Hivi kweli kuna cha kujifunza kutokana na uchaguzi wa Afrika Kusini kama taifa?

Hivi kweli kuna cha kujifunza kutokana na uchaguzi wa Afrika Kusini kama taifa?

kutaja kiongozi Fulani aliwezaje ni kukiri kwamba Haki na Hsawa vipo ila kwa kipindi hiki hujaridhika tu kwa kiwango inavyotekelezwa....

mambo haya yanafanywa na wanadamu sio malaika, dosari mapungufu, na kasoro ni vigumu kuviepuka...

hata hivyo unayo fursa ya kufanya mabadiliko kupitia chaguzi zijazo,
jipange 🐒
Sawa,Tuombe uzima.
 
Nilichojifunza kuhusu Africa Kusini kwenye uchaguzi wao , ni kwamba wasouth wameanza kujifikiria kuipa nafasi DA ambayo inachimbuko la wazungu, wanadhani inaweza kuirudisha Afrika Kusini kwenye mstari. Maana weusi wenzao kila siku ni ufisadi mara Zuma na Gupta, mara Ramaphosa kawateka wafanyakazi wake kisa wameiba manilioni aliyoficha kwenye mashimo nyumbani kwake.
Yes hivi vitu adimu ndio muhimu sana mkuu...


unadhani hali itawasaidia wa Africa kusini kusonga mbele?

naona ANC na EFF zikiunda serikali, lengo baadae ni kuunda chama kimoja chenye nguvu zaidi baadae kwasababu ni kabila moja....

naona uhasama wa ANC na MK Party ya ZUMA ni mbaya sana, lakini pia ANC na DA ni mahasimu wa kitambo sana pia sioni kama wanaweza kuunda serikali ya pamoja,

au mie naona kimakosa 🐒
 
Si kweli, 23%( chama chenye mizizi wa wabaguzi) ndio walio wengi? Angalau wangefikia 40%, ningekuelewa.
Ukiangalia mijadala ya wasouth wameanza kuiona DA Kama suluhisho la matatizo yao. Halafu kumbuka kinavhofanya DA isipate asilimia hamsini ni ile chuki ya ubaguzi hapo tu.
 
Si kweli, 23%( chama chenye mizizi wa wabaguzi) ndio walio wengi? Angalau wangefikia 40%, ningekuelewa.
Wewe hushangai chama Cha kibaguzi kuwa Cha pili kwenye nchi ya waeusi asilimia 80 na zaidi?. Tafakali Hilo kwanza.
 
Ukiangalia mijadala ya wasouth wameanza kuiona DA Kama suluhisho la matatizo yao. Halafu kumbuka kinavhofanya DA isipate asilima hamsini ni ile chuki ya ubaguzi hapo tu.
thus why kongole nyingi sana zimuuendee Hayati Baba wa Taifa, Mwl.JK Nyerere aliimpact tunu njema na ya kipekee sana kwenye fikra na mioyo ya waTanzania mpaka leo hii mtoto wa dar anaweza kua na baba wa kichaga lakini, mtoto hajui kichaga kabisa na wala hana haja kujua. Anujua yeye ni Mtz inatosha....

ukabila unakwenda kufutika kabisa Tanzania baada ya miaka kadhaa ijayo 🐒
 
Yes hivi vitu adimu ndio muhimu sana mkuu...


unadhani hali itawasaidia wa Africa kusini kusonga mbele?

naona ANC na EFF zikiunda serikali, lengo baadae ni kuunda chama kimoja chenye nguvu zaidi baadae kwasababu ni kabila moja....

naona uhasama wa ANC na MK Party ya ZUMA ni mbaya sana, lakini pia ANC na DA ni mahasimu wa kitambo sana pia sioni kama wanaweza kuunda serikali ya pamoja,

au mie naona kimakosa 🐒
Kwenye Press iliyopita ya EFF, Kiongozi wa EFF Julius Malema kadai wapo tayari kushirikiana na ANC. Shida ya huu Muungano wa ANC na EFF ni kwamba wote ni rejects. ANC kashuka mpaka asilimia 40, na huku EFF kashuka mpaka asilimia 9. Hivyo wakiungan itakuwa Muungano wa mabwege. Labda ANC aungane na MK hapo kidogo nguvu itarudi.

Pia Kwa taarifa za Chini Chini zinadai ya kwamba ANC na DA wapo kwenye maongezi ya awali ya kuunda serikali ya mseto ingawa itakuwa ngumu kidogo kwa wa ANC wenye msimamo mkali.
 
thus why kongole nyingi sana zimuuendee Hayati Baba wa Taifa, Mwl.JK Nyerere aliimpact tunu njema na ya kipekee sana kwenye fikra na mioyo ya waTanzania mpaka leo hii mtoto wa dar anaweza kua na baba wa kichaga lakini, mtoto hajui kichaga kabisa na wala hana haja kujua. Anujua yeye ni Mtz inatosha....

ukabila unakwenda kufutika kabisa Tanzania baada ya miaka kadhaa ijayo 🐒
Tanzania ukabila hakuna sema Kuna watu wanalazimisha uwepo ila hakuna kabisa. Mimi kwa mfano sijui kuongea kilugha kabisa. Nadhani ukabila kutokuwepo Tanzania umetusaidia Sana Tanzania. Bila hivyo tungeishi kwa shida Sana.
 
thus why kongole nyingi sana zimuuendee Hayati Baba wa Taifa, Mwl.JK Nyerere aliimpact tunu njema na ya kipekee sana kwenye fikra na mioyo ya waTanzania mpaka leo hii mtoto wa dar anaweza kua na baba wa kichaga lakini, mtoto hajui kichaga kabisa na wala hana haja kujua. Anujua yeye ni Mtz inatosha....

ukabila unakwenda kufutika kabisa Tanzania baada ya miaka kadhaa ijayo 🐒
Ni kama Nigeri wanavyohangaika kwa Sasa. Imebakia urais ni Kwa watu wa kaskazini maana ndio wengi. Wale wa kusini walipotaka kujitenga na kuanzanisha nchi ya Biafra Chini ya Dudumeju Ojwuku walishugulikiwa na jeshi la Nigeria. Mpaka Leo Nigeria haija settle wanawaona wa Igbo kama sio wanaigeria.
 
Back
Top Bottom