Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka 18 tu.Hivi utumishi Wa uma unasomewa Miaka mingapi
Pharmacology ya moto sana.Medical Officer anasoma Pharmacology, nadhani semister ya 3 na 4, kuna likitabu linaitwa Katzung sijui.
Kwa zaidi ya 99% ya Zahanati hapa Tanzania hazina mfamasia, hazijawahi kuwa na mfamasia na wala hazihitaji mfamasia, zina Daktari na muuguzi na zinapiga kazi fresh. Hapo utasemaje?Hakuna daktari hakuna mfamasia , hizi ni kada zinazotegemeana sana .
Daktari kuna semister katika usomaji wake anakutana na kitu tunaita pharmacology lakini vivyo hivyo mfamasia kuna muhula ambao anasoma pia habari za prescription .
So kikawaida hawa watu inawapasa kutegemeana sana kuliko inavyodhaniwa ila shida inakuja pale tunapojaribu kuikuza kada ya udaktari kiasi cha kuwapuuza wafamasia .
Unataka kusemaje mkuu? Kwahiyo Dr aishie kwenye ku diagnosis mgonjwa Kisha ampeleke kwa mfamasia amuandikie dawa ama?Anakuandikiaje dawa Fulani, wakati mtaalam wa hayo madawa yupo?
Hata kwa Dr Mwaka watu wanajaa.Haruhusiwi hata kutibu, lakini anatibu kuliko hospitali, wanawake na Watoto wana complication sana matatizo yao, sasa jamaa anaelewa vizuri mpaka Dawa, na Dawa nyingine unaweza kumuandikia mtu aitafute kwenye pharmacy kubwa na ukipata tatizo limeisha.
Namjuwa kwa zaidi ya miaka 20 yupo vizuri sana.
Mfamasia kazi yake ni kutengeneza dawa na siyo kigawa dawa. Mfamasia anatakiwa akafanye kazi kwenye kiwanda cha kuzalisha dawa na siyo duka la dawa. Bahati mbaya sana Tanzania hakuna viwanda vingi vya dawa hivyo wanaishia kugawa dawa.Hivi kweli mtu anasomea Pharmacy 4 yrs, kuja kugawa dawa tu? Serikali rekebisheni hili,how comes Dr.medicine arecommend dawa?
Wakati mtaalam yupo lakini hafanyi kazi yake?
Medical officer anajua dawa?
Role ya pharmacist ni kutengeneza dawa kiwandani na siyo kuuza dawa dukani!Nimewahi kuwaza hili ingawa Mimi siko kwenye tasnia ya afya.
Anayeandika au kuamuru mgonjwa atumie dawa ipi ni doctor, anayeamua mgonjwa atumie vipi dawa ni doctor. Sasa rule ya pharmacist ni nini?
Umesomea ufundi dawa, fungua kiwanda utengeneze dawa.Hivi kweli mtu anasomea Pharmacy 4 yrs, kuja kugawa dawa tu? Serikali rekebisheni hili.
Medical officer ana recommend dawa akiwa hana uzoefu wowote wala Elimu kuhusu dawa, hii sio sawa. Viongozi wetu wa juu Kuna sehemu mnakwama sana, waacheni wafamasia WAFANYIE kazi walichofundishwa darasani.
Yawezekana pia wako kwenye level tofauti. Mmoja labda ni CO na mwingine ni MD. Na ndiyo maana Tabibu akishaona mgonjwa tatizo lake ni complicated basi humpa Rufaa kwenda kuwaona Tabibu wengine wa level tofauti.Argument yako haiko sahihi.
Mabishano ya kisayansi katika taaluma ya utabibu (diagnosis, treatment (prescription) ni jambo la siku zote, la kawaida, lipo dunia nzima. Hivyo sio issue.
Kuhusu mfamasia kuamua huo ugomvi wa dosage hapo Ilala, unatupa picha hii.
-Madaktari walikuwa na uelewa tofauti katika dosage ya dawa kwa mgonjwa.
-Mfamasia ametumika kama msaidizi mtaalamu (consultant) katika kusaidia hitimisho ya mjadala wa dosage. Na hivyo ndivyo taaluma ya utabibu inataka.
Sasa viwanda vyenyewe havipo tufanyeje?Role ya pharmacist ni kutengeneza dawa kiwandani na siyo kuuza dawa dukani!
Umeongea kiwepesi sana labda kwakua huelewi shida inayotokea huko kuanzia kwenye huduma inayotolewa,hasara ya serikali inayopata kutokana na mnyonyoro wa ugavi usivyo sahihi,katika zoezi la kugawa nyota vituo vya kutolea huduma pharmaceutical personnel anatakiwa awepo katika ngazi hadi ya zahanati kutokuwepo inabaki kuwa gap tu la serikali ila sio kwamba Kuna huduma bora inatolewa,,,,Kuna baadhi ya zahanati Kuna muuguzi tu na medical attendant tuu halafu kwakua watu wanapewa huduma utasema mambo yanaenda? Tukiacha kuzauriana kada ya afya itafika mbali maana unakuta Co anamdharau CA MD anamdharau Co specialist anamdharau MD super specialist anamdharau specialist,wengine wanamdharau surgeon wanasela MA surgeon akili zao zimawaza kukata tuuu! Tukiendelea hivi hatutofika mbaliKwa zaidi ya 99% ya Zahanati hapa Tanzania hazina mfamasia, hazijawahi kuwa na mfamasia na wala hazihitaji mfamasia, zina Daktari na muuguzi na zinapiga kazi fresh. Hapo utasemaje?
Kwangu mimi Daktari na muuguzi ndio uti wa mgongo wa utoaji huduma za afya kwenye ngazi zote za vituo. Bila uwepo wa watu hao kwa hakika huduma za afya ni kama hakuna.
Nachelea kubisha usemacho ila narejea kwenye minajili ya mada tajwa .Kwa zaidi ya 99% ya Zahanati hapa Tanzania hazina mfamasia, hazijawahi kuwa na mfamasia na wala hazihitaji mfamasia, zina Daktari na muuguzi na zinapiga kazi fresh. Hapo utasemaje?
Kwangu mimi Daktari na muuguzi ndio uti wa mgongo wa utoaji huduma za afya kwenye ngazi zote za vituo. Bila uwepo wa watu hao kwa hakika huduma za afya ni kama hakuna.
Bloggerboy ni yule wa Maswa yetu?Hivi kweli mtu anasomea Pharmacy 4 yrs, kuja kugawa dawa tu? Serikali rekebisheni hili.
Medical officer ana recommend dawa akiwa hana uzoefu wowote wala Elimu kuhusu dawa, hii sio sawa. Viongozi wetu wa juu Kuna sehemu mnakwama sana, waacheni wafamasia WAFANYIE kazi walichofundishwa darasani.