Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Tutetee jamanKwahiyo bodaboda hana haki🤒🤒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutetee jamanKwahiyo bodaboda hana haki🤒🤒
Haujaamua tu kuwa serious mkuu.Kwa hiyo nawe una jimbo lako humu
NAKAZIAUmemtongoza juz kati kakukataa, tayar kashapew mimba (juz tu hapo, na ushajua tayar)😂😂
Aliyempa hiyo mimba wewe ni bora mara 5 yake. Unapataje confidence ya jusema wewe ni bora kuliko mwingine?
Yaani alivyowasema kama sio watu😂Tutetee mkuu.
Ma afisa usafirishaji
Mwaka wa 12 huuHaujaamua tu kuwa serious mkuu.
At least you are not fake19-24 Si ndo vitoto vya afu mbili hivi visivyojitambua..
Tongoza wanawake matured mkuu achana na hivyo,, vitakupasua kichwa tu.
Niko na nyinyi hadi mwisho,,.. Mna haki ya kula mbususu na nyie🤒Tutetee jaman
Halafu ya rika kama lako 😋😋Niko na nyinyi hadi mwisho,,.. Mna haki ya kula mbususu na nyie🤒
Bold ongeza na font ili ionekana vizuriWanawake wenye akili za kitoto hawapendi mwanaume nice guy.
Tafuta mmoja then kuwa serious uoneMwaka wa 12 huu
Mnastaili mbususu nzuri, me wakiumeHalafu ya rika kama lako 😋😋
Mwanaume bodaboda nae ana haki ya kupendwa, mfano pale mtaani kwetu kuna baadhi ya vijana wa bodaboda kwa jinsi wanavojiweka kistaarabu na kiheshima, kama mimi ni baba na nina binti, wakija kutoa posa nitawapa binti yangu kiroho safi, maana najua mwanangu atakuwa kwenye mikono salama.Kwahiyo bodaboda hana haki🤒🤒
Kwa sababu bado ni kijana mdogo Jitahidi uwe nice guy kwa mama na dada zako, kwa mabinti kuwa kijana flani hivi ambaye binti atajisikia hayupo na baba yake au kaka yake ili umri ukifika wa kuamua kutulia still atulie na wewe mtupunguzie wanawake wenye watoto bila uwepo wa baba.Habarini,
Juzi kati nlitafakari kwanini utakuta binti mzuri tu mashallah, she is young, pretty, hana mtoto, unamfata unamtongoza anakukataa, unakubali maamuzi yake kiroho safi unaendelea na mishe zako.
Hee baadae unakuja sikia mtoto wake wa kwanza kazaa na mume wa mtu mwenye familia yake, au unakuta kazaa na kijana wa hovyo.
Mfano juzi kati kuna binti nlimtongoza akanikataa, baadae nakuja sikia amepewa ujauzito na bodaboda, tena bodaboda mwenyewe ni wale vijana wa hovyo kabisa, wanaokula gomba/mikokaa etc, yani hata bodaboda wenyewe wanamshangaa huyo binti alivo mzuri amekubali vipi kupewa ujauzito na kijana wa vile, ilhali kuna vijana wengine wa bodaboda kwenye kile kijiwe ni vijana wa maana wenye heshima zao, maana kwa story za mtaani jamaa ana mangeu ngeu usoni kwasababu ya spidi.
Mdada unamtongoza anakukataa, halafu anaenda kumkubalia mwanaume ambae ukijiangalia wewe na huyo mwanaume, wewe unajiona bora mara 5 😂😂😂😂, kuna mwanaume hata akimchukua demu wako unakubali unaona kweli huyu mwana kanizidi, ila unakuta binti mzuri anamzalia kijana wa hovyo, au mume wa mtu, unajiuliza tu huyo binti atajenga future gani na mume wa mtu.
Halafu wakifika miaka 28 wanaanza kututafuta sisi ambao walitukataa walipokua in their prime 😂😂😂 wakidhani bado sisi ni wajinga 😂😂
Nilidhani hii phenomenon inanitokea mimi tu, ila baada ya kupita pita mitandaoni nkagundua kuwa hii ishu hata wanaume wengine inawakutaga.
View attachment 2972098View attachment 2972099
Tatizo anamangeo ya ajali anaendesha kwa speed bila utaratibu.Kwahiyo bodaboda hana haki🤒🤒
Sidanganyiki, hata kidogoMnastaili mbususu nzuri, me wakiume
Tunaonewa sanaYaani alivyowasema kama sio watu😂
Kama huyo hafai.. Ila kuna wengine wako smart sanaaTatizo anamangeo ya ajali anaendesha kwa speed bila utaratibu.