha.
Hii ni baadhi ya mifano michache tu, hivi shida nini?
Halafu wewe vikoment👆 vyako mbona vifupi sana siku hizi 😃
Unaweza kuwa upo sawa kwa makanisa mengine uliyoyatajaTangu nakua kule Keko Magulumbasi, kunapokuwa na ujenzi wa Kanisa la KKKT huwa miaka na miaka ujenzi haukamiliki.
Mifano ipo Mingi tu. Tangu mwaka 1998 Kanisa la pale Korogwe Kimara KKKT ujenzi haujaisha.
Segerea mwisho hadi kesho bado ujenzi haujaisha.
Kibamba shule njia ya Kibwegere ujenzi haujaisha.
Kumara Suka karibu na Temboni ujenzi haujaisha.
Hii ni baadhi ya mifano michache tu, hivi shida nini?
Mambo ya ujenzi ya kanisa lolote la KKKT Huwa Yako chini ya kamati ya ujenzi ya wauminiKKKT za malebo hizo
Keko ya magulumbasi
unga limited.
Majengo
Mombasa
Ukitaka kufuatilia mambo ya ujenzi na hawa wachunga kondoo.. uta ishia kuacha kuamini Mungu Yupo
Sahihi huyo Mleta mada sio KKKT bwege huyoUnaweza kuwa upo sawa kwa makanisa mengine uliyoyataja
Kwa kimara korogwe kanisa lilikamilika miaka mingi sana iliyopita
ujenzi unao uona pale ni wa majengo ya biashara
Baada ya ujenzi wa kanisa kuisha ukaanza ujenzi wa shule ya awali na secondary wa ghorofa nne watoto wanasoma pale
Mifano ipo Mingi tu. Tangu mwaka 1998 Kanisa la pale Korogwe Kimara KKKT ujenzi haujaisha.
Mleta mada wewe ni pepo sio binadamu shindwa Kwa Jina la YesuTangu nakua kule Keko Magulumbasi, kunapokuwa na ujenzi wa Kanisa la KKKT huwa miaka na miaka ujenzi haukamiliki.
Mifano ipo Mingi tu. Tangu mwaka 1998 Kanisa la pale Korogwe Kimara KKKT ujenzi haujaisha.
Segerea mwisho hadi kesho bado ujenzi haujaisha.
Kibamba shule njia ya Kibwegere ujenzi haujaisha.
Kumara Suka karibu na Temboni ujenzi haujaisha.
Hii ni baadhi ya mifano michache tu, hivi shida nini?
Mleta mada pepo Hilo sio binadamu kajaa mipepo kama yote imempanda kichwaniKimara Korogwe kuna kanisa lililokamilika mzee baba labda kama hujapita maeneo hayo miaka mingi...
Tena katika ubora wake🙈Upigaji mkuu
Wewe siyo mwan kkt ,Tangu nakua kule Keko Magulumbasi, kunapokuwa na ujenzi wa Kanisa la KKKT huwa miaka na miaka ujenzi haukamiliki.
Mifano ipo Mingi tu. Tangu mwaka 1998 Kanisa la pale Korogwe Kimara KKKT ujenzi haujaisha.
Segerea mwisho hadi kesho bado ujenzi haujaisha.
Kibamba shule njia ya Kibwegere ujenzi haujaisha.
Kumara Suka karibu na Temboni ujenzi haujaisha.
Hii ni baadhi ya mifano michache tu, hivi shida nini?
Hahaha mm Niko ilazo kanisa linasimamiw na wachaga na Nina imani nao sanaaaa tunaenda vzrKKKT lina waumini wengi sana. Ila wachaga ndio wengi zaidi kwenye nafasi za juu juu kwenye kila usharika.
Sehemu yoyote mchaga akiwepo ujenzi huwa hauishii.. hata nyumba za kuishi za wachaga huwa zinarekebishwa kila mara.
Mchaga na ujenzi ni ndugu
Mpuuzi sna mleta madaSadaka tutoe sisi mfuatilie nyie! Tuache sisi tunatumia nguvu ya buku! Hatuna mjomba!