Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
Aende na Nigeria pia,.akutane na vitu...lolHongera sana kwa vile mlijiumba. Kwani urefu akili au ni majaliwa. Urefu na ufupi vyote vina faida na hasara zake so to speak usijisifu kana kwamba ulituma maombi kuumbwa hivyo. Je sura zenu nazo vipi? Kama ukitaka kushindana na kuringia urefu si uende Sudan ya Kusini uone.
Weka picha ya Andunje hapa amevaa suti tuone Kama anaonekana Kama kifurushiHivi kwanini wanaume wafupi wakivaa suti hawapendezi. Hta hawakai vizuri wanakuwa km wametundikwa au wamefunikwa hawapendezi hta kidogo. Unaweza kusema ni kafurushi sijui cha nn. Wanakuwa hawaeleweki. Alafu awe mfupi halafu mnene hee ukimuona unaweza ukageuza njia kwa hofu. We km unajijua mfupi usivae suti jaman hupendezi unakuwa kichekesho.
Ona hawa wakaka warefu suti zilivokaa vizuri wamependeza sio km vimbilikimo View attachment 1773693View attachment 1773694View attachment 1773695
Kwa cheko hili utakuwa hauhusiki Shem darlingHahahaha ma.ninaa
Kwani wembamba wako diameter ngapi?[emoji23]Wee sio mfupi sana
Huyu nae anatarajiwa kuwa mke wa mtu?Tusredi twingine twa kiboya sana.
JF raha sana yani! Watu wanapakana choo kwa zamu zamu πππIla JF hakuna anayebakigi salama,
Yaaaani kwa namna yoyote lazima kuna siku utaanzishwa uzi ambao deep down utakugusa tu,tena utakugusa kwa namna mbaya
Haya,leo zamu ya wafupi πππ
Uzuri kati ya wafupi watakaoboreka leo,watakuwepo wafupi waliowahi kuanzisha mada kuponda single mothers π€£
Sio mwanaume kweli? Hebu nijibu Nina jibu lake amazing.Huyu nae anatarajiwa kuwa mke wa mtu?
Mkuu usichukulie serious bana huu utani wa humu ni endless!Utani wa maumbile huu.
Huwa unaumiza sana na ndio hufanya watu waliotaniwa au kuzungumziwa kama huna akili basi unajiona huna lolote hapa Duniani.
Huu hauna na tofauti dhihaka dhidi ya Weusi, weupe ..wenye vichwa vikubwa ...visogo...wakaka kwa wadada wasio na sura kwa minaji ya taswira na tuonavyo sisi.
Halafu mwishoni mtu yoyote kati ya hilo kundi akafa kwa kutokana na vijitabia hivi utasikia ma # kibao kibao..,mara sijui #BLM.
Mimi ni mhanga wa kichwa kikubwa napata shida sana na utu uzima wangu muda mwingine nikikutana na aina ya watu wengi waliopo humu.
Tuache utani huwa inaumiza sana kama ukichukulia kila kitu serious.
Embrace your uniqueness Mkuu.Utani wa maumbile huu.
Huwa unaumiza sana na ndio hufanya watu waliotaniwa au kuzungumziwa kama huna akili basi unajiona huna lolote hapa Duniani.
Huu hauna na tofauti dhihaka dhidi ya Weusi, weupe ..wenye vichwa vikubwa ...visogo...wakaka kwa wadada wasio na sura kwa minaji ya taswira na tuonavyo sisi.
Halafu mwishoni mtu yoyote kati ya hilo kundi akafa kwa kutokana na vijitabia hivi utasikia ma # kibao kibao..,mara sijui #BLM.
Mimi ni mhanga wa kichwa kikubwa napata shida sana na utu uzima wangu muda mwingine nikikutana na aina ya watu wengi waliopo humu.
Tuache utani huwa inaumiza sana kama ukichukulia kila kitu serious.
Huyu kwa mujibu wa thread zake ni manzi by 90%Embrace your uniqueness Mkuu.
Kumbuka Biblia inasema we are fearfully and wonderfully made.
We are perfect in God's eyes.
Sasa tubishane na shoga kweli wakati hapo anamdiss bwanake?Huenda ni mwanaume ila atakuwa shoga
Babaake mfupi ila leo anashupaza shingo humu kupondea wanaume!Ufupi ni nini na unalingasha na nini? Mbona Mzee Mwinyi pamoja na ufupi wake anapendeza? Je baba yako ni mfupi au mrefu na kwa vigezo vipi?
Hahahahaha nimecheka kinoma chief πππππππππππππππππππππππππππππππππππHii thread inarudi mara ya tatu humu...
kuna cd ya masingle Maza,,
cd ya watu wafupi...
na cd ya kitimoto
na cd ya madem wenye mit.ako...
haipi miezi mitatu bila kujirudia....
tofauti ni uletwaji tu rizim ni ile ile
Kitu asichokielewa mtoa mada ni kuwa hamna vazi la mrefu ama mfupiKupendeza kunatokana na fikra za mtazamaji ndio maana kuna vitoto vya miaka mitano vifupi na ukimvisha suti anapendeza
Bora tuendelee na mengine tuSasa tubishane na shoga kweli wakati hapo anamdiss bwanake?
Huyu mtoa mada atakuwa mshamba!Labda unaokutana nao.
Niliokutana nao alooooo. Wanajua kuvaa na wanapendeza balaa