Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
- Thread starter
- #81
ANC atapendelea zaidi aungane na mwenye kuchangia kidogo tu ili atimize ile simple majority ya wabunge 200+1 ili Ramaphosa aingie muhula wa pili, lakini ili pia kwenye makubaliano ya kuunda serikali asitoe share kubwa zaidi kwa mshirika wake 🐒Kwenye Press iliyopita ya EFF, Kiongozi wa EFF Julius Malema kadai wapo tayari kushirikiana na ANC. Shida ya huu Muungano wa ANC na EFF ni kwamba wote ni rejects. ANC kashuka mpaka asilimia 40, na huku EFF kashuka mpaka asilimia 9. Hivyo wakiungan itakuwa Muungano wa mabwege. Labda ANC aungane na MK hapo kidogo nguvu itarudi.
Pia Kwa taarifa za Chini Chini zinadai ya kwamba ANC na DA wapo kwenye maongezi ya awali ya kuunda serikali ya mseto ingawa itakuwa ngumu kidogo kwa wa ANC wenye msimamo mkali.
MK party wametoa sharti kwamba ili wangune na ANC Lazima Ramaphosa angatuliwe kwanza....
Kwahivyo naona uwezekano mkubwa ni EFF na huenda chama kingine lakini sio DA🐒