Hivi kwanini wanawake wengi wakiwa mabinti (19-24 years), wanachagua ku-date na wanaume wa hovyo?

Mhuni anatongoza huku kashika tako la dogo mara wamepelekana mahali,kambaaaa. Sio lazima apate consent.

Wewe unasubiri consent,mara mpaka ukanunue kondom
Ndo maana ukimwi hutaisha Tanzania hii...

Huyo nice guy aachane na mademu... Atafute hobby nyingine labda kusafiri.
 
Wanawake wanapenda bad boys
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…