Hivi kwanini wanawake wengi wakiwa mabinti (19-24 years), wanachagua ku-date na wanaume wa hovyo?

Aaaahh kama ni hao wa migahawani mzee achana nao, ni full UTI na STIs utaambukia hapo, hao ni pombe ya msibani kila mtu anajinywea tu, na hao bodaboda na makomda wa daladala ndio mara nying wanajibebea, sasa wwe mgahawan uswahiln analipwa nini hapo, sasa kukataliwa inaonekana uliingia kwa gia kubwa sana, gari lazima izime tu au skills zako za kubeba watoro bado ziko chiiniii sanaa, mtoto wa uswahil mgahawan anakukataaa?? Mzee jiulize sana, lazima una shida wewe!.
 
Sidhani kama ni demu ambae kila mtu alikuwa anajipigia, maana ni mgahawa wa kijijini unaouza chai na msosi tu, hauuzi pombe, halafu ndo alikuwa ana miezi michache toka amemaliza form 4 mwaka 2022, ila alikuwa amefeli Ivan Stepanov
 
alikuwa ana miezi michache toka amemaliza form 4 mwaka 2022, ila alikuwa amefeli
Dooh very sad, sasa mtoto kafeli na nyie wahuni tena mnataka kuongeza sifuri mbele azidi kufeli. Tuachieni watoto wetu nyie vichaa. Huko vijijin na kilimo cha jembe la mkono, mnapataje nyege,? Maana saa 12 asubh mpaka saa 10 ni shamba ukirud hapo unaoga unaenda uwanja wa shule ya kijiji kucheza ball, hayo ndio maisha tuliishi sisi wajomba zenu kijijini, nyege zitoke wapi hapo?
 
- mademu wa kwenye migahawa ni wepesi sana,
 
Hakuna kazi ngumu kama kutongoza barabarani. πŸ˜‚
True mimi kuna demu alijilengesha road sema kuna watu kibao halafu yeye akawa ananiambia unaniita ananiuliza huku sijamuita akaniambia muogaa halafu bonge la demu shape kama lote watu kibao wanamtolea macho pale road ikabidi nikaushe huku naumia mpaka leo sijawahi kuonana naye huyo duu na alishiboka kabisa
 
Hao watu wa hovyo, ni kwa mujibu wa jicho la nani? Maana wa hovyo wako wewe, si wa hovyo kwa mtu mwingine..!!
 
Mwana uliona aibu, au sio.
 
Chanda chema huvikwa pete.
Kati ya wao na wewe, wa ovyo ni yule aliyekataliwa.
Natumaini unamjua.
 

Huyo binti kuna mambo mawili ukitoa urembo wake na kuuweka pembeni;
Mosi: Naye itakuwa ana akili ya hovyo.
Pili: Ana akili ambayo haijakomaa/kupevuka kujua maana na matokeo ya kile anachokifanya.
 
Wewe ndio mwenye matatizo na huo ubora wako mara 5,huyo binti alkua haluelewi kwasababu ya ujuaji wako,na kujiona uko perfect kila angle....kuna wakati inakubidi uwe fala kula vya mafala.joh
 
The fact kwamba kakukataa wewe na kachukua ujauzito wa jamaa ni kwamba jamaa ni bora zaidi yako

Ungekua bora kama unavodai basi usingekuja kulia lia hapa
 
Kuna wanawake wanapenda rude fellas wakiwa wa moto ila wakifika 25+ na watoto kadhaa hapo ndo wanarudi kwa waliowakwepa kutaka ndoa angalau maana huo unakua umri wa "shika sana ulichonacho"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…