Hivi kwanini wanawake wa siku hizi hawavai hizi nguo?

Hivi kwanini wanawake wa siku hizi hawavai hizi nguo?

Kwani kazi yake ni nini ?

Huenda jibu lipo hapo...
 
Bora hata wewe unayo moja mi sina kabisa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]ikitokea ntahitaji basi ntavaa ya mama
Na sijawahi ivaa sasa mimi nguo zangu ni fupi ntalivalia wap?

Ahaaa ya mama yako itakushinda, ni ndegu inalingana na sketi ya chalanga zile za wasabato.
 
Back
Top Bottom