Hivi kwanini ukienda bar na mtu wa jinsia ya tofauti(me)unapata huduma mbovu?

Hivi kwanini ukienda bar na mtu wa jinsia ya tofauti(me)unapata huduma mbovu?

Yes wa juzi ni ke Na hata huyu leo pia ni ke..

Sijui tunajikutaga nani sisi saa ingine 😁😁

Joanah inaelekea hajawahi kwenda bar akakutana Na hizo changamoto kabisa huyu

Huyo mvivu sana kwenye baadhi ya mambo, kama hilo la kero ya wahudumu, analipotezea tu ila ndio siku ingine hawamuoni
 
Pole Sana Mkuu Kwa Yaliyojiri Ile Siku Tulikuwa Tumevurugwa Na Boss Wetu Pale Bar.

Ila Karibu Sana Tena Tutakuhudumia Vizuri.
 
Wala usihofu siku nikitua uje kunipokea tu mengine utaniachia mwenyewe

Hiyo siku itakuja tuombe uzima tu na sio mbali sana ni mwaka huu huu 22 [emoji120][emoji7]
Hakuna shida tuzidi kuombeana uzima Na afya chief

🥰
 
Na kama inaenda mwenyewe, ukiwa serious, huhudumiwi vizuri, unabaki na u- serious wako.
 
Thanks big brother Na kwako pia..umekuwa adimu nowdays

Jamani kwani siku hizi tumefikia huko kuogopa kwenda Na wapendwa wetu bar!!inasikitisha ujue
Ha ha ha ntakuchek usijal, Bar ilibd uende mwenyewe bwana usikute Mshkaj ulioenda nae mwenyeji pale
 
Back
Top Bottom