Hivi kweli kuna cha kujifunza kutokana na uchaguzi wa Afrika Kusini kama taifa?

Si kweli, 23%( chama chenye mizizi wa wabaguzi) ndio walio wengi? Angalau wangefikia 40%, ningekuelewa.
 
Labda kuunda Serikali ya mseto tofauti na hapo hakuna kitu Cha maana kule
 
Si kweli, 23%( chama chenye mizizi wa wabaguzi) ndio walio wengi? Angalau wangefikia 40%, ningekuelewa.
Kumbuka wazungu SA ni 7%leo hii tunaona DA wakizidi kupanda kwa kura tena ndani ya mda mfupi sana kimsingi walipaswa kuwa chini sana kutokana na history ila Sasa wanahizo asilimia huenda miaka 20 ijayo ambapo kizazi Cha Umkontho kitakapokuwa kimepungua huenda kikarudi madarakani
 
Watanzania mna mengi ya kujifunza SA kuliko SA kuja kujifunza Tanzakiza,hili hata nyinyi chawa wekeni kichwani.
 
Nilichojifunza kuhusu Africa Kusini kwenye uchaguzi wao , ni kwamba wasouth wameanza kujifikiria kuipa nafasi DA ambayo inachimbuko la wazungu, wanadhani inaweza kuirudisha Afrika Kusini kwenye mstari. Maana weusi wenzao kila siku ni ufisadi mara Zuma na Gupta, mara Ramaphosa kawateka wafanyakazi wake kisa wameiba manilioni aliyoficha kwenye mashimo nyumbani kwake.
 
Wasouth Africa sasa wamesha tambua adui yao halisi ni nani,Na siku DA wakishika madaraka SA basi tutashuhudia mageuzi ambayo sio ya kawaida ndani ya SA.
 
Wasouth Africa sasa wamesha tambua adui yao halisi ni nani,Na siku DA wakishika madaraka SA basi tutashuhudia mageuzi ambayo sio ya kawaida ndani ya SA.
embu tusaidie,
ni ANC, EFF au MK n.kπŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…