Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
MK ni nani?cha kushangaza wanahamia tena jirani kwa ndugu yao MK🐒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MK ni nani?cha kushangaza wanahamia tena jirani kwa ndugu yao MK🐒
Ni kama tu ilivyo ACT Wazalendo, subiri mwakaniEFF ni kama imedrop vile why?🐒
sawauMkhonto we Sizwe 🐒
Kuna shida sehemuntakuepo tele kwenye debe bila wasiwasi wowote, kidemokrasia zaidi 🐒
Kazi ipo, wajipangeTunawasubir 2025 hatucheki na nyani.
Sawa,Tuombe uzima.kutaja kiongozi Fulani aliwezaje ni kukiri kwamba Haki na Hsawa vipo ila kwa kipindi hiki hujaridhika tu kwa kiwango inavyotekelezwa....
mambo haya yanafanywa na wanadamu sio malaika, dosari mapungufu, na kasoro ni vigumu kuviepuka...
hata hivyo unayo fursa ya kufanya mabadiliko kupitia chaguzi zijazo,
jipange 🐒
Yes hivi vitu adimu ndio muhimu sana mkuu...Nilichojifunza kuhusu Africa Kusini kwenye uchaguzi wao , ni kwamba wasouth wameanza kujifikiria kuipa nafasi DA ambayo inachimbuko la wazungu, wanadhani inaweza kuirudisha Afrika Kusini kwenye mstari. Maana weusi wenzao kila siku ni ufisadi mara Zuma na Gupta, mara Ramaphosa kawateka wafanyakazi wake kisa wameiba manilioni aliyoficha kwenye mashimo nyumbani kwake.
Ukiangalia mijadala ya wasouth wameanza kuiona DA Kama suluhisho la matatizo yao. Halafu kumbuka kinavhofanya DA isipate asilimia hamsini ni ile chuki ya ubaguzi hapo tu.Si kweli, 23%( chama chenye mizizi wa wabaguzi) ndio walio wengi? Angalau wangefikia 40%, ningekuelewa.
Wewe hushangai chama Cha kibaguzi kuwa Cha pili kwenye nchi ya waeusi asilimia 80 na zaidi?. Tafakali Hilo kwanza.Si kweli, 23%( chama chenye mizizi wa wabaguzi) ndio walio wengi? Angalau wangefikia 40%, ningekuelewa.
thus why kongole nyingi sana zimuuendee Hayati Baba wa Taifa, Mwl.JK Nyerere aliimpact tunu njema na ya kipekee sana kwenye fikra na mioyo ya waTanzania mpaka leo hii mtoto wa dar anaweza kua na baba wa kichaga lakini, mtoto hajui kichaga kabisa na wala hana haja kujua. Anujua yeye ni Mtz inatosha....Ukiangalia mijadala ya wasouth wameanza kuiona DA Kama suluhisho la matatizo yao. Halafu kumbuka kinavhofanya DA isipate asilima hamsini ni ile chuki ya ubaguzi hapo tu.
Kwenye Press iliyopita ya EFF, Kiongozi wa EFF Julius Malema kadai wapo tayari kushirikiana na ANC. Shida ya huu Muungano wa ANC na EFF ni kwamba wote ni rejects. ANC kashuka mpaka asilimia 40, na huku EFF kashuka mpaka asilimia 9. Hivyo wakiungan itakuwa Muungano wa mabwege. Labda ANC aungane na MK hapo kidogo nguvu itarudi.Yes hivi vitu adimu ndio muhimu sana mkuu...
unadhani hali itawasaidia wa Africa kusini kusonga mbele?
naona ANC na EFF zikiunda serikali, lengo baadae ni kuunda chama kimoja chenye nguvu zaidi baadae kwasababu ni kabila moja....
naona uhasama wa ANC na MK Party ya ZUMA ni mbaya sana, lakini pia ANC na DA ni mahasimu wa kitambo sana pia sioni kama wanaweza kuunda serikali ya pamoja,
au mie naona kimakosa 🐒
Tanzania ukabila hakuna sema Kuna watu wanalazimisha uwepo ila hakuna kabisa. Mimi kwa mfano sijui kuongea kilugha kabisa. Nadhani ukabila kutokuwepo Tanzania umetusaidia Sana Tanzania. Bila hivyo tungeishi kwa shida Sana.thus why kongole nyingi sana zimuuendee Hayati Baba wa Taifa, Mwl.JK Nyerere aliimpact tunu njema na ya kipekee sana kwenye fikra na mioyo ya waTanzania mpaka leo hii mtoto wa dar anaweza kua na baba wa kichaga lakini, mtoto hajui kichaga kabisa na wala hana haja kujua. Anujua yeye ni Mtz inatosha....
ukabila unakwenda kufutika kabisa Tanzania baada ya miaka kadhaa ijayo 🐒
Ni kama Nigeri wanavyohangaika kwa Sasa. Imebakia urais ni Kwa watu wa kaskazini maana ndio wengi. Wale wa kusini walipotaka kujitenga na kuanzanisha nchi ya Biafra Chini ya Dudumeju Ojwuku walishugulikiwa na jeshi la Nigeria. Mpaka Leo Nigeria haija settle wanawaona wa Igbo kama sio wanaigeria.thus why kongole nyingi sana zimuuendee Hayati Baba wa Taifa, Mwl.JK Nyerere aliimpact tunu njema na ya kipekee sana kwenye fikra na mioyo ya waTanzania mpaka leo hii mtoto wa dar anaweza kua na baba wa kichaga lakini, mtoto hajui kichaga kabisa na wala hana haja kujua. Anujua yeye ni Mtz inatosha....
ukabila unakwenda kufutika kabisa Tanzania baada ya miaka kadhaa ijayo 🐒
Walikuja na sera ya open border policy. Yani hakuna mgeni kufukuzwa au kuzuiliwa kuingia South. So wana EFF wengi wakahamia MK kwa Zuma.EFF ni kama imedrop vile why?🐒
Kweli mkuu, Tena nilishangaa kumbe hata Zanzibar kule wamegawana na CUF kwenye Ubunge sio kwamba wameikamata zanzibar yote wenyewe..Ni kama tu ilivyo ACT Wazalendo, subiri mwakani