Hivi kwanini wanawake wengi wakiwa mabinti (19-24 years), wanachagua ku-date na wanaume wa hovyo?

Hivi kwanini wanawake wengi wakiwa mabinti (19-24 years), wanachagua ku-date na wanaume wa hovyo?

Mwanaume bodaboda nae ana haki ya kupendwa, mfano pale mtaani kwetu kuna baadhi ya vijana wa bodaboda kwa jinsi wanavojiweka kistaarabu na kiheshima, kama mimi ni baba na nina binti, wakija kutoa posa nitawapa binti yangu kiroho safi, maana najua mwanangu atakuwa kwenye mikono salama.

Sasa kuna mtu mwingine ukimwona tu alivyo, heee hee unajua hapa hamna kitu, halafu ndo binti anaenda kuzaa nae 😁 Leejay49
Hapo sawa nimekuelewa,,. Nikajua bodaboda wote ila hata kama na hao wengine pia wana haki ya kupendwa na kupewa mbususu 🤒🤔
 
Habarini,

Juzi kati nlitafakari kwanini utakuta binti mzuri tu mashallah, she is young, pretty, hana mtoto, unamfata unamtongoza anakukataa, unakubali maamuzi yake kiroho safi unaendelea na mishe zako.

Hee baadae unakuja sikia mtoto wake wa kwanza kazaa na mume wa mtu mwenye familia yake, au unakuta kazaa na kijana wa hovyo.

Mfano juzi kati kuna binti nlimtongoza akanikataa, baadae nakuja sikia amepewa ujauzito na bodaboda, tena bodaboda mwenyewe ni wale vijana wa hovyo kabisa, wanaokula gomba/mikokaa etc, yani hata bodaboda wenyewe wanamshangaa huyo binti alivo mzuri amekubali vipi kupewa ujauzito na kijana wa vile, ilhali kuna vijana wengine wa bodaboda kwenye kile kijiwe ni vijana wa maana wenye heshima zao, maana kwa story za mtaani jamaa ana mangeu ngeu usoni kwasababu ya spidi.

Mdada unamtongoza anakukataa, halafu anaenda kumkubalia mwanaume ambae ukijiangalia wewe na huyo mwanaume, wewe unajiona bora mara 5 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], kuna mwanaume hata akimchukua demu wako unakubali unaona kweli huyu mwana kanizidi, ila unakuta binti mzuri anamzalia kijana wa hovyo, au mume wa mtu, unajiuliza tu huyo binti atajenga future gani na mume wa mtu.

Halafu wakifika miaka 28 wanaanza kututafuta sisi ambao walitukataa walipokua in their prime [emoji23][emoji23][emoji23] wakidhani bado sisi ni wajinga [emoji23][emoji23]

Nilidhani hii phenomenon inanitokea mimi tu, ila baada ya kupita pita mitandaoni nkagundua kuwa hii ishu hata wanaume wengine inawakutaga.

View attachment 2972098View attachment 2972099
Watu wa hovyo wanazungumza lugha anayoipenda mabinti
 
Umemtongoza juz kati kakukataa, tayar kashapew mimba (juz tu hapo, na ushajua tayar)😂😂

Aliyempa hiyo mimba wewe ni bora mara 5 yake. Unapataje confidence ya jusema wewe ni bora kuliko mwingine?
Acha utani😂 sio kwamba najiona/najisifia/nina kiburi, ila naamini kuna vijana hapo mtaani hata wewe ukiwaona walivyo, matendo yao, wanavovaa etc utajiona bora wewe.

Sasa mtu anaeshinda baa na kijiweni the whole day, mchafu mchafu, kazi kula mirungi, bangi, na pombe kali, huyo mtu ni bora kuliko wewe ambae una kiofisi chako mahali umeajiriwa, au umejiajiri kwenye kilimo, ufugaji, ki-duka au stationery yako ya kuuza muvi, uko smart, jumapili kanisani, embu niambie tu ukweli 😂😂😂

Halafu utakuta binti mrembo anazaa mtoto wake wa kwanza na huyo kijana wa hovyo 😂😂🙌🙌🙌 Ivan Stepanov
 
Acha utani😂 sio kwamba najiona/najisifia/nina kiburi, ila naamini kuna vijana hapo mtaani hata wewe ukiwaona walivyo, matendo yao, wanavovaa etc utajiona bora wewe.

Sasa mtu anaeshinda baa na kijiweni the whole day, mchafu mchafu, kazi kula mirungi, bangi, na pombe kali, huyo mtu ni bora kuliko wewe ambae una kiofisi chako mahali umeajiriwa, au umejiajiri kwenye kilimo, ufugaji, ki-duka au stationery yako ya kuuza muvi, uko smart, jumapili kanisani, embu niambie tu ukweli 😂😂😂

Halafu utakuta binti mrembo anazaa mtoto wake wa kwanza na huyo kijana wa hovyo 😂😂🙌🙌🙌 Ivan Stepanov
Em wasikupangie cha kuongea...😂😂😂

Kama ndo vijana wako hvyo, kweli ni waovyo sana🏃🏃
 
Habarini,

Juzi kati nlitafakari kwanini utakuta binti mzuri tu mashallah, she is young, pretty, hana mtoto, unamfata unamtongoza anakukataa, unakubali maamuzi yake kiroho safi unaendelea na mishe zako.

Hee baadae unakuja sikia mtoto wake wa kwanza kazaa na mume wa mtu mwenye familia yake, au unakuta kazaa na kijana wa hovyo.

Mfano juzi kati kuna binti nlimtongoza akanikataa, baadae nakuja sikia amepewa ujauzito na bodaboda, tena bodaboda mwenyewe ni wale vijana wa hovyo kabisa, wanaokula gomba/mikokaa etc, yani hata bodaboda wenyewe wanamshangaa huyo binti alivo mzuri amekubali vipi kupewa ujauzito na kijana wa vile, ilhali kuna vijana wengine wa bodaboda kwenye kile kijiwe ni vijana wa maana wenye heshima zao, maana kwa story za mtaani jamaa ana mangeu ngeu usoni kwasababu ya spidi.

Mdada unamtongoza anakukataa, halafu anaenda kumkubalia mwanaume ambae ukijiangalia wewe na huyo mwanaume, wewe unajiona bora mara 5 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], kuna mwanaume hata akimchukua demu wako unakubali unaona kweli huyu mwana kanizidi, ila unakuta binti mzuri anamzalia kijana wa hovyo, au mume wa mtu, unajiuliza tu huyo binti atajenga future gani na mume wa mtu.

Halafu wakifika miaka 28 wanaanza kututafuta sisi ambao walitukataa walipokua in their prime [emoji23][emoji23][emoji23] wakidhani bado sisi ni wajinga [emoji23][emoji23]

Nilidhani hii phenomenon inanitokea mimi tu, ila baada ya kupita pita mitandaoni nkagundua kuwa hii ishu hata wanaume wengine inawakutaga.

View attachment 2972098View attachment 2972099
Wanatafuta uzoefu hata ajira huanzia rank za chini
 
Acha utani😂 sio kwamba najiona/najisifia/nina kiburi, ila naamini kuna vijana hapo mtaani hata wewe ukiwaona walivyo, matendo yao, wanavovaa etc utajiona bora wewe.

Sasa mtu anaeshinda baa na kijiweni the whole day, mchafu mchafu, kazi kula mirungi, bangi, na pombe kali, huyo mtu ni bora kuliko wewe ambae una kiofisi chako mahali umeajiriwa, au umejiajiri kwenye kilimo, ufugaji, ki-duka au stationery yako ya kuuza muvi, uko smart, jumapili kanisani, embu niambie tu ukweli 😂😂😂

Halafu utakuta binti mrembo anazaa mtoto wake wa kwanza na huyo kijana wa hovyo 😂😂🙌🙌🙌 Ivan Stepanov
Ndio hivyo sasa kijana wa hovyo ka secure opportunity uliokua unaitafuta ya kupapasa na kuyabinya binya makalio ya huyo dogo. Hapo roho lazima ikuume 😂
 
Acha utani[emoji23] sio kwamba najiona/najisifia/nina kiburi, ila naamini kuna vijana hapo mtaani hata wewe ukiwaona walivyo, matendo yao, wanavovaa etc utajiona bora wewe.

Sasa mtu anaeshinda baa na kijiweni the whole day, mchafu mchafu, kazi kula mirungi, bangi, na pombe kali, huyo mtu ni bora kuliko wewe ambae una kiofisi chako mahali umeajiriwa, au umejiajiri kwenye kilimo, ufugaji, ki-duka au stationery yako ya kuuza muvi, uko smart, jumapili kanisani, embu niambie tu ukweli [emoji23][emoji23][emoji23]

Halafu utakuta binti mrembo anazaa mtoto wake wa kwanza na huyo kijana wa hovyo [emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119] Ivan Stepanov
Wee kubalii umekataliwaaaa!!! Hivyo vyote ulivyonavyo huyo dada havitakii, acha wivu kwa boda boda wa watu, Lol
 
Kwanza kabisa mkuu unatakiwa kujua kukukataa wewe ni haki yake ya msingi na kwenda kumkubali jamaa mwingine hopeles haeleweki ni haki yake ya msingi pia na hivi vitu viwili havina correlation yeyote yan ni event mbili tofauti kabisa, na unatakiwa uelewe kuwa saikolojia ya wanawake iko tofauti sana, wanapenda sana kuwasikiliza watu wanaowadanganya kuliko wale wanaosema ukweli, na wana fantasy za ajabu sana. Me nimeona wanawake wengi sana wenyewe bila kujijua wanajitengenezea mazingira ya kuwa single maza ila huwa siwaambii because its non of my biznes. Akikukataa mwache aende akirud ashakuwa singo maza mkatae wanawake wako wengi masta huwez kuwaridhisha wote, wanawake wengi wanakujaga kujua amekosea yakishatokea madhara sasaivi hawawez kuelewa.
 
Habarini,

Juzi kati nlitafakari kwanini utakuta binti mzuri tu mashallah, she is young, pretty, hana mtoto, unamfata unamtongoza anakukataa, unakubali maamuzi yake kiroho safi unaendelea na mishe zako.

Hee baadae unakuja sikia mtoto wake wa kwanza kazaa na mume wa mtu mwenye familia yake, au unakuta kazaa na kijana wa hovyo.

Mfano juzi kati kuna binti nlimtongoza akanikataa, baadae nakuja sikia amepewa ujauzito na bodaboda, tena bodaboda mwenyewe ni wale vijana wa hovyo kabisa, wanaokula gomba/mikokaa etc, yani hata bodaboda wenyewe wanamshangaa huyo binti alivo mzuri amekubali vipi kupewa ujauzito na kijana wa vile, ilhali kuna vijana wengine wa bodaboda kwenye kile kijiwe ni vijana wa maana wenye heshima zao, maana kwa story za mtaani jamaa ana mangeu ngeu usoni kwasababu ya spidi.

Mdada unamtongoza anakukataa, halafu anaenda kumkubalia mwanaume ambae ukijiangalia wewe na huyo mwanaume, wewe unajiona bora mara 5 😂😂😂😂, kuna mwanaume hata akimchukua demu wako unakubali unaona kweli huyu mwana kanizidi, ila unakuta binti mzuri anamzalia kijana wa hovyo, au mume wa mtu, unajiuliza tu huyo binti atajenga future gani na mume wa mtu.

Halafu wakifika miaka 28 wanaanza kututafuta sisi ambao walitukataa walipokua in their prime 😂😂😂 wakidhani bado sisi ni wajinga 😂😂

Nilidhani hii phenomenon inanitokea mimi tu, ila baada ya kupita pita mitandaoni nkagundua kuwa hii ishu hata wanaume wengine inawakutaga.

View attachment 2972098View attachment 2972099
Mtafute Mganga wa Diva yule ndio ana password yao.

Yani unachukuwa akili ya mwanamke unaifungia kwenye chupa.
 
Ndio hivyo sasa kijana wa hovyo ka secure opportunity uliokua unaitafuta ya kupapasa na kuyabinya binya makalio ya huyo dogo. Hapo roho lazima ikuume 😂
Halafu wewe jamaa ni mganga nini, umejuaje iyo pisi ninayoongelea ina makalio, aloo ni binti wa 2000, akipita mtaani, mtaa unasimama, ana chuchu saa sita, kiuno nyigu, anajambia mbali, yani ana lile kalio ambalo ukimwangalia kwa nyuma lina shepu iliyochora alama ya love ❤️

Alikuwa anasaidia Maza mmoja kuuza mgahawa wa chai, nlivoenda kula chapati pale asubuhi, alikuja kunihudumia nlivoona Lile kalio lake tumbo langu lilijaa ghafla, na njaa ya chai iliisha Ivan Stepanov
 
Back
Top Bottom