Yes wa juzi ni ke Na hata huyu leo pia ni ke..
Sijui tunajikutaga nani sisi saa ingine ππ
Joanah inaelekea hajawahi kwenda bar akakutana Na hizo changamoto kabisa huyu
π€£π€£π€£Watazoea tuπ€£maana Mimi kila saa naulizwa Mambo ya kubet na wakati mi ni mbumbumbu kwenye hizo mambo
For real??Unajua kunawakati mwingine unakuta unafurahia service kuliko chakula ee..
Hahahaha napotezea lakini sirudi tenaHuyo mvivu sana kwenye baadhi ya mambo, kama hilo la kero ya wahudumu, analipotezea tu ila ndio siku ingine hawamuoni
Kwa chakula mie usafi kwanza ndio kinaweza kunifanya nirudi tena,sio serviceYes..labda kama tuko tofauti..binafsi nafurahia service kwanza
Hakuna shida tuzidi kuombeana uzima Na afya chief
[emoji3059]
Tuliwekwa Kikaangoni Wafanyakazi Wote Siku Hiyo, Hadi Yule Mdada Aliyekuhudumia Mkuu.Kwahiyo KK wewe ndie yule dada sio[emoji16][emoji16]
Ha ha ha ntakuchek usijal, Bar ilibd uende mwenyewe bwana usikute Mshkaj ulioenda nae mwenyeji paleThanks big brother Na kwako pia..umekuwa adimu nowdays
Jamani kwani siku hizi tumefikia huko kuogopa kwenda Na wapendwa wetu bar!!inasikitisha ujue
Limefanyaje tena Dogo?Ila hii life bhana
Sijambo.. umemisikaHappy new year Khantwe hujambo lakini Mama
Limekuweka mbali na JF etiLimefanyaje tena Dogo?