Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afundishwe upya Johari window 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Unasemaje kakutakaa wewe kamkubali mtu wa hovyo. Unajijuaje wewe sio wa hovyo kwake huyo dame?
Dogo, mbona simple tu. Ukiona unakataliwa jua wewe wa hovyo, na mbaya zaidi wewe ni wa hovyo kuliko huyo boda aliyekubaliwa
Uo ulikuwa ni WA binti flani wa mtaani kwetu, binti alinikataa, mtoto wake wa kwanza akaenda kumzalia mume wa mtu, kuna picha juzi nliziona mtandaoni ndo nkazileta tena huu uzi GenuineManWe jamaa mwaka jana napo ulianzisha uzi kama huu.
KUna shida mahali
Ni usemalo umri ndio unaotusumbua tunawaona wako tofauti na sisi. Ila wanachokisema watu hapa ni ile hali kuchagua na kudondokea pa ovyo ili hali kuna watu wa maana tu walimtakaMnawaonea! nyie mmezeeka ndio maana hamuwaelewi zama zenu zimepita
Ila vijana wenzao wanawaelewa teknolojia imebadilika.
Hao ni wale aged 17-23! Kuanzia 24 akili inaanza kufunguka kuwa kumbe ubishoo wa kulamba lips, milegezo na viduku haviwezi kulipa bills baada ya kuona wenzao wanaoolewa na aina ya watu wanaoolewa nao.HAKUNA MWANAMKE ANAPENDA NICE GUY,kama wewe ni nice guy badilika,mademu wanapenda watu wahuni huni.
Kijana wa hovyo 😂 umeshindwa kujiongezaHalafu wewe jamaa ni mganga nini, umejuaje iyo pisi ninayoongelea ina makalio, aloo ni binti wa 2000, akipita mtaani, mtaa unasimama, ana chuchu saa sita, kiuno nyigu, anajambia mbali, yani ana lile kalio ambalo ukimwangalia kwa nyuma lina shepu iliyochora alama ya love ❤️
Alikuwa anasaidia Maza mmoja kuuza mgahawa wa chai, nlivoenda kula chapati pale asubuhi, alikuja kunihudumia nlivoona Lile kalio lake tumbo langu lilijaa ghafla, na njaa ya chai iliisha Ivan Stepanov
Kwahio unashuri amuone Mwamposa kwanza? 😁Aaaahh kama ni hao wa migahawani mzee achana nao, ni full UTI na STIs utaambukia hapo, hao ni pombe ya msibani kila mtu anajinywea tu, na hao bodaboda na makomda wa daladala ndio mara nying wanajibebea, sasa wwe mgahawan uswahiln analipwa nini hapo, sasa kukataliwa inaonekana uliingia kwa gia kubwa sana, gari lazima izime tu au skills zako za kubeba watoro bado ziko chiiniii sanaa, mtoto wa uswahil mgahawan anakukataaa?? Mzee jiulize sana, lazima una shida wewe!.
ulikuwa boya Pro MaxTrue mimi kuna demu alijilengesha road sema kuna watu kibao halafu yeye akawa ananiambia unaniita ananiuliza huku sijamuita akaniambia muogaa halafu bonge la demu shape kama lote watu kibao wanamtolea macho pale road ikabidi nikaushe huku naumia mpaka leo sijawahi kuonana naye huyo duu na alishiboka kabisa
Hao ni cha wote, kugumia Gono na UTI sugu ni kugusa tu- mademu wa kwenye migahawa ni wepesi sana,
Aibu watu kibao si unajua dar tena??!!demu alijileta wazi kabisa halafu mzuri kinyama namba nane fulani , mpaka leo sijawai kumuona ten nilijilaumu ila watu kibao walikuwa wanamtolea macho ingawa yeye alikuwa kama ananikonyeza vileMwana uliona aibu, au sio.
Mkuu, si unatumiae Condoms acha uzembeHao ni cha wote, kugumia Gono na UTI sugu ni kugusa tu
Hao wa hivyo niko exposed nao sana sikuhizi ila sithubutu😁! Japo shobo zao ni Extreme naishia ku flirt nao tu ila nikisema niwale ntajaza costa ndani ya huu mwaka...Mkuu, si unatumiae Condoms acha uzembe
Gonga tu, tena hao ni cost effectiveHao wa hivyo niko exposed nao sana sikuhizi ila sithubutu😁! Japo shobo zao ni Extreme naishia ku flirt nao tu ila nikisema niwale ntajaza costa ndani ya huu mwaka...